Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #41
Kwa shakira au kwa pisi nyingine?Ukipata bahati kama hiyo wewe sizani kama utafanya huo ujinga wa jamaa kuwa don't care...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa shakira au kwa pisi nyingine?Ukipata bahati kama hiyo wewe sizani kama utafanya huo ujinga wa jamaa kuwa don't care...
Church boy wapi weweSina unoma wowote mi ni church boy haya mengine ni maneno tu yasikutishe.
Ya mke wa bill Gate ilichagizwa na mali pia.kuchepuka risation.
Mzee Bill Gate akienda kula msosi wa mchana anakamata manzi hukohuko anapiga kimoja anarudi ofisini,wife akaweka mtego likasanuka ndoa ikafa.
G.Pique nae bi Shakira akisafiri na watoto braza anaingiza manzi anapiga mzigo,bi Shakira akashtuka kikasanuka ndo ikafa.
Amini mkuu mi ni keyboard woria swaafi kabisa Intelligent businessman aliwahi kusema ni nyuki wa mashineni 😂Church boy wapi wewe
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hayo ya uchurch boy nahisi uliyaacha shuleni hukooo
Pisi nyingine ila yenye status kama hyoKwa shakira au kwa pisi nyingine?
Haipo mkuuPisi nyingine ila yenye status kama hyo
Siku 1 jobless pro max Nita enda huko, ila ni Baada ya kuwa future billionaire 😂🤓Ni mzuri mbegu ya colombia hilo bara lao lina nchi zenye wanawake wazuri sana na wenye kujua kupenda.
😂😂😂😂😂 Sasa nikuweke kwenye kundi gani..Haipo mkuu
Nisha sema maneno mengi ya nini, tukutane ngumi zitembee😂🤓Amini mkuu mi ni keyboard woria swaafi kabisa Intelligent businessman aliwahi kusema ni nyuki wa mashineni 😂
Future BSiku 1 jobless pro max Nita enda huko, ila ni Baada ya kuwa future billionaire 😂🤓
Sana amove on tuanatapa tapa
Naam, kaa na Mimi vizuri, uje uwe una hadithia mwamba namjua😂🤓🤒Future B
Ahahahahahah mwamba nilikua nakesha nae huyu....Naam, kaa na Mimi vizuri, uje uwe una hadithia mwamba namjua😂🤓🤒
Utaumia janja nakuonea huruma kwanza joblesdNisha sema maneno mengi ya nini, tukutane ngumi zitembee😂🤓
itamchukua muda maana mpaka sasa bado anaonekana haja move on.Sana amove on tu
Trust me, kufikia 2030-2031 tutakuwa tusha fika tunapo pataka💪Ahahahahahah mwamba nilikua nakesha nae huyu....
Sema jamaa katoboa kiajabu ajabu sana aiseeee 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂 mkuu acha bangidaNaam, kaa na Mimi vizuri, uje uwe una hadithia mwamba namjua😂🤓🤒
Oya kitambaa cheupe pahusike Sasa hivi.Utaumia janja nakuonea huruma kwanza joblesd
Acha uchawi, wivu sio mzuri ujue😃😂😂 mkuu acha bangida
Church boy mkuu, huko kwingine sipo.😂😂😂😂😂 Sasa nikuweke kwenye kundi gani..
Kijana wa hovyo au
😂😂😂😂😂