Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Ndio shida yenu.Yani kila anayewakosoa ni anataka uteuzi.So unataka kusema wote tuimbe wimbo mmoja?
Pamoja na kwamba hizi comments kwako ni kazi sawa tu na wale ambao huwa wanapewa kazi ya kwenda kuua binadamu ila unaifanya chini ya kiwango sana. Hata hivyo sishangaa maana aliyekutuma is worse
 
Umelishwa propaganda na ukazimeza vizuri. Sasa hivi hapa ulipo unazitapika tu. Hilo suala linaloitwa usaliti ni aina ya siasa za kijinga zilizofanywa na awamu hii ili kulindana kisiasa. Mikataba ya wizi iliyoingiwa wanafahamika ni kina nani waliingia. Katika hao hakuna aliyechukuliwa hatua bali Lissu aliitwa msaliti ili kukidhi haja ya kisiasa. Mikataba tuliyoambiwa ni ya wizi mpaka leo ni siri, na hakuna yoyote aliyechukulia hata baada ya kutajwa kwa majina. Kama kuna mahali Lissu alisaini mikataba hiyo ya wizi tuonyeshe hapa tuujue usaliti wake.
Mkuu tindo, yapo mambo ambayo hayawezi kuandikwa humu.

Siasa za upinzani zinaruhusiwa Tanzania, kosa ni baadhiya watu kutoweka mipaka kati ya siasa na kukomoana.

Alitaka kuikomoa serikali, kibao kikageuzwa mazima.
 
Mkuu tindo, yapo mambo ambayo hayawezi kuandikwa humu.

Siasa za upinzani zinaruhusiwa Tanzania, kosa ni baadhiya watu kutoweka mipaka kati ya siasa na kukomoana.

Alitaka kuikomoa serikali, kibao kikageuzwa mazima.

Sipingi usemacho, unaweza ukasema ni hatua gani wamechuliwa wale waliotajwa kwa majina kwenye ripoti ya Ossoro kwamba waliingiza nchi kwenye mikataba ya wizi? Kama wale wenye ushahidi wa kusaini mikataba mibovu hawajachukuliwa hatua, huoni hiyo sababu ya uzalendo inayotajwa ni kichaka cha kuhalalisha tu shambulio la Lissu? Philipo tukubali tu shambulio lile ni aina ya siasa chafu kutokea hapa nchini kwa ulevi wa madaraka.
 
Mk
Wanabodi

Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio, yanahalisha watu wenye udadisi kujiuliza maswali kihusu tukio lenyewe, hivyo kuhisi uhusika wa dereva wa Lissu, sio jambo la ajabu, tena uhusika wenyewe sio lazima uwe expressly but impliedly kwa negligence iliyopelekea Lissu kuwa reached na watu wasiojulikana na kushambuliwa, wakati alikuwa na uwezo wa kumuepusha na shambulizi hili.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Kwa vile Lissu aliwahi kuripoti kufuatiliwa, kupitia press conference, kwa nini hakuripoti polisi?!.
  2. Baada ya Chadema kupokea taarifa ya Mnadhimu wake kufuatiliwa, walichukua hatua gani?.
  3. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  4. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  5. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  6. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  7. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  8. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  9. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  10. (Mimi niliwahi kuwa mwanajeshi wa JWTZ hivyo kuna kitu nakijua kuhusu hizi AK47 ndani ya jeshi letu, lakini vitu vingine ni siri za usalama wa taifa letu, sina uhakika mtu asiyepitia JWTZ, ana uwezo gani kuijua AK 47!.)
  11. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  12. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  13. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu

  14. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  15. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  16. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  17. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  18. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  19. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  20. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Mkuu pasco nakuheshimu,ila kwa hili hatuko pamoja .Mimi kwa upande wangu ningeomba uanzishe Uzi unaouliza nani alizuondoa CCTV kwenye eneo alilo shambuliwa lisu?
 
Kwa akili yako unafikiri polisi Tz wangeenda moja kwa moja hospital kumhoji lisu bila taratibu zozote za kidiplomacy kufuatwa?Yani lisu ndiye anajua taratibu kuliko maafisa wote wa Tanzania na huko Kenya?Sikuona serikal ya Kenya ikitoa maelekezo yyt kuhusu yy.Mimi sipo Tz lkn naamini serikali ya Tanzania haiwezi kuja kunikamata hapa bila taratibu zozote za kidimplomacy kufanyika,ni kitu simple na kinaeleweka.Mwambieni huyo jamaa yenu apunguze ujuaji.


..kwa kifupi madai kwamba Mh.Lissu alikataa kuhojiwa akiwa Nairobi siyo ya kweli.

..na madai kwamba amemficha dereva pia siyo ya kweli.

..Upo ushahidi wa Mh.Lissu akisema yeye na dereva wako tayari kuhojiwa.

..nakumbuka hata familia ya Mh.Lissu, kupitia msemaji wao Wakili Mzee Alute Mughwai, walisisitiza kuwa hawana pingamizi kwa Polisi kumhoji Mh.Lissu na dereva wake.

..Swali tunalopaswa kujiuliza ni kwanini SEREKALI / JESHI LA POLISI hawakuchukua hatua ambazo zingewezesha Mh.LISSU na DEREVA wake kuhojiwa wakiwa NAIROBI ambapo walikaa kwa zaidi ya MIEZI 3?

..Mwisho, siamini kama Mh.Lissu anajua taratibu za kukusanya ushahidi kuliko Jeshi lote la Polisi la Tz na lile Kny.

..Tofauti ya Mh.Lissu na wasomi wengine wa sheria ni kwamba Mh.Lissu siyo mchoyo ku-share na wananchi kile "kiduchu" anachokijua kuhusu sheria, pamoja na haki za wananchi.
 
..kwa kifupi madai kwamba Mh.Lissu alikataa kuhojiwa akiwa Nairobi siyo ya kweli.

..na madai kwamba amemficha dereva pia siyo ya kweli.

..Upo ushahidi wa Mh.Lissu akisema yeye na dereva wako tayari kuhojiwa.

..nakumbuka hata familia ya Mh.Lissu, kupitia msemaji wao Wakili Mzee Alute Mughwai, walisisitiza kuwa hawana pingamizi kwa Polisi kumhoji Mh.Lissu na dereva wake.

..Swali tunalopaswa kujiuliza ni kwanini SEREKALI / JESHI LA POLISI hawakuchukua hatua ambazo zingewezesha Mh.LISSU na DEREVA wake kuhojiwa wakiwa NAIROBI ambapo walikaa kwa zaidi ya MIEZI 3?

..Mwisho, siamini kama Mh.Lissu anajua taratibu za kukusanya ushahidi kuliko Jeshi lote la Polisi la Tz na lile Kny.

..Tofauti ya Mh.Lissu na wasomi wengine wa sheria ni kwamba Mh.Lissu siyo mchoyo ku-share na wananchi kile "kiduchu" anachokijua kuhusu sheria, pamoja na haki za wananchi.
Madai ya police wa Tanzania hawana uwezo wa kwenda kumhoji lisu Nairobi yalitolewa na nani?
 
Sipingi usemacho, unaweza ukasema ni hatua gani wamechuliwa wale waliotajwa kwa majina kwenye ripoti ya Ossoro kwamba waliingiza nchi kwenye mikataba ya wizi? Kama wale wenye ushahidi wa kusaini mikataba mibovu hawajachukuliwa hatua, huoni hiyo sababu ya uzalendo inayotajwa ni kichaka cha kuhalalisha tu shambulio la Lissu? Philipo tukubali tu shambulio lile ni aina ya siasa chafu kutokea hapa nchini kwa ulevi wa madaraka.

..TUNDU LISSU aliponzwa na rekodi yake kwa wananchi kwamba yeye ndiye mkweli na aliyejitoa kutetea rasilimali za wananchi bila kujali hali au madaraka aliyokuwa nayo.

..Ripoti za Prof.Mruma na Prof.Osorro pamoja na mambo mengine zilelenga kumjenga mtu fulani kuwa ndiye mtetezi na mzalendo pekee mwenye uchungu na rasilimali zetu.

..Sasa makosa yalifanyika kwa watu na taasisi fulani kuanza kampeni ya KUMCHAFUA na KUMDHALILISHA Mh.Tundu Lissu.

..Kampeni hizo ziliratibiwa vizuri toka Mawaziri na Wabunge kumshambulia na kumkejeli Tundu Lissu ndani ya bunge. Wengine walifanya kazi hiyo ktk vyombo vya habari. Na nakumbuka hata kulikuwa na kundi la wasanii lililopanga kuzunguka nchi nzima kupiga kampeni ya uzalendo.

..Balaa lilianza Tundu Lissu alipoanza kujibu mapigo. Na alikuwa akijibu mapigo utafikiri anatumia "ngumi za chuma." Ilifika wakati wabaya wake wakapoteza muelekeo kabisa kwa kushindwa kujibu hoja na madai ya Tundu Lissu.

..Juhudi za kumnyamazisha Tundu Lissu kupitia mahakama zilionekana kuchukua muda mrefu.

..Wakati huohuo Tundu Lissu alionekana kuumiliki na kuutawala mjadala wa kisiasa nchini, huku waliokuwa wakimchafua wakipotezana na kuonekana vituko machoni mwa jamii.

..Katika mazingira hayo ndiyo likatokea SHAMBULIZI BAYA LA SEPTEMBA 7.
 
Madai ya police wa Tanzania hawana uwezo wa kwenda kumhoji lisu Nairobi yalitolewa na nani?

..Jeshi letu haliwezi kuingia nchini Kenya na kuanza kukamata watuhumiwa, au kuhoji mashahidi, linaowatafuta.

..Wakifanya hivyo watakuwa wame-violate mipaka ya Kenya, na ni kinyume cha sheria za kimataifa.

..Ikiwa Polisi wetu wanamhitaji SHAHIDI au MTUHUMIWA aliyeko Kenya basi wanapaswa kuomba ushirikiano toka jeshi la Polisi la Kenya.

..Mh.Lissu na dereva walikuwa Nairobi kwa zaidi ya miezi mitatu kwahiyo tunapaswa kuwauliza Polisi wetu kwanini hawakuomba ushirikiano na msaada toka Kenya ili Mh.Lissu na dereva wahojiwe/wachukuliwe maelezo.
 
..TUNDU LISSU aliponzwa na rekodi yake kwa wananchi kwamba yeye ndiye mkweli na aliyejitoa kutetea rasilimali za wananchi bila kujali hali au madaraka aliyokuwa nayo.

..Ripoti za Prof.Mruma na Prof.Osorro pamoja na mambo mengine zilelenga kumjenga mtu fulani kuwa ndiye mtetezi na mzalendo pekee mwenye uchungu na rasilimali zetu.

..Sasa makosa yalifanyika kwa watu na taasisi fulani kuanza kampeni ya KUMCHAFUA na KUMDHALILISHA Mh.Tundu Lissu.

..Kampeni hizo ziliratibiwa vizuri toka Mawaziri na Wabunge kumshambulia na kumkejeli Tundu Lissu ndani ya bunge. Wengine walifanya kazi hiyo ktk vyombo vya habari. Na nakumbuka hata kulikuwa na kundi la wasanii lililopanga kuzunguka nchi nzima kupiga kampeni ya uzalendo.

..Balaa lilianza Tundu Lissu alipoanza kujibu mapigo. Na alikuwa akijibu mapigo utafikiri anatumia "ngumi za chuma." Ilifika wakati wabaya wake wakapoteza muelekeo kabisa kwa kushindwa kujibu hoja na madai ya Tundu Lissu.

..Juhudi za kumnyamazisha Tundu Lissu kupitia mahakama zilionekana kuchukua muda mrefu.

..Wakati huohuo Tundu Lissu alionekana kuumiliki na kuutawala mjadala wa kisiasa nchini, huku waliokuwa wakimchafua wakipotezana na kuonekana vituko machoni mwa jamii.

..Katika mazingira hayo ndiyo likatokea SHAMBULIZI BAYA LA SEPTEMBA 7.

Kula tano mwanangu, hapa umeweka kisu kwenye mfupa.
 
Wanabodi

Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio, yanahalisha watu wenye udadisi kujiuliza maswali kihusu tukio lenyewe, hivyo kuhisi uhusika wa dereva wa Lissu, sio jambo la ajabu, tena uhusika wenyewe sio lazima uwe expressly but impliedly kwa negligence iliyopelekea Lissu kuwa reached na watu wasiojulikana na kushambuliwa, wakati alikuwa na uwezo wa kumuepusha na shambulizi hili.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Kwa vile Lissu aliwahi kuripoti kufuatiliwa, kupitia press conference, kwa nini hakuripoti polisi?!.
  2. Baada ya Chadema kupokea taarifa ya Mnadhimu wake kufuatiliwa, walichukua hatua gani?.
  3. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  4. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  5. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  6. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  7. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  8. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  9. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  10. (Mimi niliwahi kuwa mwanajeshi wa JWTZ hivyo kuna kitu nakijua kuhusu hizi AK47 ndani ya jeshi letu, lakini vitu vingine ni siri za usalama wa taifa letu, sina uhakika mtu asiyepitia JWTZ, ana uwezo gani kuijua AK 47!.)
  11. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  12. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  13. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu
  14. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  15. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  16. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  17. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  18. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  19. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  20. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Awe amehusika au hakuhusika, awe amefichwa au hakufichwa, Serikali yetu ambayo ndiyo yenye wajibu wa msingi wa Kumlinda kila mtanzania imefanya nini mpaka sasa? Je dereva wa Lissu amefichwa mbinguni ambapo serikali haiwezi fika?
 
Kwa akili yako unafikiri polisi Tz wangeenda moja kwa moja hospital kumhoji lisu bila taratibu zozote za kidiplomacy kufuatwa?Yani lisu ndiye anajua taratibu kuliko maafisa wote wa Tanzania na huko Kenya?Sikuona serikal ya Kenya ikitoa maelekezo yyt kuhusu yy.Mimi sipo Tz lkn naamini serikali ya Tanzania haiwezi kuja kunikamata hapa bila taratibu zozote za kidimplomacy kufanyika,ni kitu simple na kinaeleweka.Mwambieni huyo jamaa yenu apunguze ujuaji.
Pia serikali ya Kenya haikuwahi kutoa maelezo Kuwa imekataa ombi la serikali ya Tanzania ya kutaka police wake wakamhoji Lissu Nairobi au la kumkamata drive wa lissu na kumrudisha Tanzania
 
Wanabodi

Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio, yanahalisha watu wenye udadisi kujiuliza maswali kihusu tukio lenyewe, hivyo kuhisi uhusika wa dereva wa Lissu, sio jambo la ajabu, tena uhusika wenyewe sio lazima uwe expressly but impliedly kwa negligence iliyopelekea Lissu kuwa reached na watu wasiojulikana na kushambuliwa, wakati alikuwa na uwezo wa kumuepusha na shambulizi hili.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Kwa vile Lissu aliwahi kuripoti kufuatiliwa, kupitia press conference, kwa nini hakuripoti polisi?!.
  2. Baada ya Chadema kupokea taarifa ya Mnadhimu wake kufuatiliwa, walichukua hatua gani?.
  3. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  4. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  5. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  6. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  7. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  8. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  9. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  10. (Mimi niliwahi kuwa mwanajeshi wa JWTZ hivyo kuna kitu nakijua kuhusu hizi AK47 ndani ya jeshi letu, lakini vitu vingine ni siri za usalama wa taifa letu, sina uhakika mtu asiyepitia JWTZ, ana uwezo gani kuijua AK 47!.)
  11. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  12. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  13. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu

  14. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  15. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  16. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  17. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  18. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  19. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  20. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Kazana utapata uDC hata murro alianza hivi kujitoa akili
 
Kesi hii yaweza kuwa rahisi sana, kinachotakiwa ni uchunguzi huru. Nakuongezea maswali, je risasi zilipigwa mbele, nyuma au pembeni ya Lissu, je! risasi yaweza kupoteza mwelekeo ikikutana na kizingiti, je! uelekeo wa gari ya wasiojulikana na gari ya Lissu ulikuwaje, je! uchunguzi wa awali wa mashuhuda wa tukio tofauti na dereva wa Lissu unasemaje, je! magari yaliodhaniwa yalikamatwa muda gani baada ya tukio, je! Polisi walijisahau vipi kuchukua Maelezo ya awali kutoka kwa dereva wa Lissu kwa zaidi ya masaa kumi hasa ikizingatiwa hili ni tukio la kipekee. Yapo maswali mengi zaidi kuanzia alipotoka bungeni, nje ya geti la makazi na ndani ya makazi, pia kuna response ya polisi kwenye tukio na barabara zote kuu kabla na baada ya tukio. Hata kama ni Fundi wa kutumia silaha ukikosa uelekeo sahihi hata uwe na risasi mia moja inaweza kuwa kazi bure.
 
Eti serikali iamue kumuondoa lisu ianze kumfuata fuata kuanzia Dar hadi Dodoma.hahahahah, hawa watu wanafikiri serikali ni kikundi cha wanywa kahawa.Yani serikali impe mtu AK 47 na marisasi kibao kumuua lisu tu?Kuna njia nyingi sana za kufanya tukio bila kuacha alama.Fuatilia vifo vya akina chacha,Komba,Filikunjombe nk.Hivi inasemekana na kazi ya mikono ya watu lkn kupata ukweli ni ngum sana.

Huku mtaani kuna story kibao za watu mashuhuri walioshughulikiwa..kiasi kwamba ukiambiwa unakataa ila ndio ukweli. ETI LEO Tundu Lissu tu watu waende wakapoteze risasi 38.
 
Huku mtaani kuna story kibao za watu mashuhuri walioshughulikiwa..kiasi kwamba ukiambiwa unakataa ila ndio ukweli. ETI LEO Tundu Lissu tu watu waende wakapoteze risasi 38.
Kwanza eti walianza kumfuatilia toka Dar.Yani hao watu ni vichaa kiasi gani wajue jamaa kashatushtukia bado waendelee kumfuatilia tu hadi dodoma.Anatoka bungeni hao wako nyuma nyuma.Wale wale waliokuwa wanamfuatilia toka Dar.Nimesoma visa vingi sana vya mauaji ya watu mashuhuri lkn sijawahi kutana na movie mbovu ka hii.Serikali yenye kucontrol kila kitu hadi huko bungeni kwenye viti na maiki anayotumia,leo impe mtu AK47 ianze kumfukuzia lisu toka Dar hadi Dodoma.

Walivyo vichwa maji wanakuambia baada ya tukio eti hilo gari likaanza kurudi Dar na escort njiani kwa mwendo wa kasi.Inawezekana vipi?Hao wauaji kweli walishindwa hata kupanda ndege dodoma hapo chap had waache alama kama hii?Maswali ni mengi sana kuliko majibu.Na nilichogundua hili tukio watu wanalijadili kwa mihemko ya kivyama,lkn ukichukua maelezo kuanzia mwanzo hadi mwisho na ukaamua kutengeneza movie utakuta unapata movie mbovu mno yani bora hata bongo movie.
 
Back
Top Bottom