Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Emba botion kwenye motion (katika sauti ya dògo hamidu a.k.a nyandū tozi) hivì dogo hamidu nae karara mbére au bado anasikirizia wazee mpaka wamjie
Enzi nipo mkoani nkajua Dogo hamidu ni MTU Wa front kumbe ye mwenyewe chawa tu Wa boya flani.

Biashara ya madawa bongo ikifanyika ujue kuna Baraka ya vigogo Wa serikali na ndio maana ikienda tofauti wanaenda okotwa kama panya vile.refer huyo Abdul eti drug lord unajificha kwenye ceiling board kama sio upuuzi ni nini si bora uache hiyo biashara haramu,unafanya biashara haramu alafu unakuwa mtumwa Wa vigogo flani serikalini.

Ukiachana na huko Mexico na Colombia,hapo south kwenyewe drug lord humsogelei kizembe,mpaka umpate ujue kuna damu zimemwagika,drug lord na serikali ni vitu viwili tofauti kabisa.drug lord ana jeshi lake kama waasi sasa ma drug lord Wa kibongo kutuchapia dada zetu na upuuzi upuuzi mwingine Wa kujiharibia maisha Tu yeye na familia yake
 


Hawa watasimuliwa kizazi hadi kizazi mpaka ujio wa Massiah
 
Alizaliwa Moro sec mwaka gan?
 
😂😂😂😂😂😂 ati niniii?
 
Zeze aka Shamim Mwasha namkumbuka enzi za forum ya DarHotwire miaka ya 2004/2005. Funny how Mzee Mengi (owner of DarHotwire, an affiliate of IPPMEDIA) went down with this bi.tch on almost exactly the same day.
amazing
 
Yeye ndiyo muanzilishi wa vibubu challenge na akawa anauza hivyo vibubu vya chuma, sasa ili mtu usitamani kuchukua hela ilikua ukitaka unanunua kibubu unamuachia funguo maana zile funguo zina no...ikifika dec unaenda chukua funguo zako.
Hahaha unaonekana nawewe ni mmoja wa wafuasi wa kibubu! Mtafata funguo zenu selo! 😂😂😂
 
Jamaa ni mafia, na demu wake nae anaonekana kamanda sana...kama Bonie & Clyde, patners in crime!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…