Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #141
😂 ni kosa unaweza ukashtakiwa na basataHahahahhaaaaaaa itakuwa ni utani hata kufikiria kufananisha hao wawili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 ni kosa unaweza ukashtakiwa na basataHahahahhaaaaaaa itakuwa ni utani hata kufikiria kufananisha hao wawili
Manzi bado anamkubali sana Jamaaa....sema wazungu nae hawawezagi kuhimili mambo ya kuchapiwa huku kwetu Enaboishu tunasema kuchapiwa ni Siri ya ndani tunaumia kimya kimyaMwamba alijua namna ya kuishi nae vizuri, ukishakuwa upande wa nakupenda pia tayari umeshashinda mechi hata kabla haijaanza.
Shakira bado anamkubali mwamba hata akilikataa hilo ila maneno yake yanaonesha.
Huku tunasavaivu mkuuManzi bado anamkubali sana Jamaaa....sema wazungu nae hawawezagi kuhimili mambo ya kuchapiwa huku kwetu Enaboishu tunasema kuchapiwa ni Siri ya ndani tunaumia kimya kimya
Bongo nyoso mdada akikupenda sana ukimcheat anaenda kumchamba huyo binti uliemla😁we unakaa tu kimya unawaangaliaHuku tunasavaivu mkuu
Kwani nao wachawi piaColombia ingekuwa kibongo bongo huwa naiona kama Upareni kule
Na akija anataka tena na tena 😂Bongo nyoso mdada akikupenda sana ukimcheat anaenda kumchamba huyo binti uliemla😁we unakaa tu kimya unawaangalia
Anakupa yote ili usimcheat tena kumbe ww unakutana nao wote Kwa nyakati tofauti in short wote wanajipinda mgongo kuuwin moyo wakoNa akija anataka tena na tena 😂
😅 na kibunda chakoAnakupa yote ili usimcheat tena kumbe ww unakutana nao wote Kwa nyakati tofauti in short wote wanajipinda mgongo kuuwin moyo wako
KWELI HAKUNA MTAALAMU WA MAPENZI..Kweli mapenzi hayana cha ustaa wala umaarufu yakiamua kukunyoosha yanakunyoosha bila kujali ni mtu wa aina gani.
Ni wazi bado mwanamama Shakira anateswa na zimwi la penzi la Gerald Pique, kuzidi kumuongelea mara kwa mara kwenye interviews inadhihirisha bado anamuelewa sana mwamba, sijui mwanasoka huyu alimpa nini Shakira licha ya umaarufu wake.
Nachomkubali Pique ni mkimya, nampongeza kwa hilo ni tabia ya kiume haswa, tangu watengane 2022 Shakira ndio kinara wa kuyaongelea mahusiano yao. Shakira anadai penzi lake na Gerlad Pique limemfanya kumrudisha nyuma na kumuumiza vibaya kimapenzi pia hatamlipizia kisasi kwa kumuongelea kwenye nyimbo zake kama ambavyo amefanya kwenye nyimbo zake zilizopita.
G. Pique yeye hupenda kuongelea zaidi kuhusu watoto wao akihojiwa kuhusu mahusiano yake na Shakira.
Wanawake mkipenda sana ndio mnakuwa kama Shakira?
View attachment 2945429
View attachment 2945273
South America wachawi gambosh na Sumbawanga hamuingii ndani plus Nigeria yenyewe.Kwani nao wachawi pia
😂😂😂😂😂AiseeeeNaweza kumuelewa da Shakira,
Mfano, unakutana na mwanaume shababi, anajielewa(wise, emotional/intelligence) anakuchooota akili ukishachoteka anaendelea na maisha yake kama hakuna kilichojiri kati yenu...(wanawake wengi wanaijua hii)
Kwa kweli
Bora Atoe wimbo tu bwana ampe mipasho tena kama vipi amshirikishe khadija kopa
Hakuna mkuu yani shakira na miuno yote ile nayeye yanampelekesha.KWELI HAKUNA MTAALAMU WA MAPENZI..
beautiful liarHakuna mkuu yani shakira na miuno yote ile nayeye yanampelekesha.
😂 amuimbie xixi sio milima tutakutanaaNaweza kumuelewa da Shakira,
Mfano, unakutana na mwanaume shababi, anajielewa(wise, emotional/intelligence) anakuchooota akili ukishachoteka anaendelea na maisha yake kama hakuna kilichojiri kati yenu...(wanawake wengi wanaijua hii)
Kwa kweli
Bora Atoe wimbo tu bwana ampe mipasho tena kama vipi amshirikishe khadija kopa
Its time for Africa. Sio This time for Africa.This time for Africa...