Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Su

Suala ni jee aliripoti polisi rasmi na kupewa RB? Kulalamika na kuripoti tukio ni vitu tofauti.

Kwani kuripoti au kutoripoti polisi kwamba kuna "watu ninahisi ni wabaya, wenye lengo la kunidhuru" wananifuatilia kinaweza kikawa kigezo cha polisi kutoshughulikia/chunguza uhalifu ambao umekwisha tokea?

Kwani MO Dewji aliwahi kuripoti polisi kuwa kuna watu wana "intention" ya kumteka? Polisi walipoingia kwenye uchunguzi hata mwisho wa siku MO akapatikana, walitumia vigezo gani?

Wanaopigwa risasi bila kwanza hata kujua kuwa leo wangeuawa kwa kupigwa risasi, wataachwa wasipewe haki yao na vyombo vya dola kwa kuwatafuta wahalifu kwa kigezo kuwa "the victim" awe yuko hai ama amekufa hakutoa taarifa polisi na kupewa RB??

Hebu fafanua, ikikupendeza
 
Una
Kwani kuripoti au kutoripoti polisi kwamba kuna "watu ninahisi ni wabaya, wenye lengo la kunidhuru" wananifuatilia kinaweza kikawa kigezo cha polisi kutoshughulikia/chunguza uhalifu ambao umekwisha tokea?

Kwani MO Dewji aliwahi kuripoti polisi kuwa kuna watu wana "intention" ya kumteka? Polisi walipoingia kwenye uchunguzi hata mwisho wa siku MO akapatikana, walitumia vigezo gani?

Wanaopigwa risasi bila kwanza hata kujua kuwa leo wangeuawa kwa kupigwa risasi, wataachwa wasipewe haki yao na vyombo vya dola kwa kuwatafuta wahalifu kwa kigezo kuwa "the victim" awe yuko hai ama amekufa hakutoa taarifa polisi na kupewa RB??

Hebu fafanua, ikikupendeza
Ingekuwa vigumu kujua kama MO ametekwa kama jamaa hawajarusha risasi.
Hivyo kitendo cha kurusha risasi na walinzi pamoja na vyombo vya usalama vilivyo karibu na tukio ilikuwa tosha.
Kwenye suala la TL, polisi baada ya tukio hawakuaminiwa kabisa na hivyo kukosa taarifa muhimu toka kwa eye witness ambazo zingeweza kumaliza tatizo. Hadi leo nadhani kuna gaps kubwa kwenye uchunguzi wao ambao ungeweza kumaliza tatizo hili kama eye witnesses wange record statements zao. Kwa TL ingekuwa vigumu lakini taarifa toka kwa dereva zingeweza sana kusaidia.
 
Mkuu Pascal Mayalla, kama inawezekana waombe mods wakusaidie kufuta posts zako zingine kama hii thread uliyoileta hapa. Kwa sisi wengine tuliobahatika kukufahamu hata kabla hawa vichaa hawajasukumiziwa madaraka, tunakushangaa sana. Naomba tu uchukue muda ujitafakari...yawezekana umeamua kuruka pamoja na ndege unaodhani unafanana nao baada ya kulazimishwa kuamini kuwa nawe ni mwenzao. Najua kwamba pamoja na mambo kuwa hivyo, moyo wako bado unasita...kila ukicheki manyoya yako unakuta hayajakaa sawasawa.

Kumbuka ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu na katika hali kama hii tunayojikuta ujanja wa panya haufukuti, huwezi kung'ata ukapulizia, unawaumiza wanaokuamini...nakutakia kila la heri!
Mkuu Mag3, japo humu tumo wana jf wengi, na hatufahamiani in reality, lakini wana jf tunaheshimiana kwa viwango tofauti kutokana na mabandiko yao humu, mtu kama wewe, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Mchambuzi, just to mention but few, ni miongoni mwa the top 10 highly respected members kwenye list yangu, hivyo ukisema kitu au ukishauri, lazima niuzingatie sana ushauri wako.

Hivyo uliposhauri niufute uzi huu, amini usiamini, nimeusoma tena na tena huku nikijiuliza kwa nini niufute, sikuona, ukinielimisha nitakushukuru.

Mimi ni miongoni mwa members humu, tuliojitanabaisha kuwa hatuna vyama, tunaegemea kwenye ukweli na uwazi. Hivyo kwa vile najiaminisha kuwa mimi ni mkweli na kila ninachopandisha humu ni ukweli mtupu, then siufuti ukweli wowote niliopandisha humu, hata kama itanibidi mimi kubadilika ili kuweza kuendana na wakati uliopo, kwa sasa sasa tunaishi under the law of the jungle, survival is for the fittest, one you have to be real fit to survive katika nyakati hizi, mimi ni that fit and I'm survival.

P
 
Hivyo uliposhauri niufute uzi huu, amini usiamini, nimeusoma tena na tena huku nikijiuliza kwa nini niufute, sikuona, ukinielimisha nitakushukuru.P
La kwanza kabisa; uzuri wa ushauri ndio huo, hulazimiki kuufuata. Hata mimi wakati natoa ushauri, nilijua hivyo...ushauri si maagizo, unabakia ni ushauri tu.

La pili; una haki kabisa ya kuukataa na kusimamia unachoamini na hapo nakupongeza sana ndugu yangu na kama kuna misimamo inayohitaji ujasiri, huu wa kwako ni miongoni mwa "tops".

La mwisho; hata ile misimamo yako ambayo kwa kiasi inaonekana kupingana na huu una haki kabisa kuisimamia, hongera sana!
 
Una

Ingekuwa vigumu kujua kama MO ametekwa kama jamaa hawajarusha risasi.
Hivyo kitendo cha kurusha risasi na walinzi pamoja na vyombo vya usalama vilivyo karibu na tukio ilikuwa tosha.
Kwenye suala la TL, polisi baada ya tukio hawakuaminiwa kabisa na hivyo kukosa taarifa muhimu toka kwa eye witness ambazo zingeweza kumaliza tatizo. Hadi leo nadhani kuna gaps kubwa kwenye uchunguzi wao ambao ungeweza kumaliza tatizo hili kama eye witnesses wange record statements zao. Kwa TL ingekuwa vigumu lakini taarifa toka kwa dereva zingeweza sana kusaidia.

..hapo alipopigwa risasi TL kulikuwa na CCTV cameras.

..pia ni eneo linalolindwa na askari Polisi muda wote.

..pia ni jirani na makazi ya Naibu Spika ambaye anapewa ulinzi.

..kwa hiyo jambo la kwanza ilitakiwa kuangalia CCTV na kuwahoji askari wanaolinda area D.

..kama askari hawakuwepo yatatakiwa maelezo ya kuridhisha kwanini hawakuwepo.

..Askari huwa haondoki ktk lindo lake bila maelekezo toka kwa viongozi wake.

..Dereva wa TL siyo eye witness. Yeye pia ni victim wa tukio ni bahati kwamba alisalimika.

..Jeshi la Polisi walitakiwa washirikiane na INTERPOL ktk kuchukua maelezo ya victims wa shambulizi lile ambao ni TL na dereva wake.

..Kwanini ktk tukio la Mo Polisi wameshirikiana na Interpol lakini shambulizi dhidi ya TL hawashirikiani nao?

..Pia tukio la TL linaweza kuwa lilishuhudiwa na majirani zake wa Area D. JE, kwanini hao hawahojiwi?
 
Camera bongo, swala ni Lissu kusoma alama za nyakati kabla angejilinda.
Yaliyotokea yametokea hatuhukumu nani kafanya coincidence nyingi inawezekana pia wenzake kwenye chama chake wamehusika na kuiangushia mzigo serikali.
Matokeo huyu bwana anauguza majeraha mpk leo.
Familia na waliomchagua ndio looser
Mkuu jaribu kuwa na hofu ya Mungu, hayo unayoyasema yanaweza kuja kukusumbua nafsi yako baadae
 
Una

Ingekuwa vigumu kujua kama MO ametekwa kama jamaa hawajarusha risasi.
Hivyo kitendo cha kurusha risasi na walinzi pamoja na vyombo vya usalama vilivyo karibu na tukio ilikuwa tosha.
Kwenye suala la TL, polisi baada ya tukio hawakuaminiwa kabisa na hivyo kukosa taarifa muhimu toka kwa eye witness ambazo zingeweza kumaliza tatizo. Hadi leo nadhani kuna gaps kubwa kwenye uchunguzi wao ambao ungeweza kumaliza tatizo hili kama eye witnesses wange record statements zao. Kwa TL ingekuwa vigumu lakini taarifa toka kwa dereva zingeweza sana kusaidia.

1. Ni kama vile hujayajibu maswali yangu karibu yote niliyokuuliza hapo juu...

2. Hivi kweli kwa maelezo yako yanaweza kuwa ndicho kigezo cha polisi kushindwa kufanya kazi yao ya kuchunguza na kukamata wahalifu wa uhalifu huu dhidi mbunge TL na kuwapeleka mbele ya sheria??

3. Aidha kuna watu wamekomaa kweli na ishu ya dereva mpaka hata na polisi nao wamethubutu kusema kuwa ni vigumu kushughulikia tukio baya la jaribio la kuuwawa kwa TL eti kwa sababu "CHADEMA WAMEMZUIA DEREVA WA TL ASIHOJIWE"

4. Hivi Mkuu Abunwasi, unaamini kuwa hii ndiyo sababu "genuine" ya polisi kutotekeleza wajibu wao muhimu wa kulinda usalama wa RAIA (TL ni raia halali kabisa wa nchi mwenye haki zote) na MALI zao? Hivi kweli inaingia akilini kuambiwa kuwa CHADEMA wanaweza kuzuia polisi kufanya kazi yao?? Wao ni kina nani haswa wazuie?

5. Kwa upande mwingine, tumeona karibu CHADEMA yote (kwa maana viongozi wote wakuu wa chama) wana kesi ktk mahakama na vituo vya polisi mbalimbali hapa nchini wakituhumiwa kwa jambo hili ama lile...

Hii inanileta kwenye swali moja la msingi sana ambalo mimi hujiuliza kila mara:

Kwamba, kama chama karibu chooote kina kesi mahakamani......

Hivi polisi wanashindwa ktk engo gani kumpata na kumhoji dereva tu (tunayeambiwa ndiye mtu muhimu ktk tukio zima la shambulizi la TL) ambaye pengine hata siyo mwanachama wa CHADEMA??

Mimi akili yangu inakataa kabisa kuamini haya!!.

Inaniambia lipo jambo jingine kubwa zaidi ambalo hakika ndilo kikwazo cha polisi kushindwa kutenda wajibu wao....

Ishu ya dereva inatumika tu kama kichaka cha kuchelewesha ukweli halisi na wahusika halisi wa shambulio la mbunge Lissu kujulikana!!

ON THE OTHER HAND, kuna possibility ya ukweli huu:

Kwamba, inawezekana kweli kabisa dereva ni mmoja wa watu muhimu sana ktk upelelezi wa tukio zima la kushambuliwa kwa TL.....

Na hii inawezekana ni kwa pande zote kwa maana ya Mwathirika wa tukio Tundu Lissu pamoja CHADEMA kama chama na kwa upande mwingine serikali/vyombo vya dola ambavyo vinatupiwa lawama kuwa likely vimehusika kutaka kumuua TL na kwa sbb hiyo vimenyuti, hawashughulikii kukamata wahalifu wa RAIA huyu.....

Kama ndivyo, ni wazi basi kuwa CHADEMA na Tundu Lissu wanamuona dereva kama mtu muhimu na ana "taarifa zote muhimu" za shambulio hilo na kwamba watamlinda kwa nguvu zao zote na kama ni kwenda kutoa maelezo, basi ni lazima iwe "under very very special condition" kwa nia ya kimlinda as I said before...

Why?

Kwa sbb wanaelewa wakimwachia aende kwa njia za kawaida kama ilivyozoeleka, uwezekano mkubwa ni kupotezwa na akapotea na ushahidi muhimu ambao mwisho wa siku itasemwa, dereva ndiye alitaka kuua bosi wake, ama alitumwa na "M/kiti Mbowe Freeman Aikael!!"

Na kwa kuwa atakuwa "amepotezwa", hakuna atakayepinga maelezo hayo na defenetely itakuwa ndiyo pengine mwisho wa " No. 1 wanted wa CCM anayetakiwa apotee" Bwana Mbowe na CHADEMA yake!!

On the other hand, serikali inalijua hili na haiko tayari kukubaliana na "conditions" hizo kwa sababu zita expose kila kilichofichwa chini ya carpet na wao walishakubali kabisa liwalo na liwe na si "technically and strategically" kukubali kushindwa na CHADEMA/Mbowe kirahisi rahisi hivyo!!

For that case, inataka ifanye inavyojua na kutaka yenyewe ili mwisho wa siku izibe siri hiyo...

Otherwise, mimi nabaki kuamini liko jambo haliko sawa kwa ishu ya shambulio la TL na mzigo unaielemea serikali/vyombo vya dola zaidi bila kujali kama WANAPENDA ama HAWAPENDI kusikia haya!!
 
Mkuu Pascal Mayalla, kama inawezekana waombe mods wakusaidie kufuta posts zako zingine kama hii thread uliyoileta hapa. Kwa sisi wengine tuliobahatika kukufahamu hata kabla hawa vichaa hawajasukumiziwa madaraka, tunakushangaa sana. Naomba tu uchukue muda ujitafakari...yawezekana umeamua kuruka pamoja na ndege unaodhani unafanana nao baada ya kulazimishwa kuamini kuwa nawe ni mwenzao. Najua kwamba pamoja na mambo kuwa hivyo, moyo wako bado unasita...kila ukicheki manyoya yako unakuta hayajakaa sawasawa.

Kumbuka ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu na katika hali kama hii tunayojikuta ujanja wa panya haufukuti, huwezi kung'ata ukapulizia, unawaumiza wanaokuamini...nakutakia kila la heri!
Mwenzako yuko kikazi zaidi.
 
Hivi waliopanga njama za kutaka kumwua Mheshimiwa Tundu Lisu watamaliza huu mwaka bila kujulikana au kutwaliwa?

Mwenyezi Mungu, please intervene!
 
Wanabodi

Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio, yanahalisha watu wenye udadisi kujiuliza maswali kihusu tukio lenyewe, hivyo kuhisi uhusika wa dereva wa Lissu, sio jambo la ajabu, tena uhusika wenyewe sio lazima uwe expressly but impliedly kwa negligence iliyopelekea Lissu kuwa reached na watu wasiojulikana na kushambuliwa, wakati alikuwa na uwezo wa kumuepusha na shambulizi hili.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Kwa vile Lissu aliwahi kuripoti kufuatiliwa, kupitia press conference, kwa nini hakuripoti polisi?!.
  2. Baada ya Chadema kupokea taarifa ya Mnadhimu wake kufuatiliwa, walichukua hatua gani?.
  3. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  4. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  5. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  6. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  7. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  8. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  9. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  10. (Mimi niliwahi kuwa mwanajeshi wa JWTZ hivyo kuna kitu nakijua kuhusu hizi AK47 ndani ya jeshi letu, lakini vitu vingine ni siri za usalama wa taifa letu, sina uhakika mtu asiyepitia JWTZ, ana uwezo gani kuijua AK 47!.)
  11. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  12. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  13. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu

  14. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  15. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  16. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  17. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  18. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  19. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  20. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Dereva angesaidia kutoa abc but mambo yanaenda kisiasa ningumu kufikia mwafaka
 
Nakumbuka kwenye ile kesi ya Prof Mahalu ezi za kikwete shahidi japo alikuwa nchi za nje, technologia ilitumika ili kumfanya shahidi atoe ushahidi wake.

Kwa hiyo serikali ikizamilia haishindikani, sasa kwanini kwa dereva amekaa hapo kenya imeshindikana?

Umesema kwamba walitakiwa waende sehemu safe baada ya kugundua kuwa wamefuatiliwa, sasa kwa mujibu wa maelezo ya lisu ni kwamba pale ni sehemu safe kwa sababu inalindwa masaa ishirini na nne, kutokana na unyeti wa eneo lenyewe, lakini kwa mshangao wao hawakukuta hata mlinzi mmoja kitu ambacho si chakawaida.

Pia pale kulikuwa na cctv camera nani kazitoa,.tena zimetolewa baada ya tukio, maana yake ni kwamba zile cctv camera zina records za hilo tukio ndio maana wamezitoa.

Najua unataka kuwatoa tiss na serikali kuhusika na hili tukio, ila kinyume chake unazibitisha uhusika wao katika hili tukio pale, unaposema eti how come mtu ana Ak47 kashindwa kupiga target katika distance fupi namna hiyo lazima watakuwa wahuni fulani hivi, kwa mujibu wa mashuhuda wa ambao ni bodaboda hiyo gari ilionekana ikipewa escort na police ikitokomea kusiko julikana,.eti serikali ya tz, haina ak47, wao wanatumia smg, tu, poor me.

Kifupi kumsafisha huyo mtu haiwezekani na tiss waliplay part ili kuhakikisha hilo tukio linafanikiwa sema, Mungu hakuruhusu muitoe roho yake, sasa hizi cover up mnazo kuja nazo zinazidi kuthibitisha ushiriki wa tiss na serikali, na pia hai tiss wamehusika kwenye dirt game nyingi na ndio kila mahali kuna grand corruption, ukiachana kuisadia ccm kuiba kura na kupora ushindi.
 
Nilishasema katika Uzi mmoja ambao niliwahi Kuuandika hapa hapa Jamvini na leo tena narudia lile lile tena nikiwa najiamini kabisa kwani huhitaji kuwa na Elimu kubwa sana kuweza kujua mchezo mzima ulivyo na nini kinaendelea. Nitakataa mpaka siku ya mwisho kama Tundu Lissu alishambuliwa na Watu wa ' System ' wa Serikalini ( Idara Nyeti ) kama ambavyo humu mitaani na uswahil tunavyoaminishana.
Ata mimi binasi sijawahi kuamini hili.
Tukio la kushambuliwa kwa Lissu lilipangwa liwe mtaji wa kisiasa.
Over
 
Mkuu Mag3, japo humu tumo wana jf wengi, na hatufahamiani in reality, lakini wana jf tunaheshimiana kwa viwango tofauti kutokana na mabandiko yao humu, mtu kama wewe, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Mchambuzi, just to mention but few, ni miongoni mwa the top 10 highly respected members kwenye list yangu, hivyo ukisema kitu au ukishauri, lazima niuzingatie sana ushauri wako.

Hivyo uliposhauri niufute uzi huu, amini usiamini, nimeusoma tena na tena huku nikijiuliza kwa nini niufute, sikuona, ukinielimisha nitakushukuru.

Mimi ni miongoni mwa members humu, tuliojitanabaisha kuwa hatuna vyama, tunaegemea kwenye ukweli na uwazi. Hivyo kwa vile najiaminisha kuwa mimi ni mkweli na kila ninachopandisha humu ni ukweli mtupu, then siufuti ukweli wowote niliopandisha humu, hata kama itanibidi mimi kubadilika ili kuweza kuendana na wakati uliopo, kwa sasa sasa tunaishi under the law of the jungle, survival is for the fittest, one you have to be real fit to survive katika nyakati hizi, mimi ni that fit and I'm survival.

P
Ukiandika hoja za kuwafurahisha utalamba sifa zote. Siku ukiwakosoa ni lawama za usukuma. Hivi usukuma ungekuwa ndio tiketi ungehojiwa dodoma? Endelea kusimamia unachoamini bila kujali fikra za wafia vyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi

Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio, yanahalisha watu wenye udadisi kujiuliza maswali kihusu tukio lenyewe, hivyo kuhisi uhusika wa dereva wa Lissu, sio jambo la ajabu, tena uhusika wenyewe sio lazima uwe expressly but impliedly kwa negligence iliyopelekea Lissu kuwa reached na watu wasiojulikana na kushambuliwa, wakati alikuwa na uwezo wa kumuepusha na shambulizi hili.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Kwa vile Lissu aliwahi kuripoti kufuatiliwa, kupitia press conference, kwa nini hakuripoti polisi?!.
  2. Baada ya Chadema kupokea taarifa ya Mnadhimu wake kufuatiliwa, walichukua hatua gani?.
  3. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  4. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  5. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  6. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  7. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  8. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  9. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  10. (Mimi niliwahi kuwa mwanajeshi wa JWTZ hivyo kuna kitu nakijua kuhusu hizi AK47 ndani ya jeshi letu, lakini vitu vingine ni siri za usalama wa taifa letu, sina uhakika mtu asiyepitia JWTZ, ana uwezo gani kuijua AK 47!.)
  11. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  12. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  13. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu

  14. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  15. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  16. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  17. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  18. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  19. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  20. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
We ndugu nimekushangaa sana leo
 
Hii umefeli sana mkuu .
Kafeli nini? wewe kijana nakuoneaga huruma sana. sijui hata akili yako huwa inafikiriaga nini? Paschal ameweka mambo yote ya kufikirisha akili zetu kuhusu hili shambulio, unasema amefeli. Kisa tu hakusema Serikali imehusika kama mlivyokaririshwa. Wakati mwingine tuweke pembeni mapenzi na mahaba yetu kwenye hivi vyama hasa kwenye mambo ya msingi kama haya. Ushabiki wetu ndo sababu ya kulea maovu kwenye jamii.
 
Ukiandika hoja za kuwafurahisha utalamba sifa zote. Siku ukiwakosoa ni lawama za usukuma. Hivi usukuma ungekuwa ndio tiketi ungehojiwa dodoma? Endelea kusimamia unachoamini bila kujali fikra za wafia vyama.
Masikini MTAZAMO, kweli umeshuka kiasi hiki...
  • Kumiminiwa risasi Mbunge Mh. Tundu Antiphas Lissu, mnadhimu wa Upinzani bungeni na Rais wa TLS ilikuwa ni mbinu tu ya wapinzani kutafuta kiki ya kisiasa na dereva wake alihusika.
  • Kupotea kwa kijana mwanaharakati Ben Saanane aliyekuwa akihoji elimu ya Rais Magufuli ilikuwa ni mbinu ya wapinzani kutafuta kiki ya kisiasa na Chadema inatuhumiwa kuhusika.
  • Kutekwa, kuteswa na miili ya baadhi ya watu kuokotwa kwenye viroba ni mbinu tu ya wapinzani katika kutafuta kiki ya kisiasa kwa kuichafua serikali wakitumiwa na mabeberu.
  • na mengine mengi...
Ndugu yangu MTAZAMO usipate taabu, hauko peke yako...kuna asilimia kubwa tu ya Watanzania wanaoamini hivyo. Endelea kusimamia unachoamini bila kujali fikra za wafia chama! (hata Dr. Slaa popote alipo labda atakuunga mkono)

Na mwisho kwa usahihisho tu, nakupa rasmi taarifa hii...mimi si mwana Chadema na sijawahi kuwa mwana Chadema wala sina nia na kujiunga nao ila nakiri na ninaamini kutoka moyoni kwamba adui mkubwa wa taifa hili ni CCM na hapo labda ndipo ninapoungana na msimamo wa Chadema. Kumbuka adui wa adui yako ni rafiki yako.

Kwa upande wa Pascal Mayalla, amini usiamini yuko katika wakati mgumu sana (between the rock and a hard place). Anataka acheze kama pele na kweli angeweza ila kafungwa mguu. Wako rafiki zangu wengi tu wako hivyo na naelewa kwa nini wako hivyo. You have no idea what's going on behind the scenes, wanateseka nafsi zao!

Naam, wanateseka kweli kweli!
 
Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.

Tuvute subra.
Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.
P
 
Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.

Tuvute subra.
Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.
P
Pascal unajuwa kwa nini ASP Bageni kahukumiwa kunyongwa na mahakama kuu na Court of Appeal kubariki hukumu hiyo? Kwani kuna mtu mahakamani kasema kamuona Bageni akiwafyatulia risasi wale wafanya biashara wa madini?
Theory iliyotumika pale kumpata Bageni hatiani ndio hiyohiyo imetumika na Watanzania kuwatambua wasiojulikana. Hiyo rekebisha andiko lako, sema Wasiojulikana wamejulikana tatizo ni kuwa at the meantime they are untouchable.
Hapo watu wawe wavumilivu tuu muda utafika kwa untouchable kuwa touchable na kwa mshangao wale wasio wajua watashikwa butwaa, kumbe ndiwo ambao siwo!
 
Wanabodi

Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio, yanahalisha watu wenye udadisi kujiuliza maswali kihusu tukio lenyewe, hivyo kuhisi uhusika wa dereva wa Lissu, sio jambo la ajabu, tena uhusika wenyewe sio lazima uwe expressly but impliedly kwa negligence iliyopelekea Lissu kuwa reached na watu wasiojulikana na kushambuliwa, wakati alikuwa na uwezo wa kumuepusha na shambulizi hili.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka?, halafu what happened?!. Kwenye mambo ya assignment, anaweza hata akatumika mke wako aliyekuzalia wanao, sembuse itakuwa dereva tuu mliotoka nae mbali!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Kwa vile Lissu aliwahi kuripoti kufuatiliwa, kupitia press conference, kwa nini hakuripoti polisi?!.
  2. Baada ya Chadema kupokea taarifa ya Mnadhimu wake kufuatiliwa, walichukua hatua gani?.
  3. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  4. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  5. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  6. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  7. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  8. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  9. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  10. (Mimi niliwahi kuwa mwanajeshi wa JWTZ hivyo kuna kitu nakijua kuhusu hizi AK47 ndani ya jeshi letu, lakini vitu vingine ni siri za usalama wa taifa letu, sina uhakika mtu asiyepitia JWTZ, ana uwezo gani kuijua AK 47!.)
  11. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  12. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  13. Maswali haya yameendelea kwa msaada wa mwana jf huyu

  14. Bunduki iliyotumika waliiona ni AK 47 iliyokuwa na full magazine (risasi 40) ambayo ilimimina risasi zote 40 at close range. Kati ya hizo 17 zilizama kwenye miguu, mikono na kiuno cha Tundu Lissu.
  15. Risasi zilimiminwa kutoka upande wa kulia wa gari ambao ni upande wa dreva lakini dreva hakupatwa na risasi hata moja na alipata hata fursa ya kuteremka kwenye gari na kwenda ku take cover kwenye magari yaliyokuwa yamepaki eneo hilo. Assailants walikuwa upande wa kulia wa gari, hivyo risasi zilizama zaidi kwenye mguu wa kulia, paja la kulia, mkono wa kulia, kiuno upande wa kulia na kutokea tumboni na mkono wa kushoto. These are the documented medical forensic clues.
  16. Majeshi yetu hayana bunduki za AK 47, yana SMG badala yake ambayzo full magazine zake ni risasi 30. Bunduki za AK47 zinamilikiwa na majambazi yanazozipata kutoka kwa wanajeshi wa Burundi wanaokimbilia Tanzania ambao huwa wanaziuza kwa bei ya shillingi 20,000 tu!! Silaha hizi ndizo zilitikisa huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji.
  17. Hakuna mwanajeshi ye yote (aliyepata mafunzo ya kijeshi) ambaye ampige mtu (adui) risasi 38 from an AK 47 gun at a close range halafu mtu huyo asalimike!! Never on earth. Kwanza atahitaji risasi moja tu na atafumua kichwa au moyo. Hivyo it is so obvious kwamba assailants wa Tundu Lissu walikuwa ni wahuni tu wa mitaani wasiojua kutumia bunduki. Yaani risasi 38 zote zinakosa target (kichwa au moyo) zinaishia kupiga makalio na hewa!! Hili halihitaji askari wa Scotland yard kulitambua. Swali ni nani aliwakodi hawa wahuni wasiojua shabaha? Kwa nini dreva wa Lissu akawa mkimbizi nchi za nje? Nini kakimbia? Kwani hata polisi wetu wakienda kumhoji huko kwani atasema lo lote la maana? Huko hawawezi kumu arrest. Alipaswa kuwa behind bars ili aeleze vizuri. Tundu Lissu alipaswa kujua hili. Mara nyingi kikulacho unacho nguoni mwako. Eti ninamuamini sana. Mbele ya pesa kunakuamini mtu? Yaani apewe shillingi million 500 aache kukumaliza? Yaani Tundu Lissu hajui kwamba "Money is the source of all evils in this world?"
  18. Hospitali ya serikali ya Dodoma na madaktari wa serikali wa Dodoma hospital ndiyo waliookoa maisha yake. Kama serikali ilikuwa na mpango wa kumuua, ingalishindwaje kumumalizia hapo hapo kwenye hospitali yake ya Dodoma humo humo operation theatre? It was so simple eg hiyo damu aliyopewa hangeipata au angalipewa incompatible blood ambayo ingalimumaliza hapo kwa hapo! Lazima aishukuru serikali kwa kuokoa maisha yake badala ya kuilaumu. Upinzani haupaswi kuwa wa aina hii. Tujifunze kwenye nchi zilizotutangulia.
  19. Bunduki kama AK 47 au SMG ikiunguruma si mchezo. Kwa askari yo yote trained, hata kama naye ana bunduki ya aina hiyo hiyo lakini kashutikizwa, reaction ya kwanza ni ku take cover. Atalala chini na ku craw hadi mahala salama. Hapo ndipo atatafuta kuona adui/ maadui walipo na kutafakari kama anao uwezo wa kupambana nao au kuomba reinfocement au kutokomea kabisa kwenye eneo hilo. Trained soldier hakurupuki tu kuanza kurusha risasi ovyo ovyo anapositukizwa na milio ya risasi. Hivyo kwa jinsi tukio lilivyotokea hapo usingalitarajia askari waliokuwa karibu na eneo hilo kuwa wangaliweza kuanza kujibu mapigo kwa muda huo mfupi uliotumika kabla ya majambazi hayo kutokomea kusikojulikana. Dreva wa Lissu aliyaona live na alitaja hata aina ya gari yalilotumia na plate namba zake. Polisi walikamata magari kadhaa ya aina hiyo lakini dreva huyo alikataa kwenda kuyatambua na hivyo yakabidi yaachiwe kwani hakuna shahidi aliyejitokeza. Shahidi muhimu alikuwa Nairobi akidaiwa anapata tiba ya kisaikolojia. Sasa hivi Lissu anasema dreva huyo yuko masomoni Ubeligiji. Sijui anasoma digrii gani hapo Leuven University teaching hospital anapotibiwa boss wake. Jamani aacheni kutufanya wajinga. Pascal yuko sahihi kabisa.
  20. Huko nyuma niliisha wahi kuzungumza haya kuhusu dereva wa Lissu.

Mpaka sasa the situation ya shambulio la Lissu as it is, limefanywa na watu wasiojulikana. Serikali yetu imeshindwa kuwabaini, lakini sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kama nilivyosema hapa.
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali yetu kufanya upelelezi wa tukio hili na kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya kuendelea na uanaharakati na kuishi kwa mashaka, au uamue kupunguza makali na kuishi kwa amani.

Pole Sana Mhe. Tundu Lissu, Get Well Soon.
P.
Rejea
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums

Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania - JamiiForums

P.
Siyo kila jambo unatakiwa ulitolee maoni, kukaa kimya wakati mwingine ni jibu sahihi na muafaka zaidi.

Watu wote hao ambao wapo kimya baada ya kutokea KWA tukio hili usidhani kuwa hawana la kusema au hawajui kusema, LA hasha, wanalo LA kusema isipokuwa wamechagua kukaa kimya.
 
Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.
Tuvute subra.
Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.
P
Takataka Usiye Na Aibu Wala Utu Hata Chembe.

Bahati Nzuri Maisha Bado Yanaendelea, Sisi Yetu Macho.
 
Back
Top Bottom