Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Ulitaka niseme sikujui ujitaje na wewe ni mtu wa usalama na upo ndani ya interpol. Mkubwa mzima ubongo wa mende
JE, MENDE HUTOMBWA KWA STYLE YA MENDE AU YA MBUZI KAGOMA KWENDA?

ukishindwa hilo pia wewe ni Kichaa+ Nenda Ikulua kachukue Bahasha.

THREAD CLOSED.
 
Hebu pasco atuambie swala LA kutolewa CCTV analizungumziaje
 
Halafu mnaotetea eti system ikiamua inafanya kiprofesheno haikosei kwahiyo watakuwa ni majambazi sasa swali mbona wakati wa Dr ulimboka walichemka pia kina ighondu au umesahau
 
Halafu pasco hivi kweli unaposema majeshi yetu hayatumii ak 47 kweli hii ni hoja kweli hivi kuna kitu gani serikali ikitaka inakikosa hata kama ni upapeti sio kwa kiwango hicho
 
Kaka TL ana tatizo la kupenda sana kuongea. Yaani dereva awe na mbinu za kukuua halafu aje kukwambia!!.

Angesubiri akatoka hospitalini ndipo aongee vinginevyo anaweza kujikuta anaongea kitu halafu kikamgeuka mbeleni.
 
Kwani misuli wewe Una mfano wa namna serikali inavyotoa uhai? Unaongea kama mtu ambaye ana ushahidi flani flani wa namna serikali inavyotoa uhai kimya kimya bila kelele au bila kuacha alama. Ni tukio gani wewe unalifahamu ambalo serikali ilifanya bila kuacha alama ili tuone kuwa point yako inaweza kuwa sawa? Acha kuchafua serikali bana. Halafu ukumbuke si kila tukio linalofanywa na Chombo kinachomilikiwa na serikali basi ni maagizo kutoka serikalini. Ndani ya hiyo hiyo serikali kuna maadui wa serikali watakaopenda kiongozi achafuke kwa manufaa yao ya mbeleni. Watu wanataka vyeo, fedha n.k hivyo ikitokea baadhi ya watu ndani ya Chombo cha serikali wakahusishwa na uhalifu pia usishangae au kutetea sana. Bunduki zenye uwezo ule ni mali ya serikali. Sidhani kama Kuna watu binafsi wanaruhusiwa kumiliki hizi. Ukiona mtu binafsi anamiliki na anazifyatua hovyo hovyo kama lile tukio basi kuna namna kazipata serikalini au zimeingizwa nchini kinyemela bila vyombo vya ulinzi na usalama kufahamu
 
Muuaji huyu alikua anajifunza kuua kwa kutumia mwili wa lisu hahahahah risasi 38.Yani hata ktk movie sijawahi ona wingi wa risasi ka huu.Hili tukio liingizwe Guinness World Records.

Mtani si unakumbuka jana nilikuambia usiivae hii mada kwa hamaki maana imekaa vibaya kwenu watetezi? Nilikuambia hii mada itakuwepo mpaka leo. Huoni umeamka uko fresh na sasa utafurahisha genge tu? Misimamo ya wale wanaosononeka kuhusu shambulio la Lissu iko palepale mnna maelezo mengine juu?

Nikuambie kitu kaka yangu, ukweli wa hili jambo na hao wanaotuhumiwa ndio hao hao, na hilo halitokaa libadilike hata mkeshe hapa jukwaani. Kimsingi ile ilikuwa ni aina ya siasa za kishenzi kupata kutokea hapa nchini. Huyo Lissu hakuwa msituni bali alikuwa anakosoa hadharani, alipaswa kujibiwa kisiasa, kibaya zaidi hata yale aliyokuwa anakosoa sasa yanaanza kuonyesha kwamba alikuwa na ufahamu wa mambo yale. Ni hatari sana kama taifa tukikalia kimya uovu kisa tuliyemkabidhi gurudumu hana pumzi ya kupambana kwa hoja za kisiasa. Sasa hebu ona mihemko imeisha, ukweli uko wazi hakuna wa kutulipa maana hatuna madai ya msingi na huku mwenzetu kaumia vibaya. Tufanyeni siasa lakini tusikubali kuwa taifa la kufuata tabia binafsi za mtu na hata kuishi kwa kufuata mapungufu yake. Nadhani umenielewa kiutu uzima.
 
Mkuu sioni mkielezea kwa hoja zenye mashiko mkielezea kwanini dereva asiwe suspected zaid ya maelezo mengi ya kutafuta sympathy. Lieleze jukwaa kwanini dereva asitiliwe shaka?Kwanini dereva asiwe kati ya hao waliotoa camera au walinzi?
 
Huyu mtu alishawahi kuzungushwa ndani ya gari ya wale jamaa wa Oysterbay, bila ya kujua yupo sehemu gani. Kama mfumo ungetaka kummaliza kwanini nafasi ile isingetumiwa?.

Mfumo ukimtaka mtu ni ngumu sana kuchomoka.
 
Mkuu sioni mkielezea kwa hoja zenye mashiko mkielezea kwanini dereva asiwe suspected zaid ya maelezo mengi ya kutafuta sympathy. Lieleze jukwaa kwanini dereva asitiliwe shaka?Kwanini dereva asiwe kati ya hao waliotoa camera au walinzi?
IBU kwanza nani alitoa kamera
 
Mkuu sioni mkielezea kwa hoja zenye mashiko mkielezea kwanini dereva asiwe suspected zaid ya maelezo mengi ya kutafuta sympathy. Lieleze jukwaa kwanini dereva asitiliwe shaka?Kwanini dereva asiwe kati ya hao waliotoa camera au walinzi?
Bwana mkubwa alifanya usaliti mbaya sana. Hilo huwa hawapendiki kuliongelea.
 
Kaka TL ana tatizo la kupenda sana kuongea. Yaani dereva awe na mbinu za kukuua halafu aje kukwambia!!.

Angesubiri akatoka hospitalini ndipo aongee vinginevyo anaweza kujikuta anaongea kitu halafu kikamgeuka mbeleni.

Kaka kwanza karibu. Naona umeingia kwa kasi na hoja za vitisho. Huwa kuna namna fulani huku africa mahakama inatumika na watawala kiasi kwamba mahakama hutumika kama sehemu ya kufungia watu midomo. Na kampuni za kimataifa kwa kulitambua hili huamua kutumia mahakama za kimataifa kwani wanafahamu udhaifu wa mahakama zetu. Kwa hiyo unashauri Lissu akae kimya asije kupelekwa mahakamani kwa kuongea ukweli!? Basi tutamwambia akae kimya maana kuna mahakama.
 
Huyu mtu alishawahi kuzungushwa ndani ya gari ya wale jamaa wa Oysterbay, bila ya kujua yupo sehemu gani. Kama mfumo ungetaka kummaliza kwanini nafasi ile isingetumiwa?.

Mfumo ukimtaka mtu ni ngumu sana kuchomoka.

Mungu akikikutaka uishi hata sumu inakua chai!!!
 
Somehow you have a point....ubaya watu wanasikiliza upande mmoja na kuelemea upande huo.
Ila ukisikiliza pande zote, ni bonge ya conspiracy theory!
 
Umeongea point sana mkuu, na huo ndio ukweli. Thumb up.
 
Je hakuna uwezekano wa dereva kushirikiana na mnaowatuhumu kumdhuru lisu?
Uchunguzi Huru wa kimataifa ungetupa majibu yasiyoacha shaka kwa pande zote tatu,Watuhumiwa,CHADEMA na Familia ya Lissu.
 
Wewe ni kichaaa kama walivyo vichaa wenzako huko pumbavu zako
 
Sijawahi kumuamini Pascal hata mara moja , ni mtu ninayemfahamu tangu enzi za kipindi cha KITIMOTO pale Simba Grill ni mtu mnafiki na ambaye njaa yake inaweza kusababisha akawala hata wanawe .

Ametumika mara nyingi sana .
Kwel kabisa mie nampata vizuri SNA yangu enzi za KITIMOTo pale simba grill
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…