Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Yaani mtu atake kukuua halafu umlinde hii haipo hata kwa mnyama asiye na akili. Tundu hajafa watu wanatengeneza hisia kama hizo, je angekufa maharamia si ndo wangezusha theory za ajabu. Kweli kuna watu ni mashetani.
Mkuu , inakera Sana , yaani hapa Nina hsira za kufa mtu
 
Umeniangusha kabisa, that’s not you Pascal I used to know. So yeye ndiye alitoa camera za cctv? Hivi kweli hawa kijani wanavyopenda sifa wangeacha hili bila uchunguzi ilihali hawahusiki? Shame on you, labda useme kuwa anahusika na alitumwa na kijani mkuu (zero brain)
 
tungekuwa zile nchi za watu wanaojitoa muhanga ww ulikuw wa kukamtwa na kuchinjwa 2
 
Katika siku paskal umeandika Uharo basi ndo leo maananinaonesha hujaelewa alichoandika Lisu maana ungesoma kwa makin usikuja na bandiko hili.Kumbe kweli kumwelewa lisu kwa haraka ni kipaji ambacho na wewe mwandishi nguli huna
 
Mkuu Lissu alilaza kiti halafu akalalia tumbo so automatically unaelewa upande wa kulia ulipigwaje risasi.

Mnaacha kuuliza camera na walinzi wa pale home kwake walikua wapi mnakuja kuuliza mambo yasiyo na logic
Acheni porojo nyie,hivi unajua kuvamiwa wewe?Yani wavamizi walitoa hadi mda wa lisu kulaza kiti na dereva kushusha ndipo wakaanza kumimina risasi ovyo?Alijuaje kama wamekuja kumshambulia na sio kumteka?Hili tukio ukilijengea image unakuta unapata movie ya kibongo ambayo muuaji anaonja sumu ka imekolea.
 
Bavicha hawataki kabisa kusikia hoja za dereva.
 
Paskali Ukweli Sikujui Vizuri naonaga unaandika humu na kudai umeisoma Report Vizur ya lissu ... Wew umekimbilia kuelekeza Akili zako Kwa Dereva !! Mbona kuna Vitu hapo Amaevielezea Mh.Lissu Kama Kuondolewa kwa Walinzi wote Area D , na CCTV camera Zote !! Mbona umekimbilia kuulizia Dereva tu ?? Does it Make Sense ?? ..... TUSILETE UTANI KWENYE ROHO ZAWATU......PASKALI UMETUMWA FULL STOP!! AU UNATAFUTA UKUU WA WILAYA??
 
We sasa kushusha kiti kinanachukua dakika ngapi?Hapa kama huna gari huezi kuelewa.Inaonesha unadhani kushusha kiti ni sawa na kushusha sofa ghorofani
 
Pumba tupu umeongea.Kama askari wanalikua na dhana duni,je hakuna hoja kuwa nao waliwekwa chini ya ulinzi?
 
Mkuu kumbe na wewe una roho kutu hivi?

Kwa mwenenendo huu, ni wazi kama asingepona, basi mngesema pia hakupigwa risasi.

Kwanini haushangai muujiza wa risasi 16 kuingia kwenye mwili wake lakini bado aka survive? Wewe badala yake unashangazwa kwamba dereva hakupatwa na risasi. Unadhani amekuwa dereva wake toka akiwa na miaka 19 kwasababu ya ulegelege?

Wekeni ubinadamu kidogo bhana! Sasa pengine ana kipaji sana ndo maana hata wabelgiji wameamuwa kumsomesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…