Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?


Kwenye hatari utafanya kila kitu ili uwe salama kwa nini hakuendesha gari kwenda Polisi? Wacha kushabikia usiyoyajua huu mchezo wa Chadema unajulikana na TL sio wa kwanza. Uliza ya Chacha Wangwe?
 
Kwenye hatari utafanya kila kitu ili uwe salama kwa nini hakuendesha gari kwenda Polisi? Wacha kushabikia usiyoyajua huu mchezo wa Chadema unajulikana na TL sio wa kwanza. Uliza ya Chacha Wangwe?

..hakukuwa na haja ya kwenda kituo cha Polisi.

..Area D ktk makazi ya TL ni eneo linalolindwa 24/7.

..sasa ni nani aliondoa walinzi wote kuanzia wa getini mpaka wanaolinda kwa Naibu Spika na kwa mawaziri?

..
 
Ni kweli ila kama alishutuka mapema alitakiwa ajiongeze kwa usalama wa boss wake. Kama aliwatambua ndio walewale akili ya ziada ilitakiwa.
Hata kwenda nyumbani anakojua kuna walinzi getini wenye silaha 24/7 ilikuwa hatua yenye akili kubwa zaidi ya kusimama petrol station yeyote.
Kwa maajabu kumbe walinzi WAMEAMRIWA kuondoka ili Lissu na dereva wauwawe.
So sad!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kukimbilia nyumbani kwenye ulinzi wa silaha 24/7 ni kujiongeza, tena kwenye akili kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukila nyama ya mtu...hebu angalia walewale wakawa na hamu ya Nape tena mbele ya vyombo vya habari
Hii awamu inatupeleka kwenye uwanja wa mauwaji ya hadhara

Tusikubali kuwapa muongo mwingine hiyo 5 inawatosha
Sio kuwa inatosha tuu, bali ni lazima tuwashughulikie kwa damu zilizomwagika kwa walioua au kujeruhi.

Bila kufanya hivyo kila kiongozi tutakaye mpa ofisi hatathamini utu wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K
Hapana jinai inafanyika mahala popote. Ndio maana unatakiwa uwe makini sana. Kama Laurent Kabila alipigwa risasi na mlinzi wake tena ikulu.Ije hapo area D Dodoma ampabo kila mtu anaingia muda wote? Huyu dereva ni wa kulaumiwa.
Huna hoja zaidi ya kutetea hoja ya walinzi kuondolewa ionekane haina maana. Hivi kwa akili yako dereva angejua kuna risasi zitakuja kumiminwa baadae dereva angeielekeza gari area D? Au hata petrol station angesimama?

Huyo hata geti la kambi ya jeshi angeingia nalo! Acheni hoja za kinafiki kwenye maisha ya binadamu wengine ili msijiumbie matukio kwenu wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JokaKuu, Mkuu JokaKuu pole sana kwa kutumia nguvu nyingi kubishana na wauaji (hata muunga mkono mauaji ni muuaji pia).

Tokea lini tukio la hit and run likawa na umakini kama lile la mashindano ya range?
Hata hivyo wauaji walifanikiwa adhima yao kwani risasi 16 zilihit target na kuingia mwilini mwa Lissu. Suala la kwanini hakufa sasa wasilaumiwe hao wauaji bali wamuulize Mungu mwenyezi kwa nini hajaruhusu adhima yao?

Siku yaja ukweli utawekwa wazi kwa kuwafahamu wote kuanzia mzalisha wazo, aliyetoa amri, aliyeondoa walinzi, aliyefadhili hadi mshika AK 47

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungefahamu japo mji wa dodoma na hasa huko Area D kukoje ungeelewa vizuri.

Lakini pia ni moja ya maeneo secured,ambayo huwezi thubutu fanya uhalifu wa silaha ukatoka salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Those issues does not justify what TL or Mbowe is doing?
Ndugu andika Kiswahili tu utaeleweka. Angalia jinsi ulivyotumia broken english kwenye verb " Do", kwenye third person plural

Correct English ungeandika;
"Those issues do not justify what TL or Mbowe is doing?"

Siyo DOES! Wacha kutumia kiingereza cha Ndalichako hapa. Tumia Kiswahili tu
 
Pascal, hii ilikuwa acting ila ile ya Tundu Mugwai Lissu ilikuwa ni real alikuwa anaviziwa auwawe
Walyaga hene Mayalla? Zambi ni kutetea zambi
View attachment 1410505
Hawa wazee aina ya kina Mroto wanatakiwa wastaafu tu.

Jeshi la polisi haliwezi kuwa linasubiri taarifa iletwe ofisini ndiyo wanaanza kuifanyia kazi.

Vyanzo vyao vya taarifa ni vipi?

Watendaji hawa ndiyo wanalifanya jeshi lionekane ni la kishamba.

Taarifa yeyote ile inayopatikana kwa namna yoyote ile iwe vijiweni kwenye kahawa,daladalani,magazetini kama inamaslahi ya kuhatarisha usalama kwa namna yeyote ile ni lazima ichukuliwe na kuifanyia kazi hadi mwisho.

Haoni kama US,wakipata hata video inayoleta taharuki juu ya ugaidi inanvyozingatiwa.

Jeshi hili libakie kwa vijana,wachape kazi. Wazee mtupishe,tutawaomba ushauri itakapo lazimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii unawapa first year tu,wanakupa majibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hatari utafanya kila kitu ili uwe salama kwa nini hakuendesha gari kwenda Polisi? Wacha kushabikia usiyoyajua huu mchezo wa Chadema unajulikana na TL sio wa kwanza. Uliza ya Chacha Wangwe?
Jinsi Serikali inavyohangaika kuwatafutia CHADEMA kesi. Hasa Mwenyekiti Mbowe mpaka wanaigeuza kesi ambayo Polisi walimuua Akwilina. Kama kungekuwa mkono wa CHADEMA huoni kama Serikali ingefungua mashtaka haraka sana dhidi ya Mbowe?
Hebu tumieni akili zenu kwa manufaa ya umma !! Mmmebakia kuzitumia akili zenu kwa kwenda chooni kuvua nguo na kuachia mzigo tu.
 
Kwenye hatari utafanya kila kitu ili uwe salama kwa nini hakuendesha gari kwenda Polisi? Wacha kushabikia usiyoyajua huu mchezo wa Chadema unajulikana na TL sio wa kwanza. Uliza ya Chacha Wangwe?
Kwa nini Jamhuri haijafungua majalada ya kifo cha Chacha Wangwe au kujeruhiwa TL dhidi ya CHADEMA mpaka leo?
 
Hata kama dereva anahusika au hahusiki bado kuna mhusika mkuu ambaye mnamuogopa kumtaja>
 
Kwenye hatari utafanya kila kitu ili uwe salama kwa nini hakuendesha gari kwenda Polisi? Wacha kushabikia usiyoyajua huu mchezo wa Chadema unajulikana na TL sio wa kwanza. Uliza ya Chacha Wangwe?
Polisi kwa nini wasiwakamate sasa hao Chadema? Mtu mpumbavu hajifichi hata iweje.
 
nitajieni waliomuua binti yetu Aquiline kwanza, nami nitawatajia kwa uaminifu kabisa watu waliompiga Tundu Lissu risasi!
Kwa hiyo yakitokea mauaji, uchunguzi hakuna kwa sababu huyo aliyekufa ndio anajua kilichotokea? Tuseme ndio sababu hakuna kesi ya mauaji ya AKWILINA sababu hayuko hai? Naomba unifafanulie hapo maana mimi sijui sheria.
Wakuu Mbabe na Mindi, kwenye mauaji ya 6, kuna polisi 6 waliofyatua risasi, walishikwa wakatiwa ndani kwa uchunguzi. Polisi aliyefyatua risasi akathibitisha yeye alifyatua juu, hivyo risasi ile ikaenda juu, ikapinda kona, ikarudi chini, ikapinda tena kona kuingia kwenye daladala na kumuingia Akwilina, hivyo wao hawana kosa, serikali ikajiridhisha na kuwaachia, na badala yake ndio kikafanyika kilicho fanyika.

P
 
Hapa sasa nimekuelewa vizuri sana. Ahsante Mkuu Paskali vkwa ufafanuzi kuntu
 
Mchangia mada wewe siyo mtu makini na kwenye hili Jukwaa bakia unasoma tu. Serikali ilikuwa na uwezo wa kumfuata Dereva wa TL Nairobi hata Brussels kama Ingekuwa na nia ya kufanya uchunguzi. Nenda Dodoma kamuulize Kamanda Moroto kama kuna hata faili la uchunguzi limefunguliwa.

Wewe unaandika kwa kuwa tu una elimu ya ngumbaro (kusoma na kuandika), lakini kichwani hamna kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…