Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Haya maneno ya kumuhusisha driver wa Lissu hayana mashiko kabisa. Kama ni yeye, ziko wapi CCTV Camera, kwa nini Serikali haitaki uchunguzi huru? Kama serikali haihusiki, kwa nini walinzi waliondoka eneo la tukio muda mfupi kabla ya shambulizi? Serikali inamjua aliyefanya haya, eti askari wetu hawana AK47, una akili kweli wewe? Unazijua silaha zote za nchi hii? Hao walinzi wa Rais wanatembea na SMG? Umeniboa sana kwa kushindwa kufikiri
 
Ukiambiwa uthibitishe utatoa ushahidi upi kuifanya tuhuma hiyo ihalalike?
 
Pale unapoamua kubishana na reliable sources kwa sababu ya rangi ya chama, stupid ,jinga kabisa.
Hata wewe ukifungua blog na kuidesign kiproffessional, ukaandika kufeli kwa Dunia nzima. Ukiisearch Google inakuja, maana ni search engine.
Je nayo ni reliable source?
 
Umemaliza kila kitu
 
Ila upande Wa pili Wa hoja hii ya Pascal naona kama lengo lake ni kuchokoza mada hii ili watu watiririke ukweli upatikane maana na yeye anakerwa na ukimya huu Wa serikali mwaka mmoja baada ya tukio.
Kama ni hivyo naendelea kumsifu kwa weledi huo.
 
duh! Pascal hauhitaji kuwa na shahada ya forensic science kuwajua wahusika wa tukio hili... kiukweli Pascal unayumba
 
Dereva ni kiungo cha pande 2 kati ya mshambuliwaji na mshukiwa wa shambulizi ili jibu liwe rahisi la upande mmoja ajitokeze ili mdajala upande wake ufungwe
 
Bandiko hili la mayala limeambatanishwa na njaa isiyo na kifani kwenda kwa JIWE.Walahi asipokumbukwa sitashangaa kuona mayala ana kwashakoo.
 
Kwa wenye iq kubwa ulichoandika na unayoyauliza, ama una iq ndogo size ya kichaa wetu au uko na kazi ya jiwe kwa malipo ya kodi zetu. Anyway km ni iq nikusaidie kidogo kuwa pakuanzia ni mtu mbunge amepigwa risasi hata km ingekuwa 1 sasa maswali unanza
1. Uchunguzi unafanywa na nani? Jb = serikali ya jiwe
2. Je kuna uchunguzi umefanyika? Jb = hapana
3. Why haujafanyika? Jb = tuna katiba mbovu ambayo imeweka madaraka yote kwa kichaa
4. Je aliyepigwa risasi anamshakia nani? Jb = kichaa jiwe
5. Why amshakie kichaa jiwe? Jb = upo ushahidi alishasema 'Lissu ni msaliti na anatakiwa apotee'
6. So tunafanyeje? Jb = ondoa kichaa jiwe na genge lake by any means necessary kisha ruhusu serikali ifanye kazi yake, kuchunguza yote ya kina lissu, saanane, azori, mawazo, yona na wengine wote

Nje ya haya km uko kazini endelea ila jua iko siku watz wengi ujinga utawatoka na uvumilivu utafika mwisho na watasema INATOSHA
 
Baba au kichaa?
 
Mwisho wa siku yeye ni shahidi/ mtuhumiwq namba moja sababu alikuwapo eneo la tukio na kwa maelezo yake aliona yaliyoyokea. Ni taratibu za dunia nzima za kipelelezi, shahidi/ mtuhumiwa namba moja lazima ahojiwe. Hili halikwepeki. Kama hausiki chq msingi ni kujitokeza ahojiwe ili taarifa zake zisaidie.
 
Pia yawezekana huyo mtu/ watu walipewa taarifa na dereva kuwa sasa tunakuja, kaeni mkao wa kula.
 
Pasco anashangaa kuna mtu anaweza kuacha milioni 500 kwa kuuza utu wake. Wewe kama ulipewa na umeamua kudhililisha profesional yako hivi, wapo wengi wenye utu.
Aliyepigwa risasi,yupo hai na anasema attempt ilifanywa na aliyemtaja, Ke wewe uliyekusanya kusanya tu story ambaye ulikuwa mbali na tukio tukuamini kuliko yeye?
Hivi kwa akili za kawaida mtu anayetaka kukuua kweli ungemtetea?
Tunaomba zile camera tumalize utata
 
Umejiona shujaa wa kuuliza maswali ya weledi? Kumbe wewe wa hovyo!
Hujiulizi
1. Kwanini sehemu yote hiyo ambayo inalindwa saa 24/7/30/365 days hapakuwa na mlinzi hata mmoja?
2. Kwanini CCTV camera zilinyofolewa mara baada ya tukio
3. Kwanini wanakataa independent investigation
4. Kwanini wasiende belgium kumhoji kama wana nia ya kweli/hawahusiki?
5. Kwanini serikali inaktaa watu kumwombea Lisu
6. kwanini serikali inaktaa watu kuvaa t shirt zenye picha na maandishi ya Lisu
7. Barabara nzima toka bungeni kuja kwa Lisu and his fellow Mps haikuwa na gari hata moja, kulikoni?

Ulitishwa Bungeni ukatishika, leo unajitokeza kutafuta uDC!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…