Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

..kwa tabia yake AK47 haina shabaha.

..But it was the right rifle kutumia kwa mazingira ya eneo walilomkuta Mh.Lissu.
Silaha kitako kikitulizwa begani na kisha kushikiliwa na mikono imara shabaha ipo na kama ikitetereka mlengaji target inakuja juu kidogo ya eneo alilolenga. Kama alilenga chini ya target, maana yake inafikia sehemu lengwa.
 
We sasa kushusha kiti kinanachukua dakika ngapi?Hapa kama huna gari huezi kuelewa.Inaonesha unadhani kushusha kiti ni sawa na kushusha sofa ghorofani
Mkuu kuvamiwa sio tukio la kucheza kombolela kwamba akili za ujifiche wapi zinakuwa active. Ushawah kutwa na jambo lolote la hatari tena ghafla?Yani mvamiwa anapata mda wa kulaza kiti na kulala kifudifudi na dereva anashuka kujificha chini ya gari hahahahah hii movie ni hatar.Msilete story za kwenye bongo movie kwenye issue serious ka hizi.Ile milio ya risasi tu ilitosha kufanya lisu apoteze faham,lkn ye anakuambia alikua anafaham zake vizur tu had anafika hospital na wakat huohuo kuna risasi ilipiga jirani na spinal cord.Nyie watu acheni mahaba ya kijinga kwenye ishu sensitive ka hizi
 
Na ww unautaka ukuu wa wilaya? Kweli Njaa mbaya na jina lako ni Manjaa mengi limeendana na hili bandiko lako braza.
 
Angekuwa hausiki angekwenda kuhojiwa, madawa aliyopewa Lissu kusinzia ili afanyiwe hayo, risasi zinapiga kushoto anaumia kulia, kiti cha lissu kinalazwa alale dereva hapati hata jeraha,

Camera zinatolewa kwa uchunguzi watu wanadhani ni serikali imezitoa kuficha ukweli,

Suala la Lissu Mbowe anahusika sana sema hamuelewi n.a. Lissu ni mjanja mno anawasiliana na Magufuli ili akipona ndo amwage cheche, mpaka sasa Mbowe hajatulia anatapa tapa kupoteza ushahid wote , lakin Sami ya Mtu ni nzito sana haimwagiki tu,

Leo hii waliopaswa kulipwa ujira wa kazi hiyo wananyongwa tu kupoteza ushahidi, kuna mengi watu wanajua ila wanaogopaga tu kutoa ushahidi,

Britannica
Wee jamaa kama si mchawi basi utakuwa mjinga sana !
 
Mkuu kumbe na wewe una roho kutu hivi?

Kwa mwenenendo huu, ni wazi kama asingepona, basi mngesema pia hakupigwa risasi.

Kwanini haushangai muujiza wa risasi 16 kuingia kwenye mwili wake lakini bado aka survive? Wewe badala yake unashangazwa kwamba dereva hakupatwa na risasi. Unadhani amekuwa dereva wake toka akiwa na miaka 19 kwasababu ya ulegelege?

Wekeni ubinadamu kidogo bhana! Sasa pengine ana kipaji sana ndo maana hata wabelgiji wameamuwa kumsomesha.
Mkuu hapo hakuna muujiza,Hilo tukio ni bongo movie. Ukiwa unapewa maelezo ya hilo tukio na ukajaribu kulitengenezea picha utaona ni uhuni tu unless thinking capacity yako iwe inaendeshwa na hisia ka unavyodai eti muujiza.Hakuna muujiza hapo.
 
Mkuu kuvamiwa sio tukio la kucheza kombolela kwamba akili za ujifiche wapi zinakuwa active. Ushawah kutwa na jambo lolote la hatari tena ghafla?Yani mvamiwa anapata mda wa kulaza kiti na kulala kifudifudi na dereva anashuka kujificha chini ya gari hahahahah hii movie ni hatar.Msilete story za kwenye bongo movie kwenye issue serious ka hizi.Ile milio ya risasi tu ilitosha kufanya lisu apoteze faham,lkn ye anakuambia alikua anafaham zake vizur tu had anafika hospital na wakat huohuo kuna risasi ilipiga jirani na spinal cord.Nyie watu acheni mahaba ya kijinga kwenye ishu sensitive ka hizi
Wewe ndo mjinga kabisa labda sijui kiwango chako tu cha uelewa.Unajua vitu vingine ni vitu vya kawaida sana.Kama una logic kweli kwa ccm hii iliyojaa chuki na visasi dhidi ya chadema ingeacha tukio hili lipite bila uchunguzi mujarabu?kwa nini serikali iliondoa ulinzi eneo husika?nao ni Lissu aliwatoa ?cctv je? Hivi unaelewa eneo la areaD lilivyo na mazingira yake?kweli serikali ilishindwa kama sio mkakati maalum? Serikali kwa nini isitume polisi Nairobi kwenda kumwoji Lissu na Dereva?na kama hujui dereva aliruhusiwa kwenda nchini kenya na serikali ya Tz kama angekuwa suspect no1.wasingeruhusu avuke border.Sema shida ni kwamba by that time serikali ilitaharuki baada ya kuona Lissu hajafa na kama wangetambua mapema kumzingizia dereva kosa wasingeruhusu,wangemnyang'anya passport.
 
Mimi hunisikitisha sana napowasoma hawa watu. Wagumu sana kuelewa.pascal kaandika vizuri sana. Mwenye uwezo wa ku reason ndo anaelewa.wale wa division 5 ndo wanamshambulia kwa maneno ya hovyo hovyo tu.mi nadhan kuna haja ya kuwa na mitihani kupima uwezo watu kabla hawajapewa access ya majukwaa kadhaa kama haya. Otherwise wabaki tu chit chat na MMU.

Hili nimelizungumza sana watanzania elimu yao ni ya mashaka sana, watu hawana reasoning, hawana uwezo wa kufanya analysis. Ni elimu ya hovyo isiyojenga independent thinking. Uzi huu wa pasco niliusoma kisha nikasoma comments nikajishangaa sana, jamaa kamaliza chini kwa kuweka wazi kila kitu ila watu hawaelewi kitu.
 
Wewe ndo mjinga kabisa labda sijui kiwango chako tu cha uelewa.Unajua vitu vingine ni vitu vya kawaida sana.Kama una logic kweli kwa ccm hii iliyojaa chuki na visasi dhidi ya chadema ingeacha tukio hili lipite bila uchunguzi mujarabu?kwa nini serikali iliondoa ulinzi eneo husika?nao ni Lissu aliwatoa ?cctv je? Hivi unaelewa eneo la areaD lilivyo na mazingira yake?kweli serikali ilishindwa kama sio mkakati maalum? Serikali kwa nini isitume polisi Nairobi kwenda kumwoji Lissu na Dereva?na kama hujui dereva aliruhusiwa kwenda nchini kenya na serikali ya Tz kama angekuwa suspect no1.wasingeruhusu avuke border.Sema shida ni kwamba by that time serikali ilitaharuki baada ya kuona Lissu hajafa na kama wangetambua mapema kumzingizia dereva kosa wasingeruhusu,wangemnyang'anya passport.
Nilijua utapangua hoja za hiyo movie ya dereva kushuka na kujificha kumbe unakimbilia kwenye kichaka cha CCTV hahahahaha.Tufanye CCTV zipo na kila kitu sawa, ebu niambie kwa tukio la uvamizi ukirejea maelezo uliyoniquote inawezekana vipi?
 
Nilijua utapangua hoja za hiyo movie ya dereva kushuka na kujificha kumbe unakimbilia kwenye kichaka cha CCTV hahahahaha.Tufanye CCTV zipo na kila kitu sawa, ebu niambie kwa tukio la uvamizi ukirejea maelezo uliyoniquote inawezekana vipi?
Hakuna lisiliwezekana kama watu wanaweza kuruka kwenye gari wakati ajali inatokea unashindwaje kulaza kiti ambacho ukibonyeza tu button inashuka na ukibonyeza tena kinainuka?pia lazima ujue kuwa zilizopigwa risasi ni 30+maana yake nyingi zilimkosa pia inaonesha mlengaji hakuwa mwanajeshi na mwenye uzoefu katika kutumi bunduki kubwa.kwa hiyo wakati anakoswa lazima kuna jitihada wao walijaribu kuzifanya na kumbuka dereva ndie aliemlaza Lissu so kama Lisuu angekaa kama kawaida lazima risasi nyingi hususani za kichwa zingemkuta.Hapo bado hujaelewa?
 
Mimi hunisikitisha sana napowasoma hawa watu. Wagumu sana kuelewa.pascal kaandika vizuri sana. Mwenye uwezo wa ku reason ndo anaelewa.wale wa division 5 ndo wanamshambulia kwa maneno ya hovyo hovyo tu.mi nadhan kuna haja ya kuwa na mitihani kupima uwezo watu kabla hawajapewa access ya majukwaa kadhaa kama haya. Otherwise wabaki tu chit chat na MMU.
Bhavicha wote kichwani ziro
 
Hakuna lisiliwezekana kama watu wanaweza kuruka kwenye gari wakati ajali inatokea unashindwaje kulaza kiti ambacho ukibonyeza tu button inashuka na ukibonyeza tena kinainuka?pia lazima ujue kuwa zilizopigwa risasi ni 30+maana yake nyingi zilimkosa pia inaonesha mlengaji hakuwa mwanajeshi na mwenye uzoefu katika kutumi bunduki kubwa.kwa hiyo wakati anakoswa lazima kuna jitihada wao walijaribu kuzifanya na kumbuka dereva ndie aliemlaza Lissu so kama Lisuu angekaa kama kawaida lazima risasi nyingi hususani za kichwa zingemkuta.Hapo bado hujaelewa?
Vichwa vyenu sijui vinashida sehem,hata kujaribu kutengeneza kascene kadogo tu na kuangalia inawezekana mnashindwa?
 
Mkuu hapo hakuna muujiza,Hilo tukio ni bongo movie. Ukiwa unapewa maelezo ya hilo tukio na ukajaribu kulitengenezea picha utaona ni uhuni tu unless thinking capacity yako iwe inaendeshwa na hisia ka unavyodai eti muujiza.Hakuna muujiza hapo.
Kwahiyo hata sasa hivi hizo picha na video zote akiwa hospital ni bongo movie. Halafu unadai eti una thinking capacity kubwa. Potezea tu akili yako kisoda. Una uwezo finyu sana wa kufikir na kuchanganua mambo. Rudisha kabisa na ile avatar yako unayojiharishia.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Ungeweza kuchambua tukio la Makonda pale clouds ningekuona wamaana Sana.

Kwasababu camera zilikuwepo, pia Kama Tundu Lissu aliweza Kusema kuna watu wanaifatia na polisi wakashindwa Kufatilia. Je unazani ni maana?

Havyo ya camera za CCTV nitakuachia wewe uyaseme.

Ndugu nakwambia hao unaowatetea ipo siku watakungeuka?

mr mkiki
 
Vichwa vyenu sijui vinashida sehem,hata kujaribu kutengeneza kascene kadogo tu na kuangalia inawezekana mnashindwa?
Aisee kweli walimu wana kazi ngumu hivi na wewe ni great thinker?wewe utakuwa sijui mtu wa namna gani? Yaani dah!unasikitisha labda kama hujui ajali au hata uvamizi huwa hautokei wala hauwezi kufanikiwa 100%.katika kitu ambacho wasiojulikana ukiwapo na wewe wanashangaa basi ni kusalimika kwa watu hawa wawili.Ila ujue kuwa Mungu yupo na anatenda kazi maana alisha ahidi kutuokoa dhidi ya watesi wetu.Mungu yupo na alishajidhihirisha katika tukio hilo.Shetani Umeshindwa
 
Mayala Watanzania si wajinga kama unavyofikiri. Mabandiko yako ya siku za kariburi yamekuwa yakiegemea sana upande fulani wa yule bwana mkubwa.

Kibaya zaidi yamekuwa ni mabandiko ya bila fact hata moja. Jitafakari mkuu kuweka credibility yako sawasawa hasa kwenye mabandiko yako .

Uelewe umuhumi wa waandishi kama ninyi katika jamii yetu na madhara unayoweza sababisha kwa kuandika mambo ya dhahania tupu.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Natatizika kuamini kama bandiko hili ni kazi ya paskali kwakuwa maswali na hoja alizoweka ni za kiwango cha chini sana kuliko uwezo, weledi na uzoefu wa paskali tunaemjua.
Kama hii ni kazi take paskali, basis atakuwa ameifanya chini ya shinikizo fulani!...
Tunamtaka paskali halisi, yule wa kipindi cha kitimoto....
OVA
 
Back
Top Bottom