Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

U
Hahaha Bavicha huwa mna ujinga mwingi sana yani amefeli kwakuwa kaongea kisicho kupendeza? Sasa demokrasia na uhuru mnao ulilia kila leo huwa mna maanisha nini? Kulitaja neno demokrasia ni rahisi sana lakini kuishi demokrasia ni swala lingine...hahaha
Uhuru wake wa kueleza unalindwa lakini wakati huo huo hoja aliyotoa ni ya kinafiki, huku akijua kuwa hadi hii leo hakana mtu hata mmoja aliyehojiwa kuhusiana na tukio hili, vyombo vya mabavu vipo kimya, havisemi neno, havijishitukii kwani ni jukumu lao kufanya hivyo.

Mawali ya Paskali ni ya hovyo na hayana nguvu yoyote kisheria na hata kiuandishi wa habari, akajipange upya, au afanye hata investigaTIVE Journalism atapata majibu sahaihi juu ya tukio hili baya amabalowachunguzi wamelichunia kana kwamba aliyeshambuliwa ni kuku. SAD!
 
Kweli nimemuandikia nimemuuliza Maswali akijibu hayo Atajua waliojaribu kumuua Lissu Akae anajua anatutia hasira wengine tulilia Kwa uchungu baada ya taarifa za jaribio la mauwaji ya Lissu pasco usituletee njaa zako na suala la Lissu achana nalo kabisa deal na habari za ziara tu hili liache kabisa
FACT [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Pasco mayala kama Dereva alihusika alishirikiana na nani Kwa nini CCTV Camera ziliondolewa Kwani askari wa zamu eneo la makazi ya Lissu na Naibu Spika walikuwa wapi Ni kina nani hawakuona wala Kuckia milio ya risasi walichukua hatua gani nani amekamatwa kati yao je wamekamatwa? Ukijibu hayo Maswali utapata ukweli nani kahusika na jaribio la kumuua Lissu, je kwa nini serikali imegoma kuleta watalaamu wa nje kusaidiana kiupelelezi kama vyombo vyetu vya dola vimeshindwa?
kwa nini dereva afichwe?Mara ya mwisho tuliambiwa anatibiwa saikolojia ila hatujawahi kupewa updates zake.
 
Kama wasiojulikana wangekuwa na mpango moja na dereva wa Lissu .......... naamini kabisa na wote tunajua kuwa Lissu siyo mjinga kiasi hicho mpaka aendelee kuishi naye!!? Kwa vile walikuwa pamoja ni lazima kungekuwa na circumstantial evidence za yeye kushiriki au kumuingiza mtegoni which Lissu could have had noticed then or at least later! Imagine risasi zaidi ya 30 zinarushwa from a distance hivi kweli kulikuwa na guarantee gani kuwa dereva angesurvive kwenye huo mpango!!?

Kitendo cha kukaa kimya, kukataa kumsaidia mgonjwa ambaye hakuhusika na maamuzi ya wapi akatibiwe na wana CCM kutokwenda kumuona Nairobi, na kufunga file lake kufungwa bila uchunguzi au kuhoji witnesses ..... tayari unapata majibu ...............!!
Witness alienda Nairobi kwa sababu zipi?
 
Halafu CCTV cameras tuliambiwa zilikuwa kwa Kalemani ambaye Ni jirani yake Leo tumeambiwa zilikuwa kwa Lisu mwenyewe. Mpimeni na akili jamaa yenu au aanze matibabu ya kisaikolojia kama dereva.
Walikuwa wanamtaka dereva waende kumminya kwa vitu ambavyo havijui.
Wao walitakiwa wakamate watu kadhaa.na magari Nissan nyeupe ambazo wanazihisi.
Baadae ndo wamuuite dereva.aende kuwatambua wale watu au Yale magari.
Sasa wao wanamtaka tu dereva.atawasaidia nini?
Zaidi ya kwenda kumpa mateso.
 
Pole sana Kaka yangu Kitasnia na Kamarada ( Comrade ) Ndugu Pascal Mayalla kwani sijapitia ' pages ' zote ile kwa nilizozipitia niweza Kugundua tatizo Kubwa lililopo katika Kizazi cha Watanzania kwa sasa. Watu wanaongozwa na ' mihemko ' ya Kisiasa pasipo kuangalia Uhalisia wa jambo na hata hao wanaolilazimisha ili liaminike hivyo ukisikiliza tu ' arguments ' zao haraka sana utakubaliana ule Utafiti kuwa Elimu nzima ya Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni ipo katika ICU.

Pole pia kwa Kushambuliwa Wewe kama Wewe kimaelezo na baadhi ya Wachangiaji wetu wale wale ambao Mimi siku hizi nawaita ' Wachangiaji Oya Oya ' ambao Wao kufauta mkumbo na kuamini Upuuzi ndiyo jadi yao huku wakiaminishana huko katika Vijiwe vyao.

Nilishasema katika Uzi mmoja ambao niliwahi Kuuandika hapa hapa Jamvini na leo tena narudia lile lile tena nikiwa najiamini kabisa kwani huhitaji kuwa na Elimu kubwa sana kuweza kujua mchezo mzima ulivyo na nini kinaendelea. Nitakataa mpaka siku ya mwisho kama Tundu Lissu alishambuliwa na Watu wa ' System ' wa Serikalini ( Idara Nyeti ) kama ambavyo humu mitaani na uswahil tunavyoaminishana.

Hapa wala tusidanganyane kama kweli ' System ' ingekuwa inamtaka na imemdhamiria Tundu Lissu sidhani hata kama angeweza na kuthubutu kuwakwepa au kushindana nao. System zote au nyingi zilizoko duniani huwa hazitumii na haziwezi kutumia ile mbinu ya Kipumbavu iliyotumika kule Dodoma. Hivi Tundu Lissu ana ' ubavu ' kweli wa kukwepa ' assassination trap ' kama ' Wanamume ' wamemdhamiria kweli?

Yaani kwa jinsi leo hii ' Teknolojia ' za masuala ya Kijasusi zilivyokuwa na mbinu mpya zilizopo ambazo hata hazihitaji nguvu Kubwa kutumika inawezekana kweli ' System ' ikatuma Watu vile halafu Watu ambao ni ' highly trained and qualified ' kabisa wakarusha risasi 38 halafu bado Mtu awe hai? Jamani hebu muda mwingine tuweke hizi Chuki zetu za Kisiasa pembeni na tujikite zaidi katika Uhalisia wa jambo husika.

Sina ufahamu kihivyo wa masuala haya ( nikimaanisha Kitaaluma na Kiutendaji wake ) kama walivyo wengine ila kwa maarifa machache sana niliyonayo ni kwamba sehemu yoyote ile na hasa kwa tukio zima ambalo limemtokea Mtani wangu wa Kinyiramba Mheshimiwa Mbunge Tundu Lissu kamwe hata kama liwe limekuwa ' coordinated ' na ' anonymous Fellas ' ila kwa 99% lazima pia kutakuwa na Watu wa karibu na Mlengwa / Mhusika wametumika katika kulifanikisha. Mifano ya hii iko mingi sana karibia Watu wengi ambao walikuwa ' assassinated ' ilikuja kugundulika baadae kwamba hata Watu wao wa karibu nao walihusika either directly or indirectly sasa nashangaa kwa hili la Tundu Lissu Watu wake wa karibu ama Kifamilia au Kichama wakigusiwa tu katika kutengeneza mtiririko mzima wa Kiushahidi na Kiuhalisia Watu wenye Mahaba na Siasa za ' Oya Oya ' wanaanza Kuhamaki, Kununa na Kukasirika huku wakidhani kwamba kila ama anayewapinga au anayelihoji hili Kiudadisi kabisa basi ni ' Pro Government ' na ni ' Anti Opposition '. Siasa za Kitanzania zimetufikisha pabaya mno ambapo hazitaki kuruhusu ' Fact Finding ' badala yake zimejikita katika ' rumors ' na ' double standards ' pekee.

Nina uhakika kabisa tena wa 100% kwamba hili jambo au Sakata la Tundu Lissu likifuatiliwa Kitaalam kama siyo Kiuweledi kabisa huenda kuna Watu wataficha Nyuso zao kwa aibu na hawatokuja Kuamini kile ambacho Kimejulikana na si ajabu kuna Watu wanaweza hata wakachinjana hasa kwa hasira za Kupotezeana muda na Kufitiana wao kwa wao. Ni suala la muda tu najua kadri siku zinavyoenda mbele ipo siku ukweli wa haki utajulikana na labda nimwombe tu Tundu Lissu kwamba siku ambayo labda atakuja Kuujua ukweli wa Yeye leo hii Kupewa Kilema kile asisite tena kuandika Waraka wake kutuomba radhi Sisi ambao tumefululiza Kutukanwa juu ya hili sakata lake.

Siku zote nasema na nitasema kwamba Wahenga waliposema KIKULACHO KI NGUONI MWAKO wala hawakukosea!

Akhsanteni na nawatakieni pia uchangiaji mwema wa huu Uzi wa Kaka yangu Mpendwa Kitasnia na Amani itawale Kwenu.

Mkuu GENTAMYCINE kwanza nikupongeze kwa uandishi wako makini na kuandika mambo yenye mashiko. Uko sahihi sana ww na Paskali kwa kuliangalia hili jambo kwa jicho la 3D, hiyo ni haki yako na mengi ya uliyoandika yanafikirisha. Ila mjue sisi ni watu wazima tuna uwezo wa kuchambua na kuelewa na kupima kwa akili ya kawaida kabisa. Mimi sijikiti kwenye hayo ya CCTV kwani sina uhakika nayo na nini kinaendelea. Tuje tu kwenye shaka ya wazi, eneo hilo tunaambiwa lina ulinzi mkali wa askari wenye silaha muda wote, ilikuwaje siku hiyo ya shambulio wasiwepo eneo la tukio? Hata kama walikuwa wametoka kwa dharura, kwa mlio wa AK47 tena kwa askari walipaswa kufahamu hili. Ninapofika hapa nairuhusu akili yangu kukubaliana na maelezo yako ww na Paskali lakini moyo unakataa.

Ww na Paskali tunajua ni waandishi makini, na nina uhakika mnaweza kuandika vizuri zaidi ya hivi. Lakini kwa hili shambulio na hali halisi ilivyokuwa, hata muandike vitabu vya ukubwa wa biblia kutuaminisha hicho mnachotetea mtapoteza tu muda wenu adhimu. Kwa hili mtuvumilie tu, mnaweza mkatupa majina mengi ya kebehi na vyovyote mnavyoona, lakini hilo haliwezi kupunguza ukweli tunaouamini.
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu

  11. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  12. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  13. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  14. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  15. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  16. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  17. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Paskali, kadri ya uelewa wako (ukichanganya na kusoma sheria Mlimani) naomba unisaidie kujibu maswali haya:
1. Linapotokea tukio serious la uhalifu wa kijinai (criminal offence) polisi wanafanya evidence gathering kwa namna ipi hasa kwa suspect number 1-wanakaa ofisini kumsubiri au wanatoka kumfuata tena kwa haraka?

2. Katika tukio kama hilo polisi wanahitaji kupata ruhusa ya suspect number 1 au mwajiri wake katika kumhoji?

3. Unafikiri ni kwanini polisi hawajamhoji dereva wa Lisu kama ni suspect namba moja kama unavyosema-ni kwa sababu hajajipeleka polisi? Hawawezi kumfikia? Amefichwa?

4. Kwa kuzingatia hoja uliyotumia kwamba uhusiano na imani aliyonayo Lisu kwa dereva wake hauwezi kuaminiwa na wenye kazi yao-ni nani ambaye anaweza kuaminika zaidi, angalau kwa sasa-Lisu anayesema anamwamini dereva wake kwamba hawezi 'kumuuza' au wale wanaomsuspect (suspect number 1) huyo dereva lakini wanamsubiri awafuate ofisini?

5. Wakati unaandaa hayo maswali kwa Tundu Lissu ulikuwa umejaza fikra gani kwenye akili yako-kwamba waliomiminia risasi Lisu walidhaminiria kumuua au kumfanyia shambulio kubwa la kutisha lakini bila kumuua?

6. Askari aliyesomea kozi mahususi hawezi kufanya hili la pili-la kufanya shambulio kubwa la kutisha lakini bila kumuua mlengwa hata kama litahusisha ufyatuaji risasi?

Wabeja gete namhala!
 
Paskali Mayala, katika hili na kwa mujibu wa yale unayoyaita maswali juu ya dereva wa Lissu huna hoja yoyote kwani maswali yako yote ni irrelevant. Hata hivyo bandiko la MH Lissu limegusia mengi hasa hali ya ulinzi kwenye makazi yao siku ya tukio, ongelea hilo kwani ndo la maana zaidi, Pia, vitake vyombo vya mabavu vifanye uchunguzi na kumhoji mtu yoyote vitakayedhani atasaidia kupata taarifa muhimu kuhusiana na tukio hili baya. Otherwise, umefeli bro
Pasco anataka kubalansi like swali alilomuuliza jpm ikulu mpk likampa heshima linamuumiza sasa anataka serikali imuone ni mwema kwahiyo anatafuta jukwaa LA kuipendeza system imuone imfikirie pasco umefeli na umejiaibisha
 
Eti valid questions...nyoo, dereva wa Lissu ndiye aliyeamuru ulinzi wa Site 3 pale Area D uondolewe? Dereva wa Lissu ndiye aliyeng'oa CCTV Camera kwenye makazi ya viongozi baada ya Lissu kushambuliwa? Dereva wa Lissu ndiye aliyezuia wabunge wa CCM akiwemo na Spika Ndugai kufika hospital kumjulia Lissu hali? Dereva wa Lissu ndiye aliyezuia Bunge lisimtibu mbunge wake siyo?

Pumbavu kabisa!
Maswari ya kipuuzi sana

Sent from my SM-N7502 using JamiiForums mobile app
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu
  11. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  12. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  13. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  14. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  15. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  16. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  17. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Paschal tokea uitwe na kamati ya maadili ya Bunge umekuwa mpiga zumzri
 
Mkuu GENTAMYCINE kwanza nikupongeze kwa uandishi wako makini na kuandika mambo yenye mashiko. Uko sahihi sana ww na Paskali kwa kuliangalia hili jambo kwa jicho la 3D, hiyo ni haki yako na mengi ya uliyoandika yanafikirisha. Ila mjue sisi ni watu wazima tuna uwezo wa kuchambua na kuelewa na kupima kwa akili ya kawaida kabisa. Mimi sijikiti kwenye hayo ya CCTV kwani sina uhakika nayo na nini kinaendelea. Tuje tu kwenye shaka ya wazi, eneo hilo tunaambiwa lina ulinzi mkali wa askari wenye silaha muda wote, ilikuwaje siku hiyo ya shambulio wasiwepo eneo la tukio? Hata kama walikuwa wametoka kwa dharura, kwa mlio wa AK47 tena kwa askari walipaswa kufahamu hili. Ninapofika hapa nairuhusu akili yangu kukubaliana na maelezo yako ww na Paskali lakini moyo unakataa.

Ww na Paskali tunajua ni waandishi makini, na nina uhakika mnaweza kuandika vizuri zaidi ya hivi. Lakini kwa hili shambulio na hali halisi ilivyokuwa, hata muandike vitabu vya ukubwa wa biblia kutuaminisha hicho mnachotetea mtapoteza tu muda wenu adhimu. Kwa hili mtuvumilie tu, mnaweza mkatupa majina mengi ya kebehi na vyovyote mnavyoona, lakini hilo haliwezi kupunguza ukweli tunaouamini.
Aliyesema kuwa askari hawakuwepo ni nani na alikuwa wapi akiangalia kuwa askari hawapo?
 
Pole sana Kaka yangu Kitasnia na Kamarada ( Comrade ) Ndugu Pascal Mayalla kwani sijapitia ' pages ' zote ile kwa nilizozipitia niweza Kugundua tatizo Kubwa lililopo katika Kizazi cha Watanzania kwa sasa. Watu wanaongozwa na ' mihemko ' ya Kisiasa pasipo kuangalia Uhalisia wa jambo na hata hao wanaolilazimisha ili liaminike hivyo ukisikiliza tu ' arguments ' zao haraka sana utakubaliana ule Utafiti kuwa Elimu nzima ya Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni ipo katika ICU.

Pole pia kwa Kushambuliwa Wewe kama Wewe kimaelezo na baadhi ya Wachangiaji wetu wale wale ambao Mimi siku hizi nawaita ' Wachangiaji Oya Oya ' ambao Wao kufauta mkumbo na kuamini Upuuzi ndiyo jadi yao huku wakiaminishana huko katika Vijiwe vyao.

Nilishasema katika Uzi mmoja ambao niliwahi Kuuandika hapa hapa Jamvini na leo tena narudia lile lile tena nikiwa najiamini kabisa kwani huhitaji kuwa na Elimu kubwa sana kuweza kujua mchezo mzima ulivyo na nini kinaendelea. Nitakataa mpaka siku ya mwisho kama Tundu Lissu alishambuliwa na Watu wa ' System ' wa Serikalini ( Idara Nyeti ) kama ambavyo humu mitaani na uswahil tunavyoaminishana.

Hapa wala tusidanganyane kama kweli ' System ' ingekuwa inamtaka na imemdhamiria Tundu Lissu sidhani hata kama angeweza na kuthubutu kuwakwepa au kushindana nao. System zote au nyingi zilizoko duniani huwa hazitumii na haziwezi kutumia ile mbinu ya Kipumbavu iliyotumika kule Dodoma. Hivi Tundu Lissu ana ' ubavu ' kweli wa kukwepa ' assassination trap ' kama ' Wanamume ' wamemdhamiria kweli?

Yaani kwa jinsi leo hii ' Teknolojia ' za masuala ya Kijasusi zilivyokuwa na mbinu mpya zilizopo ambazo hata hazihitaji nguvu Kubwa kutumika inawezekana kweli ' System ' ikatuma Watu vile halafu Watu ambao ni ' highly trained and qualified ' kabisa wakarusha risasi 38 halafu bado Mtu awe hai? Jamani hebu muda mwingine tuweke hizi Chuki zetu za Kisiasa pembeni na tujikite zaidi katika Uhalisia wa jambo husika.

Sina ufahamu kihivyo wa masuala haya ( nikimaanisha Kitaaluma na Kiutendaji wake ) kama walivyo wengine ila kwa maarifa machache sana niliyonayo ni kwamba sehemu yoyote ile na hasa kwa tukio zima ambalo limemtokea Mtani wangu wa Kinyiramba Mheshimiwa Mbunge Tundu Lissu kamwe hata kama liwe limekuwa ' coordinated ' na ' anonymous Fellas ' ila kwa 99% lazima pia kutakuwa na Watu wa karibu na Mlengwa / Mhusika wametumika katika kulifanikisha. Mifano ya hii iko mingi sana karibia Watu wengi ambao walikuwa ' assassinated ' ilikuja kugundulika baadae kwamba hata Watu wao wa karibu nao walihusika either directly or indirectly sasa nashangaa kwa hili la Tundu Lissu Watu wake wa karibu ama Kifamilia au Kichama wakigusiwa tu katika kutengeneza mtiririko mzima wa Kiushahidi na Kiuhalisia Watu wenye Mahaba na Siasa za ' Oya Oya ' wanaanza Kuhamaki, Kununa na Kukasirika huku wakidhani kwamba kila ama anayewapinga au anayelihoji hili Kiudadisi kabisa basi ni ' Pro Government ' na ni ' Anti Opposition '. Siasa za Kitanzania zimetufikisha pabaya mno ambapo hazitaki kuruhusu ' Fact Finding ' badala yake zimejikita katika ' rumors ' na ' double standards ' pekee.

Nina uhakika kabisa tena wa 100% kwamba hili jambo au Sakata la Tundu Lissu likifuatiliwa Kitaalam kama siyo Kiuweledi kabisa huenda kuna Watu wataficha Nyuso zao kwa aibu na hawatokuja Kuamini kile ambacho Kimejulikana na si ajabu kuna Watu wanaweza hata wakachinjana hasa kwa hasira za Kupotezeana muda na Kufitiana wao kwa wao. Ni suala la muda tu najua kadri siku zinavyoenda mbele ipo siku ukweli wa haki utajulikana na labda nimwombe tu Tundu Lissu kwamba siku ambayo labda atakuja Kuujua ukweli wa Yeye leo hii Kupewa Kilema kile asisite tena kuandika Waraka wake kutuomba radhi Sisi ambao tumefululiza Kutukanwa juu ya hili sakata lake.

Siku zote nasema na nitasema kwamba Wahenga waliposema KIKULACHO KI NGUONI MWAKO wala hawakukosea!

Akhsanteni na nawatakieni pia uchangiaji mwema wa huu Uzi wa Kaka yangu Mpendwa Kitasnia na Amani itawale Kwenu.
Mkuu GENTAMYCINE umejaribu kuelezea vizuri kwa muono wako lakini tujaribu kuona kwa upande mwingine basi ukoje.
Ni kweli system ikikuhitaji huwezi kabisa kuchomoka maana inao watu trained wanaojua wana fanya nini.
Lakini system yaweza kutumika Mara mbili, issue official ambayo lazima inapangwa kiuweledi na inafahamika kwa wahusika Wa jambo hilo kwa mkakati kamili na kuna LA pili jambo ambalo halina maslahi ya taifa hivyo linafanyika kiharamu kwa kutumia baadhi ya wahusika Wa system kutekeleza.
Na uharamu huo ndio unao sababisha mambo Ku backfire hadi kuleta sintofahamu ndani ya system hadi wakati mwingine mambo ya "utata" kama yale ya kuhamishianaTabora. Hilo LA siri na haramu ndio laweza kuwa lilitumika kwa Lissu kwa system ile ile kwani Lissu sio tishio kwa taifa na hata ndani ya system anao wafuasi wanaojua umuhimu wake na kumuunga mkono utapangaje kwa uwazi kumdhuru?
Lingine ni ukimya, serikali zote ulimwenguni litokeapo jambo lenye kuichafua ni haraka sana kuweka wazi uchunguzi wake kujisafisha. Lakini mbona hii imeufunga uchunguzi pamoja na mambo ya wazi kabisa ikiwamo kuondelewa ulinzi, CCTV camera na mengineyo?
Kubaki na kusema dereva dereva ni argument isiyo na mashiko hata kidogo katika issue iliyochafua nchi kwa kiasi kikubwa. Tukubaliane tuu kuwa serikali imeshafunga siku nyingi file LA Lissu kwani majibu inayajua na kama ni kwavile ni inside job basi ni wazi serikali hii haitufai hata kwa dakika moja. Inashindwa kichukua hatua? Yaani mie nikimuua mke wangu watasema hayo ni mambo yetu ya ndani?
 
[UOTE="jingalao, post: 28278302, member: 56995"]Aliyesema kuwa askari hawakuwepo ni nani na alikuwa wapi akiangalia kuwa askari hawapo?[/QUOTE]
Jingalao kwe maswali tumia logic ili usionekane unauliza tu bila kujua swali unalouliza litazaa kitu gani. Sababu kama swali lako linataka kuonyesha kuwa askari walikuwepo na anayesema hawakuwepo ni muongo basi hapo utafeli maana utaulizwa kuwa askari wapo halafu wameangalia tu yanayoendelea bila hata kurespond? Hata hakukutokea majibizano ya risasi? Kama ni mahakamani umeuliza hilo swali mtu anakujibu tu inawezekana walikuwepo, ilionekana hawapo sababu hakukuwa na majibizano. Wewe unaamini walikuwepo?
 
NGOJA NIKUPE SIMULATION YA ASSASSINATION KAMA KWELI SERIKALI INGETAKA KUMUUA.

1. Siku 3 kabla ya tukio lenyewe, umbali wa mita 300 kutoka kwenye nyumba ya Lisu kwenye paa la nyumba ya mbunge fulani (WA UPINZANI) Television network (Dish) ingesumbua.

2. Mbunge huyo (Wa upinzani) angepiga simu kwenye king'amuzi husika na wao wangemwambia tutakuja ndani ya siku mbili acha taarifa kwa mlinzi

3. SIKU YA TUKIO wafanyakazi fake wa king'amuzi (Snipers) wangefika na bunduki zao zenye viwambo vya kuzuia sauti na kupanda juu ya paa la huyo mbunge fulani kutengeneza dishi at the same time Lisu anashuka kwenye gari..anakula risasi moja tu ya kichwa.

4. Wiki moja baadae kungetengenezwa theory kwamba mbunge huyo wa upinzani na Tundu Lisu walikuwa wanagombea mwanamke au mteja wa kumuwakilisha mahakamani.
Hiyo ndo njia inayotumiwa na professional assassins, hatakiwi kuacha clue
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu

  11. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  12. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  13. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  14. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  15. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  16. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  17. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Kwani wewe ni ofisa upelelezi?usitafute cheo kwa nguvu ya damu ya mtu.Tuache vyombo vya usalama vitupe taarifa kamili
Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom