Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Wanabodi, maadam Tundu Lissu sasa karejea nchini na ameanza kufanya mahojiano mbalimbali, LIVE: Mahojiano na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu katika Clouds 360
Basi nami nitamtafuta na maswali haya yatapatiwa majibu
Asante Lissu kurejea, nitakutafuta ili ujibu maswali ya bandiko hili
P
 
Fair enough Adv.Mayala, but anzia kwanza kwa RCO wa Dodoma, maana crime scene ipo chini yake, then utakapokutana na Mr.Lissu unakua na story za pande zote mbili, elewa every story ina two sides!,welldone na usiishie kwenye hii case ya Mr.Lissu pekee pia fanya uhabari wa kiuchunguzi kuhusu kupotea kwa Mr.Saanane, Je nini kilipelekea Akwilina kupigwa risasi kwenye ile protest, who fired the shot, why,je zile bunduki zilizokuwepo kwenye tukio zilifanyiwa ballistic test, pata report ya pathologist, je police walifungua docket ya kuchunguza ile issue, nipo tayari kuchangia gharama za data na usafiri kama utaamua kuifanya hii assignments good luck
 
Akina Afande goodluck (kwenye kesi ya mbowe) Sabaya ndio wasiojulikana.
Afande Goodluck anajulikana, aliwakamata makomandoo wa mbowe pale Rau Madukani wakinywa pombe na kuvuta bangi kupata nishai kumuua ole Sabaya, la sivyo ni kweli wangemuua. Lakini na wao wa genyongwa kwa ushahidi wa Afande Urio unaoitwa sting operation. Naye mbowe angenyongwa pia kwa ushahidi wa Lawyer wa tigopesa alipoitambua miamala ya malipo. Kama haya huyajui ni wewe peke yako wote wanajulikana.
 

Advocate Pascal Mayala
 
Hii nchi idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi kubwa sana. Kweli vyombo well trained kwa Kodi zetu wameshindwa kukamata waliompiga risasi Lisu? Instead narrative ya dereva kumpiga Lissu inakuwa celebrated? Narrative ya kushindwa kupeleleza sababu Lisu hayupo nchini inakuwa ndio Hoka? Hebu tuwe sober na tuwe more professional la sivyo tujihesabu hatuna weledi wa kazi zetu
 
Lisu alianza kufuatwa na hawa watu tangu DSM na aliwai kuwashout kwa kumfuata fuata ,pia Tundu Lisu alifahamishwa mapema na Gwajima kuwa usiende Dodoma kama nilivyomnukuu Lema ,kwa hiyo swala la kufuatwa fuatwa nyuma halikuwa jambo geni kwake na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilikuwa vinafahamu jambo la Lisu kufuatwa na watu wasiyo julikana, lakini wakasema awafanyii kazi maswala ya mtandaoni ingawa kila siku tunnaona watu wanafungwa kwa mambo ya mtandaoni itoshe tu kusema yote ni mapenzi ya Mungu ata Yuda kumuuza Yesu kwa vipande Thelathini haikuwa akili yake.
 
Katika majeshi bora ya POLISI duniani jeshi letu linashika namba tano kwa uwezo wa hali ya juu wakuchunguza na kuwabaini wahalifu.Itoshe tu kusema yote kwa yote kuna mambo mengine si yakumlaumu mtu ila ni yakukaa kimya tu.
 
Ni katika shambulio la TL

Huyu mtu akibanwa vizuri ataweza maliza maswali mengi sana .
 
Ni katika shambulio la TL

Huyu mtu akibanwa vizuri ataweza maliza maswali mengi sana .
Kwahiyo dereva ndio aliondoa CCTV na askari wanaolinda? Lissu alishasema Nissan patrol inamfuatilia na plate number alizitaja, badala ya kuikamata mko busy na dereva as if ndio ana mamlaka ya kuondoa walinzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…