Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Nimegundua kwamba kumbe Chadema inaongoza na CCM inatawala. Kumbe Chadema ina viongozi wengi kiasi hiki nchini? Wananunuliwa hawaishi tu? Yaani kila siku kuna tunasikia kiongozi fulani wa Chadema amajiuzulu. Kwani sasa CCM ina viongozi eneo gani la nchi? Yaani kwa mkupuo mmoja na siku moja unasikia wenyeviti 20 wa vijiji na vitongoji wa Chadema wajiuzulu. Sasa mbona hawaishi? Kila anapokanyaga mzee anakutana na viongozi wa Chadema. Hii inamfanya akate tamaa ya kutawala maana walio chini yake wote ni Chadema, tena wanatawala maeneo nyeti kiuchumi. Hongera Chadema kwa kuongoza na wao kutawala. Haiwezekani kila kona ya nchi ni viongozi wa Chadema tu. Sasa CCM ilishinda wapi? Hii inaonyesha jinsi ambavyo kweli bao la mkono lilipigwa 2015. Hii nunua nunua imetufumbua macho kushuhudia jinsi Chadema ilivyoshinda maeneo Mengi nchini mwaka 2015.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
SIACHI KUKUHUSUDU KIONGOZI WANGU ILA KWA HILI BANDIKO KIUKWELI SI LA VIWANGO VYAKO.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Ulikuwa role model wangu mbona hivyo tena...hata mnyama anaona sehemu salama ya kukimbilia ni nyumbani! huoni dereva alipoona anafuatiliwa akaona sehemu salama ni nyumbani kwake lissu ambako pia ni makazi ya serekali yenye ulinzi masaa.24?
 
Enyi kizazi kisichoelewa? tutakaa nanyi mpaka lini? je... ni kufungwa au kurogwa kwa akili zenu? ikiwa Pascal Mayalla amelieleza hili kwa lugha nyepesi na hamkuweza kulielewa.je si vyema aliyosema nabii wetu kuwa yeye ni kichaa na anateua watu vichaa? je sisi tutakuwa salama katika hili? ni vyema alivyotabiri nabii .......akisema "watu hawa hu graduate kwa vyeti ila akili zao zipo mbali na elimu, nao hupoteza muda bure kujifunza elimu iliyo utashi wa mwanadamu"

pascal ni kazi sana kuwwandikia watanzania wakaelewa. uelewa wao ni mdogo sana. na huo mdogo umekuwa clouded na mahaba. they dont think wanaendeshwa na mahaba.

Hili nimelizungumza sana watanzania elimu yao ni ya mashaka sana, watu hawana reasoning, hawana uwezo wa kufanya analysis. Ni elimu ya hovyo isiyojenga independent thinking. Uzi huu wa pasco niliusoma kisha nikasoma comments nikajishangaa sana, jamaa kamaliza chini kwa kuweka wazi kila kitu ila watu hawaelewi kitu.
 
Mbona Paschal Mayala kaongea sawa tu nashangaa mnao mtuhumu, ktk issue ya kiuchunguzi hauwezi kumuweka pembeni dereva wa Mh Lissu maana ni wao wawili tu ndo walikuwa ktk gari

Kwa mfano labda hata wewe umeenda sehemu umekaa tu kwa sababu zako afu jirani na ulipo umetokea uhalifu na wamekuja askari polisi wamekamata wote walio hapo jirani na tukio la uhalifu nawe wame kubeba kwa sababu ni lazima waanzie sehemu kuchunguza hata kama hauhusiki na hilo tukio

Tukirudi ktk mada kwa kusema tu dereva nina muamini haitoshelezi kutotiliwa mashaka huyo dereva hata kama hana hatia lkn shuku juu yake ni ya msingi na wanaoitoa wasionekane tofauti

Hata ktk maandiko matakatifu tunajua Masihi/ha alisalitiwa na mtu wake wa karibu kwa vipande vya pesa kwahiyo lolote linawezekana
Mkuu ukisema kutiliwashaka inawezekana ila kwa jinsi Kiongozi Mayalla hoja alivyozipanga naona kama zimepwaya pwaya!
 
Pascal Mayalla umelishemsha dude mchana wa leo na hii single ya singeli yako mpya, yaani hapa umeongea point tu na it's true kwa uyasemayo ila nasikitika tu kwa baadhi ya wabongo kuyapinga kwa kuwa walishajiaminisha ujinga bila kufikiri nje ya box. Yes, unaweza kuwa umetoka mbali na mtu ila katika hela Usishangae ukaja salitiwa kwani hata Yesu ilimtokea sembuse Lissu, who is he? Watanzania wengi (binadamu) si wa kuwaamini 100%, you'll be a fool to do so. Well said Pascal. Wewe ni kichwa. Subiri kuitwa tena Dodoma kwenye kamati ya ulinzi ukaulizwe ulifikiriaje. Keep it up.

mwenyewe hujaelewa kama wanaomtukana pasco, hebu soma para mbili za mwisho uone pasco anamaanisha nini
 
Someni vizuri hitimisho lake. Ndipo point yake ilipo. Wasiojulikana wanajulikana na ndio maana hawataki uchunguzi. Hiyo ndiyo pointi ya Paskal
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuubunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Umasikini ni jambo baya sana...
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Haya ni maswali ya msingi sana.
Mimi nina swali moja..

Risasi alizopigwa Lissu tokea upande
Habari zote za zilizo hadharani za mashuhuda tangu siku ya tukio na hata Lissu mwenyewe anasema washambulizi wake walikuwa upande wa kushoto.
Ni dereva tu aliyeruka na kujificha upande wa kulia.

Risasi alizopigwa Lissu tokea upade wa kulia zilirushwa na nani?
Bila kumhoji vizuri dereva wala hatutajua.
Na katika maswala ya uhalifu na uchunguzi hili swali lazima lijibiwe tena lijibiwe kwa kikamilifu.

Swali la pili ni hizo risasi (slugs) zilizotolewa huko nje ya nchi je zimefanyiwa uchunguzi (Ballistic examination and analysis) wa kitaalam kuwa ni za aina gani na zilitumiwa na bunduki ipi?

Tuache bla bla kwenye hili swala. Tunaoliangalia kwa jicho kavu tunapata mshangao na maswali kuliko majibu.
 
Mkuu pasco... hapo kwenye hitimisho unatukera sana sisi buku 7 ilhali tulianza vizuri kabisa huu uzi.
 
Haya ni maswali ya msingi sana.
Mimi nina swali moja..

Risasi alizopigwa Lissu tokea upande
Habari zote za zilizo hadharani za mashuhuda tangu siku ya tukio na hata Lissu mwenyewe anasema washambulizi wake walikuwa upande wa kushoto.
Ni dereva tu aliyeruka na kujificha upande wa kulia.

Risasi alizopigwa Lissu tokea upade wa kulia zilirushwa na nani?
Bila kumhoji vizuri dereva wala hatutajua.
Na katika maswala ya uhalifu na uchunguzi hili swali lazima lijibiwe tena lijibiwe kwa kikamilifu.

Swali la pili ni hizo risasi (slugs) zilizotolewa huko nje ya nchi je zimefanyiwa uchunguzi (Ballistic examination and analysis) wa kitaalam kuwa ni za aina gani na zilitumiwa na bunduki ipi?

Tuache bla bla kwenye hili swala. Tunaoliangalia kwa jicho kavu tunapata mshangao na maswali kuliko majibu.
Mkuu Lissu alilaza kiti halafu akalalia tumbo so automatically unaelewa upande wa kulia ulipigwaje risasi.

Mnaacha kuuliza camera na walinzi wa pale home kwake walikua wapi mnakuja kuuliza mambo yasiyo na logic
 
Someni vizuri hitimisho lake. Ndipo point yake ilipo. Wasiojulikana wanajulikana na ndio maana hawataki uchunguzi. Hiyo ndiyo pointi ya Paskal
Na hao wasiojulikana kwa tukio kama hili walikuwa na mtandao wao tena mpana..
Sasa kwa nini hatutaki kupanua jicho na fikra?
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Umesomeka
 
Mkuu Lissu alilaza kiti halafu akalalia tumbo so automatically unaelewa upande wa kulia ulipigwaje risasi.

Mnaacha kuuliza camera na walinzi wa pale home kwake walikua wapi mnakuja kuuliza mambo yasiyo na logic
Hapo ndipo utakapojua kuwa logic hailipi.
Ingekuwa hivo angepigwa risasi nyingi sana upande wa kulia ambao ndio ungelikuwa umewaelea washambulizi (waliokuwa kushoto mwa gari).
Pamoja na hivo haijibu swali la kwa nini mwili uliingiliwa na risasi shambulizi toka pande mbili tofauti. Zile bullet entry wounds za upande aliokuwepo dereva (na sio washambulizi) wazielezeeje?

Na pili swala la walinzi na kamera linaonyesha tu jinsi mtandao wa washambulizi ulivyo mpana na wenye nguvu. Tutaufuchuaje bila kujua story ya dereva..shahidi muhimu tena ambaye risasi shambulizi zimetokea upande aliokuwepo pia?
 
Mtu mwenye akili timamu na ambaye hana chembe hata kidogo ya kichaa ++ angeanza hivi;Siku hiyo walinzi walienda wapi?Je,wamechukuliwa hatua gani?Je, aliposema kuwa anafuatiliwa kwa siku za nyuma kabla ya tukio,taasisi husika ilichukuwa hatua gani?Je,ni kwanini taasisi husika ilisema kuwa haifanyi kazi kwa taarifa za mtandaoni,bali ataje kuwa alienda kuripoti kituo gani?Je,ni kwanini Lisu na wengineo wamewahi kukutwa na makosa kwa kupitia taarifa za mtandaoni?Ni kwanini dereva hajakamatwa wakati kuna sheria inayoruhusu mtu kuhojiwa na hata kukamatwa akiwa nje ya nchi yake?Acha niishie hapa kwakunukuu maneno ya aliye wahi kuwa rais wa Afrika kusini ajulikanaye kama P. Botta alisema"Mwafrika hata akisoma hawezi Acha upumbavu wake".
 
Haya ni maswali ya msingi sana.
Mimi nina swali moja..

Risasi alizopigwa Lissu tokea upande
Habari zote za zilizo hadharani za mashuhuda tangu siku ya tukio na hata Lissu mwenyewe anasema washambulizi wake walikuwa upande wa kushoto.
Ni dereva tu aliyeruka na kujificha upande wa kulia.

Risasi alizopigwa Lissu tokea upade wa kulia zilirushwa na nani?
Bila kumhoji vizuri dereva wala hatutajua.
Na katika maswala ya uhalifu na uchunguzi hili swali lazima lijibiwe tena lijibiwe kwa kikamilifu.

Swali la pili ni hizo risasi (slugs) zilizotolewa huko nje ya nchi je zimefanyiwa uchunguzi (Ballistic examination and analysis) wa kitaalam kuwa ni za aina gani na zilitumiwa na bunduki ipi?

Tuache bla bla kwenye hili swala. Tunaoliangalia kwa jicho kavu tunapata mshangao na maswali kuliko majibu.
Mkuu Lissu alilaza kiti halafu akalalia tumbo so automatically unaelewa upande wa kulia ulipigwaje risasi.

Mnaacha kuuliza camera na walinzi wa pale home kwake walikua wapi mnakuja kuuliza mambo yasiyo na logic
 
Back
Top Bottom