Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Mkuu kuvamiwa sio tukio la kucheza kombolela kwamba akili za ujifiche wapi zinakuwa active. Ushawah kutwa na jambo lolote la hatari tena ghafla?Yani mvamiwa anapata mda wa kulaza kiti na kulala kifudifudi na dereva anashuka kujificha chini ya gari hahahahah hii movie ni hatar.Msilete story za kwenye bongo movie kwenye issue serious ka hizi.Ile milio ya risasi tu ilitosha kufanya lisu apoteze faham,lkn ye anakuambia alikua anafaham zake vizur tu had anafika hospital na wakat huohuo kuna risasi ilipiga jirani na spinal cord.Nyie watu acheni mahaba ya kijinga kwenye ishu sensitive ka hizi
Embu fafanua wewe kuhusu ilo tukio lilivo tokea



Wabongo bhana kila mtu ana jikuta expert
 
Bro acha kuliaibisha jeshi la polisi kwasababu kimsingi wao ndio walipaswa wawe wakwanza kufanya uchunguzi nakuja na majibu ya nani kahusika nalile shambulio.iwe ni uyo dereva au awaye yoyote yule.sasa aya mambo ya mtaani yakumtuhumu dereva wakati vyombo husika vipo kimya vinapunguza uwezo wetu wakupambanua mambo.
 
Pascal Mayalla,

..JE, haiwezekani kwamba walielekea nyumbani kwasababu kuna ULINZI toka getini, kwa Naibu Spika, na viongozi wengine?

..Pia they did what you suggested, walikwenda eneo ambalo lina WATU WENGI.

..Inasemekana walipofika hapo Area D walikuta kumejaa magari na ilibaki nafasi moja tu ambayo walipaki gari ya Mh.Lissu.


..Pia inategemea maelekezo ya Mh.Lissu kwa dereva wake baada ya dereva kumueleza wanafuatiliwa.
..Swali lingine ni kuhusu MGUU WA KULIA kuumia zaidi kuliko wa kushoto ambako risasi zilikuwa zikitokea.

..Kwanza mguu wa kulia kuumia zaidi kunaweza kusababishwa na sehemu gani ya mguu risasi zilipita.
..Vilevile inategemea kiungo/mfupa gani wa mguu wa kulia ulipigwa na risasi vs mguu wa kushoto.

..Kwa haraka, kama alilalia TUMBO, na kichwa alielekeza upande wa kiti cha dereva, basi risasi zilikuwa zinatokea upande wa KULIA kwake na huenda ndiyo sababu ya mguu wa kulia kuumia zaidi.]
Mkuu JokaKuu, baada ya shambulio kulikuwa hakuna plan B ya kueleza nini kimetokea kwa njia za 'fix'.
Ilitegemewa ungekuwa mwisho wa Maisha na suala zima

Kutokana na fyongo na mipango hovyo, kwanza, hakuna aliyefikiria uwepo wa Camera. Ilipogundulika zipo zikaondolewa. Camera zingeonyesha vema uhusika wa watu

Pili, swali lisilojibiwa ni kwanini siku hiyo walinzi wa eneo waliondolewa wote.

Tatu, kwanini Polisi hawafuatilii Camera wanamfuatilia 'dereva'

Mpango ulisukwa kumkamata dereva kwa mahojiano kisha kutengeneza hadhithi kwasababu dereva asingekuwa na kipaza sauti.

Unakumbuka yuele kijana wa UDSM Nondo alivyoletwa mbele ya vyombo vya habari bila yeye kupewa nafasi ya kujieleza.

Alikuwa amesimama tu ili ionekana ni mzima na anakubaliana na yaliyosemwa


Kama kuna kitu kizuri Chadema walifanya ilikuwa kumuondoa dereva.

Huyu alikuwa atumike kutengeneza uongo kama ule wa Mwangosi wa kitu chenye ncha kali kilichotupwa na mfuasi wa CDM, baada ya picha kutoka ilikuwa aibu tupu kwa Polisi

Endapo dereva angekuwa sehemu ya mpango, mbona lingekuwa jambo rahisi sana

Kwanza huenda angemaliza kazi kwa risasi moja tu kifuani au kichwani

Pili, asingemshtua bosi wake wanafuatiliwa , angetulia hadi mwisho wa sinema

Tatu, angeweza kutumika kuwekewa sumu kama yule waziri aliyechubuka mwili mzima

Hizi ni hadithi tu, inajulikana na kadri inavyozungumzwa ndivyo inaondoa shaka hata wale waliokuwa na doubt. Tusijitie upofu na wendawazimu wa kulazimisha. Hili halina mjadala
 
Na wakati huo wauaji walikua bado wanasubiri akina lusu wamalize kujificha ndo waanze kumimina risasi
Hebu msijitoe akili, kama ingekuwa hivyo gari pekee ndio ingeoga risasi na lissu akafanyiwa igizo feki la kushambuliwa kama yule mwanajeshi!!
Issue ni kwamba Lissu alioga risasi na dereva alipona, angalia lissu alikaa upande upi wa seat na dereva alikaa upande upi halafu uniambie kati ya Lissu na dereva na alikuwa na uwezekano wa kuescape kulingana na upande pyu pyu zilipotokea. Obvious uwezekano wa dereva kupona ulikuwa upo kwa yeye kwa yeye kulala uvunguni mwa gari, na haijasemwa kwamba risasi zilipigwa hadi uvunguni mwa gari.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Mpendwa Paskali, Kwanza kabisa inabidi kutambua kwamba kabla ya kuibua hoja katika janga hili lililomkuta Tundu Lissu
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Paskali, katika ishi kama hii ya Lissu, MOTIVE ni muhimu sana. Labda kwanza ungejadili motive ya dereva kuhusika. Hapo hoja zako zingekuwa na nguvu. Kwa hoja ulizoleta, hujamtendea haki Lissu.
Katika matukio kama haya, mtuhumiwa namba moja ni yule mgomvi wa aliyeshambuliwa. Serikali ya awamu ya tano imejipambanua kutosita kutumia nguvu kubwa dhidi ya wapinzani wake. Wanaokosoa kidogo tu wanashughulikiwa vilivyo. Hapo ndio mahali pa kuanzia. Na kwa kuwa ushahidi wa kimazingira upo:
1) Kuzimwa kamera za CCTV eneo hilo
2) walinzi kuondolewa
3) mpaka sasa si Lissu wala dereva wamehojiwa
4) mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kile kinachoendelea katika upelelezi wa Polisi, hivyo kuna uwezekano hakuna upelelezi wowote unaendelea.
5) serikali imeonesha nia ovu kwa wapinzani kwa kupambana wanaotuhumiwa wasipate dhamana hata kama sheria inaruhusu, kutafuta kuwafunga kwa njia yoyote, na kuwabambikizia mashitaka.

Kwa hiyo tungetarajia mtuhumiwa namba moja, serikali, ajitetee, au kuleta hoja zitakazotuondoa kumtuhumu, tufikie watuhumiwa wengine. Mpaka sasa hatujaona hoja zozote za kututoa hapo.
Kwa hiyo bandiko lako Mkuu Paskali, Lina mapungufu makubwa
 
Hahaha Bavicha huwa mna ujinga mwingi sana yani amefeli kwakuwa kaongea kisicho kupendeza? Sasa demokrasia na uhuru mnao ulilia kila leo huwa mna maanisha nini? Kulitaja neno demokrasia ni rahisi sana lakini kuishi demokrasia ni swala lingine...hahaha
Na hii ndo demokrasia sasa,kupinga,kutofautiana,kukinzana ndiyo demokrasia.Unless uwe na definition nyingine ya demokrasia
 
Pascal Hiyo nadharia hapo juu no. 7 wengi inatuacha na maswali mengi ya kujiuliza.Jinsi dereva alvyopona bila hata kupata mkwaruzo katikati ya mvua ya risasi.
Mkanganyiko mwingine ni pale tulipoambiwa dereva alimgeuza Lissu akalalia kiti kiasi ambacho mguu wa kulia ukaathirika zaidi, halafu ndipo dereva akateremka na kujificha.Hapa kuna wingu zito.
Wewe dereva afanyaje ili wingu likutoke?
 
Pascal,subiri teuzi.

"Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?".
Walichukuwa tahadhali,ndiyo maana wakanusurika.

"Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya"
Hiyo Dodoma ina ukubwa gani hadi ukampoteza anayekufuatilia.

"Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!".
Wangemalizanaje wakati Lissu ana mkoba wa files za mambo ya bunge na wasiojulikana wana SMG.Hiyo mbinu yako haiwezekani kwani kwa vyovyote vile anayekufuatilia atakuwa amejiandaa.Jambo la kustukizwa unaweze kujiandaa?.

'Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika'.
Hivi kuna safe area kuzidi yale makazi ya viongozi wa serikali yenye walinzi waliyosheheni silaha za kivita na CCTV camera?.Una nini wewe Mayalla.Fikiri angeenda sehemu ya wazi,unadhani wangeacha kummininia marisasi na tukaambia majambazi walitaka kupora hela.Lissu amewazidi maafira.Wchuchumae tu,wamevuliwa nguo.

"Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani"?.
Nyumbani kwake ndiko nyumbani kwa viongozi wa serikali.Kama nyumbani kwa viongozi wa serikali zinamininwa makuni ya risasi,sina hakika eneo gani lingine wangeshindwa kufanya hivyo.


"Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja"?.
Wangekuwa na shida na dereva naye wangemcharaza risasi.HAWAKUWA NA HAJA NAYE.

"Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika"?!.
Narudia.Wangemhitaji wangemfuata,ndiyo maana hata baada ya tukio hawakushaghulika nae hadi pale walipoona mipango imeshindikana.

"Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa"?.
HIZO BLA BLA TU.Alikuwepo Noirobi,na sasa Ubelgiji.Lissu katoa mwongozo.Ulikuwa ni wakati muafaka kuruhusu uchunguzi HURU ili kama hawa akina Mbowe ndiyo watekelezaji wa huu unyama WASHIKISHWE ADABU maana wanatuchafulia Taifa letu.Cha ajabu wanaogopa uchunguzi huru wa kimataifa.AJABU.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
Asante Mkuu!! Majibu mujarabu kabisa!!
 
Paskali,
Leo imekuwaje ukaja na maneno potofu kihivi?? Siamini, nadhani kuna mtu kakuibia Id Paskali. Njoo huku JF mambo yako si mazuri.
Ka ni wewe, wamekuahidi ka wilaya gani?? Hata mpya yaweza anzishwa hapo Pugu ukawa DC. Hivi hamuoni vibaya kuishitaki serekali kuwa wamelala hadi kina Paskali ndio waweze kuwaza vizuri?? Pathetic.
Wanasema; Serekali ina mkono mrefu wala haijawahi kushindwa na lolote. Swali la kizushi; Je, walishindwa kumkamata alipokuwa Nairobi au tuseme alikuwa kafichwa? Je, hata leo hii hawajui alipo? Mbona wewe huwasaidii kuwatonya alipo? Realy Pathetic.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Mkuu!
Maneno mengi ya nini? Nenda Polisi, andika statement wakupe RB uende kumkamata.
 
"The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!. "
 
Hata Mungu alijua kuwa Yesu atasulubiwa ili aliacha yatimie ili sisi tukombolewa.

Kupitia shambulio la Lissu,hata sisi tutakombolewa(sometimes Mungu huruhusu mambo fulani yatokee kwa malengo maaalumu).

Kumbuka wangekuwa na nia wasingeshindwa kwenda kuwahoji hospitalI ya Nairobi.

Jiulize tu angekuwa ni kigogo wa serikali alieshambuliwa kama huyo dereva wasingemfuata kumuhoji hata kama angekuwa yuko Ulaya.

NI UJINGA WA KIWANGO CHA LAMI

1. Kuamini kwamba serikali ilihitaji makomandoo wengi tena wenye AK47 kumuondoa Lisu uhai. Kimsingi JASUSI mmoja tu mwenye mafunzo haba kabisa anatosha kumuondoa Tundu Lisu duniani, Tena bila mpuuzi mwingine yeyote yule kujua.

2. Kuamini kuwa pale bungeni MAJASUSI walishindwa kumuwekea sumu kwenye kiti akakalia KAMA AMBAVYO ILISEMEKANA D.R MWAKYEMBE ALIWEKEWA NA MAMVI (Na mpaka leo bado haijajulikana)

3. Kuamini kuwa wangeshindwa kumsubili barabarani wakamsukumia roli la taka ikawa ajali kama ile ililoua watalii kule Arusha

4. Kuamini kuwa Majasusi (TISS) walikosa dawa ya usingizi ya kupulizia ambayo wangeweza kwenda nyumbani kwake wakapuliza kisha wakamchomba syringe ya sumu na wakati wezi tu wa kijingajinga huku mtaani wanayo na wanatumia kuiba majumbani

5. Kuamini kuwa Majasusi (TISS) walikosa food poison ya kumuwekea dereva wa Lisu ili akilewa na kuzidiwa barabarani gari lipinduke.

6. Kuamini kuwa Majasusi (TISS) walishindwa kubuni A silent assassination method waje kumsubiri nyumbani na kupiga kelele nama AK47 ...UPUUZI.

Mimi sijawahi kwenda hata JKT lakini nina uwezo wa kubuni mbinu zaidi ya 50 za kum-eliminate MBOWE ukiachialia mbali Tundu Lisu..

TUNDU LISU hana ulinzi wa kuwapa shida watu wa TISS kama wanania ya kumuondoa.
 
Back
Top Bottom