Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Hapo ndipo utakapojua kuwa logic hailipi.
Ingekuwa hivo angepigwa risasi nyingi sana upande wa kulia ambao ndio ungelikuwa umewaelea washambulizi (waliokuwa kushoto mwa gari).
Pamoja na hivo haijibu swali la kwa nini mwili uliingiliwa na risasi shambulizi toka pande mbili tofauti. Zile bullet entry wounds za upande aliokuwepo dereva (na sio washambulizi) wazielezeeje?

Na pili swala la walinzi na kamera linaonyesha tu jinsi mtandao wa washambulizi ulivyo mpana na wenye nguvu. Tutaufuchuaje bila kujua story ya dereva..shahidi muhimu tena ambaye risasi shambulizi zimetokea upande aliokuwepo pia?
Sasa kwanini hamumkamati dereva?
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.

Kaka Paskali nashukuru sana kwa umahiri wako wa uandishi na kuangalia suala hili kwa jicho la 3D. Hii sasa ndio aina ya uandishi unaostahili na sio kwa hili tu bali kwa mambo yote yenye utata wa hivi.

Ila ngoja nikuambie, andika uwezavyo, hoji upendavyo lakini jambo hili liko wazi hata kwa mtoto mdogo kuona uhalisia ulipo. Labda kama umeandika ili kupata uhalali wa zile mada zako zilizopelekea kuitwa Dodoma. Naheshimu maoni yako na chochote kinachokupa mashaka, lakini kwa hili liko wazi mno.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Jiulize tu risasi 38 mtu hajafa? Utauhoji kwanini asife?
 
Sasa kwanini hamumkamati dereva?
Sina mamlaka hayo.
Nadhani mpaka sasa una uhakika ningekuwa nayo ningeshamhoji siku nyingi.
kwa namna yoyote ile unavyoliangalia hili shambulio, huyu dereva ni shahidi muhimu sana. Hao ambao hawajatumia madaraka yao kumfata na kumhoji ninawaangalia na kusema "hiiii"

Katika dhana nyinyine, Sidhani kama Lissu angeshambuliwa ndani ya gari la serikali akiwa katika safari za kamati za bunge kisha dereva akamlaza kifudifudi kama unavyodai ungechukua msimamo huu endapo serikali isingechukua hatua madgubuti kumhoji na kupata ushahidi wa dereva
 
Sina mamlaka hayo.
Nadhani mpaka sasa una uhakika ningekuwa nayo ningeshamhoji siku nyingi.
kwa namna yoyote ile unavyoliangalia hili shambulio, huyu dereva ni shahidi muhimu sana. Hao ambao hawajatumia madaraka yao kumfata na kumhoji ninawaangalia na kusema "hiiii"

Katika dhana nyinyine, Sidhani kama Lissu angeshambuliwa ndani ya gari la serikali akiwa katika safari za kamati za bunge kisha dereva akamlaza kifudifudi kama unavyodai ungechukua msimamo huu endapo serikali isingechukua hatua madgubuti kumhoji na kupata ushahidi wa dereva
Mkuu hii issue haitaji akili kubwa hivyo kung'amua nani kahusika, hata mtoto wa standard one anajua nani alitaka kumuua Lissu..

"haiwezekani ukawa msaliti halafu ukasurvive, askari wakiwa vitani mmoja akawasaliti wanajua nini cha kufanya"
 
Pascal,huna hoja zilizo jaa critical thinking? Maana unaacha kabisa kugusa sehemu zilizobeba logic badala yake unazunguka kwenye vijihoja muda wote ili tu uweze kupata uteuzi.Deus de amor.To every action there is an equal and opposite reaction. Heri kufa na fikra hai kuliko kuishi na fikra mfu.
 
Kuripoti kwamba nikuitisha vyombo vya habari?Au huko shuleni mlifundishwa ukitishiwa uhai unakusanya watu na kuwaadithia?Au ulifundishwa ukitishiwa uhai unaenda kutoa taarifa sehem husika.Ni mwanasheria koko tu ambaye swala la uhai wake anafanya press conference wakati sheria husika na taratibu husika anazijua nini afanye.

Kwa hili una hoja ya msingi. Lakini hili lingewezekana kwa jeshi linalofanya kazi kwa weledi na sio jeshi linalotii amri toka juu kuliko sheria zisemavyo. Kwenye nchi za kiafrika hasa zenye chembechembe za udikteta ni nadra sana jeshi la polisi kuwalinda wakosoaji wa serekali. Hili kubali kataa lakini habari ndio hiyo.
 
Hahaha Bavicha huwa mna ujinga mwingi sana yani amefeli kwakuwa kaongea kisicho kupendeza? Sasa demokrasia na uhuru mnao ulilia kila leo huwa mna maanisha nini? Kulitaja neno demokrasia ni rahisi sana lakini kuishi demokrasia ni swala lingine...hahaha
Hajatumia critical thinking.
 
Watoto hutenda mambo yote kwa mapokeo badala ya uyakinifu.Lakini ikitokea mtu mzima hatumii uyakinifu,basi huo ni ulemavu.
 
@Pascal Mayalla ni kweli hili swala ki undani ni mission iliyoundwa kitoto sana, risasi 38 dereva asipatwe hata na risasi moja? Inamaana alijua mapema ndiyo maana akalala uvunguni mwa gari ya pembeni kabla risasi hajijarushwa.
Pia katika press conference Mbowe alipoulizwa dereva yuko wapi akadai anatibiwa ki saikolojia baada ya kuathirika na tukio hilo, hapa sasa ni mwaka mzima hatujamuona inamaana hajapona?
Dereva alidai kuwa aliwaona washambuliaji na anawajua kwanini asireport kituoni akiwa na wanasheria wa chadema akatoa ushahidi ili wakamatwe? Sina uhakika kama dereva wa Lissu kama yuko hai mpaka leo . R.i.p. Chacha Wangwe.

Nani alikuwa anamtafuta dereva, dereva amewahi kumuia mtu dictator? kutetea shambulio lile kwa kutumia hali ya Dereva ni kuzuia risasi na debe.
 
Back
Top Bottom