Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Sidhani kama serikali yetu ina mpango wa kumjua mfyatuaji wa risasi kwa lissu kwani mpango ungekuwa ni huo evidence zipo nyingi bila hata kumhoji Lissu na dereva wake.

Ni kweli usaliti huwa upo but Mayalla usiikimbie hoja ya msingi kwani kufanya hivyo ni kutupotezea muda kujadili au kuitafuta thamani ya kitu ambayo iko wazi. Waliojaribu kufanya umafia ule walipungukiwa ujuzi mwingi mno au MUNGU wetu ELSHAADAI alisimama and not otherwise.
Usituhamishe relini Mayalla kwa post za mkwepo kama hizo simama kwenye uhalisia. Tujadili mengine ya kuumiza vichwa siyo hili. Ndiyo maana wengi wanadai toka uitwe na ile kamati post zako zimeanza kuwa na makengeza. Unaelekea kuwapongeza waovu na uovu wao kwa style ya kutuhamisha kwenye reli tuamini kuwa siyo serikali hii iliyoshiriki shambulio lile bali ni Dereva wa Lissu.

I stand to be corrected but really you are not normally normal.
Hoja ya msingi.
 
Hata Mungu alijua kuwa Yesu atasulubiwa ili aliacha yatimie ili sisi tukombolewa.

Kupitia shambulio la Lissu,hata sisi tutakombolewa(sometimes Mungu huruhusu mambo fulani yatokee kwa malengo maaalumu).

Kumbuka wangekuwa na nia wasingeshindwa kwenda kuwahoji hospitalI ya Nairobi.

Jiulize tu angekuwa ni kigogo wa serikali alieshambuliwa kama huyo dereva wasingemfuata kumuhoji hata kama angekuwa ni Ulaya.
Sema wewe utakombolewa sisi tukombelewe nini
 
Tukiweka mambo ya mungu pembeni (kuwa siku yake ya kufa haifika). Haiingii akili risasi zoote zile (30+) na mtu akabaki salama. So either waliotumwa ni armature au walitumwa kumtishia tu.

Na kama ni armature assassins, maswali yanakuwa meengi zaidi kuliko majibu. Maana waliwezaje kumfuatilia lisu kwa kipindi choote hicho na asichukue hatua yoyote ya kujilinda. unless yeye alikuwa hatambui hilo na sivo inavotamkwa kuwa walijua wanafuatiliwa tangu dar/moro.
------
 
Paskali mjanja mjanja anagata na kupuliza soma mistari ya kwenye hitimisho utamwelewa vizuri usikurupuke.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
@Pascal Mayalla ni kweli hili swala ki undani ni mission iliyoundwa kitoto sana, risasi 38 dereva asipatwe hata na risasi moja? Inamaana alijua mapema ndiyo maana akalala uvunguni mwa gari ya pembeni kabla risasi hajijarushwa.
Pia katika press conference Mbowe alipoulizwa dereva yuko wapi akadai anatibiwa ki saikolojia baada ya kuathirika na tukio hilo, hapa sasa ni mwaka mzima hatujamuona inamaana hajapona?
Dereva alidai kuwa aliwaona washambuliaji na anawajua kwanini asireport kituoni akiwa na wanasheria wa chadema akatoa ushahidi ili wakamatwe? Sina uhakika kama dereva wa Lissu kama yuko hai mpaka leo . R.i.p. Chacha Wangwe.
 
Mkuu Pascal, usitumie vibaya imani uliyopewa na jamii bila gharama yoyote. Ukiipoteza hutoipata kamwe. Uaminifu ni tunu pekee ambayo hata maskini anaweza kuimiliki.

Ukimpenda au kujipendekeza kwa fulani, usiwe kama dodoki.
 
Tungeipata CCTV Mzee ingemaliza mzizi wa fitina huoni kama hapa kipo kitu kinafichwa he Mzee walikuwa wapi wale walinzi wa kila siku pale pia mashaka mengi sana yapo kwenye hili kuliko maswali yako
 
Pia Kwa nn umtishe mpaka unwambie achague kuishi na uanaharakati wakti kasema atakufa nao Kwa kauli hizi Mzee lipo ulijualo hakika
 
wabongo badilikeni huu ujinga wakutaka kusikia mnachokipenda mtaacha lini ? mnavagaa mtoa mada badara ya kujibu alichouliza
kuna kipindi watu waliuliza Lissu alisharipoti maswara ya kufatiliwa serikali haikuchukua hatua yoyote lakini chama cha mbowe kilijitete kwamba atua ya kwanza walimbadilishia Lissu dreva nakumpa dreva mwenye mafunzo ya hali ya juu sasa leo Lissu anasema dereva wake yuko nae tangu anamiaka 19 which is which
 
Unaelewa nini kuhusu "kuripoti", au lishe duni imekuathiri!
Kuripoti kwamba nikuitisha vyombo vya habari?Au huko shuleni mlifundishwa ukitishiwa uhai unakusanya watu na kuwaadithia?Au ulifundishwa ukitishiwa uhai unaenda kutoa taarifa sehem husika.Ni mwanasheria koko tu ambaye swala la uhai wake anafanya press conference wakati sheria husika na taratibu husika anazijua nini afanye.
 
W
Lisu is simply a clean slate call em tabula Rasa,anadai kutishiwa maisha for months na hana imani na police halafu anatembeare kaning
iniza pumbu Tu.
 
MAYALLA SIJUI MALAYA NAOMBA UPOKEE HIYO BAHASHA YA KAKI KISHA RUDI NYUMBANI, FUNUA LAPTOP, ANDIKA ARTICLE, ILA USITAJE NENO tundu lissu.

THREAD CLOSED.
 
Kuripoti kwamba nikuitisha vyombo vya habari?Au huko shuleni mlifundishwa ukitishiwa uhai unakusanya watu na kuwaadithia?Au ulifundishwa ukitishiwa uhai unaenda kutoa taarifa sehem husika.Ni mwanasheria koko tu ambaye swala la uhai wake anafanya press conference wakati sheria husika na taratibu husika anazijua nini afanye.

Mizengo Pinda aliripoti wapi kuwa Sugu kamuita mpumbavu bungeni? Hadi afunguliwe kesi Mahakamani Dodoma?

Rais aliripoti wapi kwamba Sugu kamtukana hadi Sugu akamatwe, ahukumiwe hadi afungwe!

Au ile ibara inayosema "equality before the law" haiwahusu CCM na viongozi wake?
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Pascal Leo umeandika kishabiki sana,you need to view hoja za lissu in an angle of analytic mind.
Kwanini police wasiende kimhoji huko?
Yani dereva kama anahusika,chadema wangem-protect vipi ilihali wao walikuwa wanataka vyombo huru vya uchunguzi ambavyo serikali ilikataa?
You think it would have been easy for chadema to fool FBI or Scotland Yard?
Pascal you've failed miserably on this and I'm so disappointed
 
Watu wakiitwa huko au kutekwa wakirudi wana kuwa kimyaaaa kwa muda na siku wakiibuka wanatoa mvuke sijui huwa wanafanyiwa vitendo gani hadi wanakosa ujasiri, wana kuwa waoga na wana kuwa na aibu sana. Kuna siku tutajua kinachojiri huko.
 
Back
Top Bottom