Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Pascal unafikiri kwanini hasa polisi hili suala waliachana nalo mapema mno na hata hawataki kulizungumzia

Lissu ametumia miaka mingapi kupewa lile gari kutoka kituoni?

Unafikiri tuhuma za Tigo ni "fabricated"?

Dereva alihojiwa na DW akiwa Ubelgiji na alieleza kwa kina kilichotokea kwa shambulizi lile dereva lazima alipitia PTSD na sehemu pekee ambayo angekuwa sawa na walau kupata ahueni ni nje ya Tanzania.

Polisi wa Tanzania kama kweli walikuwa na nia ya kuandika maelezo yake wangeshirikiana na Interpol akiwa huko huko na sio kurudi Tanzania maana usalama wake ungekuwa mdogo sana.


View: https://youtu.be/6Ysrl-iFNJM?si=rHb478ZhBO6NAQjF
 

..hili tukio kukiwa na nia ya dhati sio kazi kubwa kuujua ukweli, na kuwanasa waliohusika.
 
..hili tukio kukiwa na nia ya dhati sio kazi kubwa kuujua ukweli, na kuwanasa waliohusika.
Ukweli wanajua ila haiwezekani jambazi achunguze masuala ya ujambazi.

Samia tangu apige askari ambao ndio hao hao watekaji na wauaji wa mzee Kibao leo ni siku ya 36 tangu kaomba ripoti na kuko kimya.

Yaani watu wafunge barabara mchana kweupe na wamchukue mtu ndani ya gari na kutokomea nae kusikojulikana na tuambiwe eti ni raia tu wa kawaida?

Deusdedith Soka alipigiwa simu na askari hao hao aelekee kituoni leo ni siku ya 58 hajulikani alipo.

Nani mjinga hapo ataendelea kudanganywa kuhusu wahusika wa hayo matukio?
 
Thanks for this, Tanzania hatuhitaji kibali kumhoji Mtanzania yoyote popote just notification. Tanzania na Kenya tuna extradition treaty hivyo polisi wetu wangekuwa wana nia kumhoji, wangemhoji akiwa jijini Nairobi. Tanzania na Belgium hatuna extradition treaty, hivyo mhalifu wa Belgium Tanzania ni safe heaven, na mhalifu wa Tanzania, Belgium ni safe heaven.

Issue ya dereva wa Lissu sio issue ya interpol na dereva huyo sio mhalifu, hivyo interpol has nothing to do with this.
P
 
Ni kweli, hata sisi waandishi wa IJ, hili tunaliweza liko ndani ya uwezo wetu
P
Mimi nilifutilia kwa kutumia codes zangu nikajipa moyo kunasiku litambumbuluka tena hao ambao hawatakiwi wajulikane ipo siku watajulikana tu, (it is never too late in life) niliongeza codes nyingine baada ya kumsikiliza dereva akihojiwa DW
 
Kama ni kushauri tumemshauri sana tuu kwa mtu wetu, awatose tuu hawa jamaa, na tukaeleza kuwa mchelea mwana kulia, hulia yeye! Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
P
 
Kama ni kushauri tumemshauri sana tuu kwa mtu wetu, awatose tuu hawa jamaa, na tukaeleza kuwa mchelea mwana kulia, hulia yeye!.
P
Una nikumbusha wimbo wa MR Blue wa mapozi nami mapozi nawee, kwakifupi ni wapumbavu hata tukio liliratibiwa na wapumbavu.

The evils, (wicked), left with a lot of question marks ???????????? Without closing the marks
 
Mimi nilifutilia kwa kutumia codes zangu nikajipa moyo kunasiku litambumbuluka tena hao ambao hawatakiwi wajulikane ipo siku watajulikana tu, (it is never too late in life) niliongeza codes nyingine baada ya kumsikiliza dereva akihojiwa DW

..kwanini Wamarekani walimuweka Makonda ktk listi ya watu wasiotakiwa nchini kwao? Wanamtuhumu Makonda kwa kosa gani? Pia tukio hili halichunguzwi kwa maslahi ya nani?
 
..kwanini Wamarekani walimuweka Makonda ktk listi ya watu wasiotakiwa nchini kwao? Wanamtuhumu Makonda kwa kosa gani? Pia tukio hili halichunguzwi kwa maslahi ya nani?
Hilo swali la kutuhumiwa kwa makonda linaweza jibiwa vizuri na walio mtuhumu lakini kwa faida yako unaweza soma kuhusu the use of orbiting satellites, (artificial satellites)

Halichunguzwi kwa masilahi ya waliokuwa, (wame ratibu), ondoa na kupanga zamu za walinzi, walinzi ambao, (walikuwa hawatumii bunduki),hawana bunduki na wale wenye bunduki wa area D, pia kwa masililahi ya wale walioziondoa CCTV, zilizokuwa zimefungwa karibu na nyumba ya mh. Tundulisu aliekuwa amemiminiwa risasi zote zille, akiwa ndani ya gari lake, pale pale karibu na CCTV

Similarly to, (vile vile), tume huundwa nyuma ya mikamera, majibu ya tume nyuma ya pazia
 
Interesting…
 
Upuuzi mtupu ,mbona uchunguzi haukufanywa ,acheni mtoto wa watu ,Mungu alimepusha basi,Mbona wahusika munawajua ?bas useme ni ww ivo unaweweseka na bado utasema mengi

Tigo munahusika mumekimbila kubadili jina eti bayasi ? Jamani@ ilimukwepe kesi sasa wazungu wana akili sana suɓiri muda tu utasema
 
Si mlishaambiwa Tigo walitoa code zote ili mwamba apotezwe,vipi na zile Camera za usalama kwenye yale makazi ya wagonga meza nani aliziondoa.

Yote kwa yote Mungu ni Mwema Mwamba anapumua mpaka sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…