Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Naona unachapa kaporojoporojo ka kuuficha mwili kwa viganja Vya mikono. Ungemjibu tu na tuswali twake twa kipuuzi kwamba, walinzi wa eneo hill walienda wapi, na kwanini camera zilikuwa chopped ili afute ujinga wake?
 
Pascal Pascal Mayala kwahiyo una assume kwamba watu wote wanajua nini cha kufanya kama wanafwatiliwa are you serious??? Hapana kuna kitu hakiko sawa hapa au unamanisha nn?????!!
 
Ujue bunduki iliyotumika ni assault rifle kwa mujibu wa maelezo yake. Maana AK47 ni aina ya assault rifle, ina uwezo mkubwa mno.
Huna akili, kwani kila risasi iliyopita lazima ipate target yake? Kuna matundu 38 lakini mbona zilimpata 16? Usiwe unauliza maswali ya kutia hasira, Lissu ameumia sana na kulala kitandani mwaka mzima kisha unaleta kejeli?
 
Huna akili, kwani kila risasi iliyopita lazima ipate target yake? Kuna matundu 38 lakini mbona zilimpata 16? Usiwe unauliza maswali ya kutia hasira, Lissu ameumia sana na kulala kitandani mwaka mzima kisha unaleta kejeli?
Zilimpata 16 na zikaja kuondokewa zaidi ya 28 mwilini mwake kule Nairobi kama mnakumbuka mlisema hivyo.

Uongo unahitaji kumbukumbu fasaha sana, haya mwenye akili nyingi hadi kushindwa idadi mbili tofauti hongera kwa kuwa na kichwa ombwe
 
Naona unachapa kaporojoporojo ka kuuficha mwili kwa viganja Vya mikono. Ungemjibu tu na tuswali twake twa kipuuzi kwamba, walinzi wa eneo hill walienda wapi, na kwanini camera zilikuwa chopped ili afute ujinga wake?
Mjadala sio walinzi,hoja ni dereva wa lisu.Kama ni walinzi pia naweza sema Dereva wa lisu,hao waliotoa camera na walinzi wanahusika au lazima wahojiwe.Kila mmoja anasehem yake ya kuhojiwa.Shida ni nyie kumfanya dereva wa lisu ni mtu asiyetakiwa kuhojiwa au kutiliwa shaka na hili ni kosa kubwa mno mnalofanya.Sijaona mwenye hoja zenye mashiko akielezea kwanini dereva asiwe suspected. Utata wa maelezo yake unatosha kuwa miongoni mwa washukiwa haijalishi kuna washukiwa wengine.
 
Ujinga ujinga tu. Kwanini mzuie uchunguz huru na msitoe hata senti ya matibabu? Wanauwaj nyinyi[emoji51]
 
Pumba tu /wewe kweli dishi lako limeyumba mno
 
Ujue bunduki iliyotumika ni assault rifle kwa mujibu wa maelezo yake. Maana AK47 ni aina ya assault rifle, ina uwezo mkubwa mno.
Mkuu hope ni kwamba lissu hajafa, jambo hili ni faraja kubwa kwa watanzania na familia yake. Ni hivi lissu angekufa waliohusika wangetokea kama watu wema mnooo, kwa pole zenye uchungu na unafiki Mkuu kwa chama na familia yake. Halafu ingefuatiwa na propaganda nyingi mnoo kuhusu kifo chake. Lakini kwasasa ni hivi kila propaganda inayojaribu kuinuliwa mjibuji Mkuu -lissu yupo Mzee, so hii inawatafuna mioyo yao sanaaa[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Zilimpata 16 na zikaja kuondokewa zaidi ya 28 mwilini mwake kule Nairobi kama mnakumbuka mlisema hivyo.

Uongo unahitaji kumbukumbu fasaha sana, haya mwenye akili nyingi hadi kushindwa idadi mbili tofauti hongera kwa kuwa na kichwa ombwe
Wewe ndo zero brain kumbukumbu yako ni 5%kati ya 100%.kilichoelezwa maganda ya risasi yaliokotwa zaidi ya 28 ila zilizompata ndo hizo alizokwambia yeye means risasi nyingi zilipigwa hovyo na kupoteza mwelekeo.
 
Kamanda ile Demokrasia na uhuru wa maoni ambao huwa mnasema mnaupigania ndio huu anao fanya paskali na wewe una ukandamiza kamanda hahahaha

Uhuru wa maoni ni kwa wao tu kuikashifu serikali..ILA akitokea mtu akatofautiana na wao basi huyo ni mjinga na mchumia tumbo na wala hajatumia uhuru wa maoni.
 
Wewe ndo zero brain kumbukumbu yako ni 5%kati ya 100%.kilichoelezwa maganda ya risasi yaliokotwa zaidi ya 28 ila zilizompata ndo hizo alizokwambia yeye means risasi nyingi zilipigwa hovyo na kupoteza mwelekeo.

ETI ZILIPIGWA HOVYO....Hivi wee unawajua MAJASUSI /TISS au unawasikia tuu?? Atumwe kwenye misheni ya kuua ya kitoto vile alafu apige risasi 28 hovyohovyo?
 
Bwana Mayalla kwa heshima na taadhima naomba nikurekebishe kitu kimoja katika uandishi wako. Hili jambo nimeliona siku nyingi ila niliamua 'kuuchuna' tu.

Ni hili suala la kufuatisha alama ya mshangao au ya kuuliza na nukta, kama hivi!. au ?.

Hii siyo 'grammatically correct'. Inawezekana lakini ni 'swagger' zako tu za kiuandishi. Kama ni hivyo, basi unaweza kuendelea na swagger zako.
 
ETI ZILIPIGWA HOVYO....Hivi wee unawajua MAJASUSI /TISS au unawasikia tuu?? Atumwe kwenye misheni ya kuua ya kitoto vile alafu apige risasi 28 hovyohovyo?
Wale nadhani sio wanajeshi halafu rafiki angu bunduki ya rasharasha ni spesho kwa kuattack kundi kubwa.kama wangejua labda wangechukua bunduki ya masafa watafute sniper risasi mbili au tatu tu tayeri kazi kwisha sasa wao walipiga hovyo.maganda zaidi ya 28 yaliokotwa pale 16 zilimpata mlengwa
 
Nakupa heko kiongozi, umesema ukweli.
Kama ingekuwa serikali na intelijensia yake ina shida ya kumwondoa huyo. Angeuawa kifo ambacho hakitoacha swali hata moja, mtu anakuja kukata uhai inaonekana baada ya kuugua muda fulani full stop.

kinafanyika kifo kisichoacha clue yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…