Shakira bado hajasema, na atasema, yaani mpaka aseme

Shakira bado hajasema, na atasema, yaani mpaka aseme

View attachment 2945502
Hii mama ni nzuri.

Usipagawe na mauno ya stejini, kuna wengine kitandani viuno vigumu ila stejini ni feni.
Kwenye hili penzi Shakira ndo aliependa sana afu mwenetu pique ndo yupo ule upande wa "nakupenda pia" ktk Mazingira kama hayo itakua huyu mwanamke alimpa vingi sana Chali kama ni miuno ni zaidi ya Ile ya jukwaani hawa viumbe akipenda yy hata kama hajui kungusha atazungusha hutakaaa uamini kama n yy
 
Kwenye hili penzi Shakira ndo aliependa sana afu mwenetu pique ndo yupo ule upande wa "nakupenda pia" ktk Mazingira kama hayo itakua huyu mwanamke alimpa vingi sana Chali kama ni miuno ni zaidi ya Ile ya jukwaani hawa viumbe akipenda yy hata kama hajui kungusha atazungusha hutakaaa uamini kama n yy
Mwamba alijua namna ya kuishi nae vizuri, ukishakuwa upande wa nakupenda pia tayari umeshashinda mechi hata kabla haijaanza.
Shakira bado anamkubali mwamba hata akilikataa hilo ila maneno yake yanaonesha.
 
Back
Top Bottom