Shakira bado hajasema, na atasema, yaani mpaka aseme

Mwamba alijua namna ya kuishi nae vizuri, ukishakuwa upande wa nakupenda pia tayari umeshashinda mechi hata kabla haijaanza.
Shakira bado anamkubali mwamba hata akilikataa hilo ila maneno yake yanaonesha.
Manzi bado anamkubali sana Jamaaa....sema wazungu nae hawawezagi kuhimili mambo ya kuchapiwa huku kwetu Enaboishu tunasema kuchapiwa ni Siri ya ndani tunaumia kimya kimya
 
Naweza kumuelewa da Shakira,
Mfano, unakutana na mwanaume shababi, anajielewa(wise, emotional/intelligence) anakuchooota akili ukishachoteka anaendelea na maisha yake kama hakuna kilichojiri kati yenu...(wanawake wengi wanaijua hii)
Kwa kweli
Bora Atoe wimbo tu bwana ampe mipasho tena kama vipi amshirikishe khadija kopa
 
"Anateswa na zimwi la penzi kuzidi kumuongelea mara kwa mara kwenye interviews inadhihirisha bado anamuelewa sana mwamba",


Mwisho wa kunukuu

Cc Smart911
 
KWELI HAKUNA MTAALAMU WA MAPENZI..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Aiseeee
 
πŸ˜‚ amuimbie xixi sio milima tutakutanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…