Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Kwahiyo dereva ndio aliondoa CCTV na askari wanaolinda? Lissu alishasema Nissan patrol inamfuatilia na plate number alizitaja, badala ya kuikamata mko busy na dereva as if ndio ana mamlaka ya kuondoa walinzi!
Katika mission iliyochezwa kizembe na kufeli kibudu ni hii ya Assassination ya Lisu.

Suala la wao kutoa SISITIVI ili wahusika wasijulikane ni aibu kubwa kwao
 
Huyu mtu jamaa aliwahi kusoma na Lisu shule moja! Lakini ana chuki na Lisu ya hali ya juu sana! Nadhani siku akisikia Lisu hayupo tena duniani, atafurahi sana! Sasa kwa elimu yako ya uwanahabari ngumi, kwanini hautaki kujiuliza tu, nani aliondoa walizi wa serikali wa getini?, Nani kalificha picha cha CCTV? Kwanini bunge lilizuia stahiki zake za matibabu?

Badala yake unatulazimisha tufikirie vitu vya kijinga kijinga? Kwanini serikali haichunguZi? Serikali yenyewe ipo kimya, wewe ndio unahangaika na maelezo yako marefu yasiyo na maana!
 
Wanabodi

Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
"Shambulizi la Lissu, wanaomdhania dereva anahusika, sio wajinga!, wana hoja za msingi!" Swali ni Jee Dereva Anahusika?

ums
1. Hata wanaomdhania kuwa Magufuli akimtumia Paul Makonda anahusika, sio wajinga bali wanaoelewa na wanaona.!

2. Lakini pia wanaodhania kuwa dereva hahusiki kwa 100% sio wajinga, wanaelewa kuwa hahusiki !

3. Lakini kikubwa zaidi ni kuwa, wanaodhania kuwa dereva huyu ndiye "kihitimisho"cha mkakati mzima wa shambulio hilo dhidi ya Tundu Lissu Ili kuficha aibu ya serikali kwenye ishu hii, sio wajinga na uwe unaelewa Pascal Mayalla!

4. Lakini pia, na hii ikiwa ni jumuisho la majibu ya maswali yako yote uliyojiuliza kwenye bandiko lako refu ni kuwa, CHADEMA kamwe sio wajinga wala wapumbavu kumshauri dereva Adamu akae huko nje kwa usalama wake Ili muda mwafaka ukifika aje hapa nchini.

5. Na mwisho kabisa, mtuhumiwa namba Moja (serikali) kupitia jeshi la polisi wala sio wajinga wala wapumbavu kudhania kuwa hawawezi kumfuata dereva Adamu hukohuko aliko Ili kuchukua maelezo yake kutumika kama ushahidi wa kesi watakayoi - establish kwa sababu wanajua taratibu na hatua zote za sheria kupata ushahidi wa kijinai wa mtu aliyeko nchi nyingine.

Tatizo lao ni moja. THEY WANT ADAM DEAD before anything else. Kwanini? Usijifanye hujui, wewe unajua nini?
 
Kwahiyo dereva ndio aliondoa CCTV na askari wanaolinda? Lissu alishasema Nissan patrol inamfuatilia na plate number alizitaja, badala ya kuikamata mko busy na dereva as if ndio ana mamlaka ya kuondoa walinzi!
Walioondoa camera hawajulikani,
waliopiga risasi hawajulikani,
wasiojulikana hawajulikani
ila dereva anajulikana hvy hii case ingeanza kwa dereva.

Sasa tuje kwenye kauli zenu Chadema, mnasema JPM ndie mhusika wa yote haya sawa, JPM ni mwaka wa tatu sasa ni mfu lakini bado hamna ushahidi kuhusu tukio la Lissu, wewe huoni hapo kuwa tatizo lipo kwenu nyie Chadema pamoja na huyo dereva.?
Huyo dereva anaogopa nn wakati ule utawala umeisha.? Sasa ndio ujue huyo dereva kuna mtu mwingine anayemuogopa na huyo mtu yupo chademani.

Mipango mingine ilikuwa ni yapi.?

Ni katika shambulio la TL

Huyu mtu akibanwa vizuri ataweza maliza maswali mengi sana .
Anasubiri mpaka mbowe atoke kwenye kiti mana ndie anayemuogopa mana ndie alikuwa mchonga ramani wa tukio
 

..Na nini kiliwazuia Magufuli, na Sirro, kumkamata, na kumshitaki, Mbowe, kama kweli amehusika?
 
Wanabodi

Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
"Shambulizi la Lissu, wanaomdhania dereva anahusika, sio wajinga!, wana hoja za msingi!" Swali ni Jee Dereva Anahusika?
Shambulio la Lisu si ulishasemaga ni dereva wake? Huo ndio uchunguzi wa kiuandishi unaousema? Au ilikuwa ni chuki binafsi na Lisu ambaye unasema uliwahi kusoma KTM shule moja ingawa madarasa tofauti?
Hili ni bandiko la swali na sio la statement!。
P
 
Anaehisi dereva wa Lissu anahusika ni mpumbavu sana!
 
Hawa walichukua kitendo cha dereva kupona na kusaidia kuokoa maisha ya boss wake hivyo wanatamani kumkamata na kunyesha ili kumaliza hasira yao!
Kwanini wadianze na walio ondoa Lindi, walielekezwa na nani?
Waliingia CCTV camera walitumwa na nani? Ni Chadema walifanya yote hayo?
 

View: https://youtu.be/Yo4zV7MKv1U?si=XKFRTGRYCDNDzzGZNimemsikiliza huyu jamaa, kiukweli uchawa ukizidi sana, mtu unakuwa kama taahira fulani1. Nao puuzeni hoja zake za uchawa, ila msikilize anapomzungumzia dereva wa Lissu, ulinganishe na nilichouliza kwenye bandiko hili.
P
 
..wamechomoa na memory ya camera zilizokuwa kwenye gari ya Lissu!!
Sijui kuhusu camera za Toyota, camera za Range Rover latest models ni ip cameras, storage ni kwenye clouds, na hata ukiiba ni kazi bure,tracker zao zinatumia live satelite view wanaiona gari ilipo with 360 degrees, wanawaona walio ndani, but you can disable inside cameras for privacy but you can't disable tracking!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…