Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Hivi unaijua teknolojia ya CCTV wewe? Unazani ndiyo mwarobaini ya mambo yote. It is not that simple. Huko ulaya ambako kuna ma cctv kila sehemu, tena ya high definition na zoom za 360 degrees bado magaidi na wahalifu wengine wanaendelea kufanya mambo yao bila msaada wa maana wa kutambuliwa kutoka kwa hayo ma cctv. Sembuse hizi za kwetu zenye ubora duni ambao ukiwa umbali wa zaidi ya mita mbili picha zake ni vivuli vivuli tu. Huwezi pata sura ya kumtambua mhalifu kama hao walioficha sura zao kwa kushusha chini kofia zao za kapero na kuvaa miwani myeusi (kwa maelezo ya dreva wa Lissu aliyewaona live). Kwa aina zetu za cctv ili waweze kuzi study vizuri images zake polisi ni lazima waende nazo kwenye kitengo chao maalum kwa kazi hiyo. Inawabidi waondoke nazo.
 
Hapa ndani uwezekano wa kufanya uchunguzi upo lakini kwa mujibu wa Lissu mwenyewe ambaye ni mhanga wa huo unyama,mtuhumiwa wake wa kwanza ndio hao unaotaka wafanye uchunguzi.Huhitaji kuwa na Phd kujuwa huo uchunguzi utakuwa wa magumashi.
Basi ingekua hatari kama kila mhanga atachagua nani aendeshe kesi au uchunguzi wake.Ukiangalia hata mahakaman kuna kumkataa hakimu lkn ndio uwe na hoja za mcng.Je hoja za mcng za lisu ni zipi?
 
Sio ndio huyo lisu alisema police Tanzania haina haki ya yy kwenda kumhoji huko Kenya na kutaka kuhojiwa na police wa Kenya? Au huwa hamkumbuki ya nyuma?
 

Narudia tena kukuambia, ww una uwezo mzuri wa kujieleza na unaongea kwa mantiki. Tatizo unajaribu kutumia uwezo wako kugeuza ukweli kuwa uongo. Usipoteze muda wako kumlaumu dobi kwani kaniki ndio rangi yake. Hili suala la Lissu liko kama anavyolisema, tumia uwezo wako kuelezea jinsi mwili wa binadamu unavyofanya kazi na sio kubadili ukweli wa shambulio la Lissu. Ona aibu kutumia uwezo wako kutetea uovu. Tufungue ukurasa mpya, ile ilikuwa ni siasa chafu, full stop.
 
pascal Mayala,jibu swali hili,

Kwa nini Uongozi wa bunge na wabunge wa CCM hawajawahi kutoa pole kwa Lissu au kwenda kumuona?

Wewe pia unajua kwa nini bunge lilikataa kumtibia

Leo hii unakuja na andishi kama hili,tunatatizo kubwa la waandishi wa habari nchi hii
 
Paskali toka uitwe kwenye kamati ya maadili ya Bunge naona hujakaa sawa..kiakili.
 
Sio ndio huyo lisu alisema police Tanzania haina haki ya yy kwenda kumhoji huko Kenya na kutaka kuhojiwa na police wa Kenya? Au huwa hamkumbuki ya nyuma?

Misuli nimekuambia hili suala tukubali tu ilikuwa ni siasa chafu, tufungue ukurasa mpya maana hapa sioni anayeweza kuugeuza ukweli wa nani aliyetuma watu wa kumshambulia. Lissu kaongea meengi sana, lakini kwenye maongezi yake yote kuna mtu mmoja anamtaja kila mara kama msukumo wa shambulio hilo. Sasa kama unataka kubeba hayo maneno fulani eti alisema polisi haina haki na unataka kufanya ni utetezi wa hii post, mbona usikubali na huyo anayemtaja kila mara kama sababu ya yeye kushambuliwa?

Usipoteze muda wako adhimu kutetea uovu kisa madaraka. Nakubali una mantiki kwenye hoja zako, lakini hata uwe na mantiki vipi huwezi kubadili ukweli.
 
Narejea kauli za huyohuyo unayemuamini kuwa anamjua aliyefanya ashambuliwe.Niambie Kwa maelezo yake CCTV zilikua nyumban kwake,nani alizitoa?
 
Waliotaka kumuua lissu, kama wangekuwa na mpango wa kumtumia dereva wake, wasingetumia nguvu kubwa kiasi kile.
 
Waliotaka kumuua lissu, kama wangekuwa na mpango wa kumtumia dereva wake, wasingetumia nguvu kubwa kiasi kile.
Iliwezekana vipi wauaji wasubiri lisu ashushe kiti na alale kifudifudi,dereva ashuke kujificha chini ya gari ndo mvua ya risasi ianze?Huoni hii ni movie ya kichina?
 
Actually wewe ni puuzi sana. Lakini sio kosa lako pia...wasukuma kwa kadri ya uelewa wangu, ni watu wa ajabu sana. Na tatizo linajulikana kabisa kabisa.. ni "lack of traditional governing system" ambao ndio msingi muhimu wa kila jamii.....ethics na mambo mengine muhimu sana ya kijamii yanajengwa mle...Sasa hawa ndugu zetu hayo hayapo.....

Upuuzi mwingi wa huyu bwana ni matokeo ya kukosekana kwa misingi hiyo..
 
Narejea kauli za huyohuyo unayemuamini kuwa anamjua aliyefanya ashambuliwe.Niambie Kwa maelezo yake CCTV zilikua nyumban kwake,nani alizitoa?

Misuli don't waste your precious time on this matter. Huna utetezi wowote wenye mashiko zaidi ya kujitahidi kufunika kombe mwanaharamu apite. Nimekuambia ulicho nacho ni utetezi wenye mantiki, lakini huna uwezo wa kubadili ukweli. Ukweli huwa haubadilishwi na hoja zenye mantiki. Hapa ni kama unazuia tu risasi na debe.
 
Hahahahah ni hatar sana.Hoja zenye mantiki ndizo zinazojenga ukweli.Kuongea sana kwa lisu bila logic yyt ukweli unautoa wapi?Katika kujua ukweli moja ya hoja zilikua ni CCTV camera zilitolewa,lkn leo kuna hoja ya hizo CCTV camera zilikua nyumban kwa lisu.Huoni hapa ukweli mliokarrshwa unaweza kubadilika?Au saizi hamruhusu hoja yyt mpya nje ya mlizopewa na kuambiwa ndio sahihi?
 
Msaada wa bure tu. .nowadays money is not the source of all evils. But fame is the source of all evils braza kaka kama hukuwa unajua
 
Hii umefeli sana mkuu .
Binafsi nilikuwa namkubali sana Paschal Mayalla kabla, lakini kwa hili nimekutoa kwenye kundi la waandishi/wachambuzi wabobezi, nimeipitia maelezo yako napata taabu saana kuelewa kama kweli ni Paschal Mayalla niliyemfuatilia makala zake kwenye magazeti ya Raia mwema na Rai ile original, sipati jibu, Hivi unategemea Lissu angeenda kuripoti polisi kufuatilia na wahalifu nini kingebadilika, (kesi ya ngedere umpelekee nyani), Polisi ndio hao hao washirika wakuu wa washambuliaji, naamini they know each and everything. tuletee ushahidi wa dereva wa Lissu kupewa hiyo 500ml
 
Haya matusi ndio Uhuru wa kutoa maoni?Hizi ndio hoja zenyewe?Nyinyi ndio mnaofanya hili jukwaa lisitofautiane na fb au insta.
 
Misuli, mbona unatumia nguvu nyingi sana kubadiri ukweli uliopo ?, Kuondolewa CCTV Cameras wewe unaona ni jambo dogo na la kawaida ?. (type ya Musiba)
 
Haya matusi ndio Uhuru wa kutoa maoni?Hizi ndio hoja zenyewe?Nyinyi ndio mnaofanya hili jukwaa lisitofautiane na fb au insta.
Ni facts sio matusi lkn kama ni matusi kwako hapana shaka jiwe limekupata sawa sawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…