Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Pascal anataka kumanisha dereva wa Lissu alishirikiana na watu wasiojulikana kitu ambacho si rahisi kabisa.Nimemsoma vizuri sana ! huyo jamaa ni mnafiki tu ; namfahamu vizuri sana kwa kuuma na kupuliza .
Siyo swala la CDM huyo kijana (dereva) alikuepo muda wote tokea kupigwa kwa Lissu, hospital na hata kesho yake . Je police (serikali) ilichukuwa hatua zipi .Tatizo la CHADEMA.mtu akiuliza swali wanalopenda wao hukuona kichwa, lakin wasilopenda eti unajidhalilisha hahaha this is CHADEMA bwana
Pascal ni mnafiki kama humfahamu atakusumbua sana .Kwa Leo umefeli sana nilikuanini kumbe sifiri kabisa
Amejitoa ufahamu.Je Dereva wa Lissu anaweza kuwarubuni Walinzi? wote
Kwa ufupi Pascal naomba nikuulize, jee unadhani dereva sehemu gani salama kwake kukimbilia alipoona anafuatilliwa zaidi ya Nyumbani ambako getini kuna kikosi cha ulinzi? Nyumba ya Tulia kuna walinzi? yaani ni eneo salama!Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.
Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.
Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
Hitimisho.
- Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
- The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
- Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
- Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
- Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
- Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
- Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
- Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
- Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
- Maswali yataendelea
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.
Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums
Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.
Pole.
P.
Hapo ndipo utakapojua kuwa logic hailipi.
Ingekuwa hivo angepigwa risasi nyingi sana upande wa kulia ambao ndio ungelikuwa umewaelea washambulizi (waliokuwa kushoto mwa gari).
Pamoja na hivo haijibu swali la kwa nini mwili uliingiliwa na risasi shambulizi toka pande mbili tofauti. Zile bullet entry wounds za upande aliokuwepo dereva (na sio washambulizi) wazielezeeje?
Na pili swala la walinzi na kamera linaonyesha tu jinsi mtandao wa washambulizi ulivyo mpana na wenye nguvu. Tutaufuchuaje bila kujua story ya dereva..shahidi muhimu tena ambaye risasi shambulizi zimetokea upande aliokuwepo pia?
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.
Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.
Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
Hitimisho.
- Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
- The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
- Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
- Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
- Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
- Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
- Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
- Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
- Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
- Maswali yataendelea
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.
Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums
Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.
Pole.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums
Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums
P.
Watu wakikosa hoja wanatapa tapa Sana ,..risasi inaweza kupiga upande mmoja ikatokea upande wa pili.
..inaweza kuingia mguu wa kushoto, ikapita kwenye nyama, ikitokea upande wa pili na kuvunja mfupa wa mguu wa kulia.
..pia hizo risasi zilivyokuwa zinampata lazima ali-move, aligeuka-geuka, kutokana na kishindo cha risasi na maumivu.
..kwa maoni yangu hoja ya kwanini ameumia mguu wa kulia na siyo kushoto siyo nzito sana.
..Anaweza kuwa amepigwa risasi nyingi kushoto, na chache kulia, lakini MADHARA makubwa yakawa upande wa kulia. Hiyo inatokana na ukweli kwamba inategemea risasi ilipiga eneo gani.
..Kwa mfano, risasi inaweza kupiga nyama au msuli. Hapo utatibu jeraha. Lakini ikipiga mfupa maana yake utatibu mfupa na jeraha.
NB.
..Risasi zilitokea upande aliokuwa amekaa Tundu Lissu.
Vipi kuhusu risasi ile iliyopita kwenye kioo imepunguaje spidi isifike kwa derevaTatatizo kisomo kidogo 450m in free space medium is air but attack was through the metallic of car this was advantages of tundu lisu
Je nikweli Dereva anaweza kuwarubuni walinzi wote wasiwepo kwenye lindo Hao walio panga hilo tukio la kinyama Hawakutumia akili na Maanisha Hata Mtu anaye tumia akili za kuvukia barabara anaweza kujua nini kilifanyikaSasa Kama dereva anahusika au hahusiki ,
Serikali mbona mpka Sasa haijachunguza hilo tukio ??
Kwann hawataki wachunguzi wa kimataifa wanaogopa nn??
Na yule aliyesema kwamba Askari km mko vitani ikaonekana kuna msaliti ni kumuua tu , kwann yeye usimdhaniye kwamba anahusika ??
Kwann watu wakivaa t-shirt zilizoandikwa pray for Lissu wanakamatwa ??
Mengine nitauliza baadae
Mkuu unapata tabu bure tuu, hawa watu wanaleta ujinga wao kwenye mambo ya msingi...risasi inaweza kupiga upande mmoja ikatokea upande wa pili.
..inaweza kuingia mguu wa kushoto, ikapita kwenye nyama, ikitokea upande wa pili na kuvunja mfupa wa mguu wa kulia.
..pia hizo risasi zilivyokuwa zinampata lazima ali-move, aligeuka-geuka, kutokana na kishindo cha risasi na maumivu.
..kwa maoni yangu hoja ya kwanini ameumia mguu wa kulia na siyo kushoto siyo nzito sana.
..Anaweza kuwa amepigwa risasi nyingi kushoto, na chache kulia, lakini MADHARA makubwa yakawa upande wa kulia. Hiyo inatokana na ukweli kwamba inategemea risasi ilipiga eneo gani.
..Kwa mfano, risasi inaweza kupiga nyama au msuli. Hapo utatibu jeraha. Lakini ikipiga mfupa maana yake utatibu mfupa na jeraha.
NB.
..Risasi zilitokea upande aliokuwa amekaa Tundu Lissu.
Waulize waliopiga risasi mkuuVipi kuhusu risasi ile iliyopita kwenye kioo imepunguaje spidi isifike kwa dereva
Ujue bunduki iliyotumika ni assault rifle kwa mujibu wa maelezo yake. Maana AK47 ni aina ya assault rifle, ina uwezo mkubwa mno.Waulize waliopiga risasi mkuu
Na CCTV camera zikatolewa siku hiyo tu ??Je nikweli Dereva anaweza kuwarubuni walinzi wote wasiwepo kwenye lindo
Mungu naye ana uwezo zaidi ya hiyo bundukiUjue bunduki iliyotumika ni assault rifle kwa mujibu wa maelezo yake. Maana AK47 ni aina ya assault rifle, ina uwezo mkubwa mno.
Ziwepo zisiwepo that isn't my fvcking business.Kwa hiyo hapakuwa na cctv camera pamoja na walinzi...yaani hilo eneo halikuwa na ulinzi wowote...!? Shetani mkubwa wewe