Mungu anakulipa bi dada ulijua kumtesa baba IQRA ukafanya kila kituko mpaka kijana wa watu akakupa talaka, ukamfanya kijana wa watu akakosa focus kwenye maisha na kazin akawa haeleweki[emoji24] ..Ukasahau alivyokukuta unagongwa ovyo na madereva tax wa Sinza madukani kipindi hiko ukiwa umepanga kichumba tu huko mitaa ya NAMNANI, Ukajiona babkubwa ulivyoanza kualikwa kwenye birthdays za wadada wa mujini kwenda kuwapiga picha ili uwapost kwenye blog yako ya 8020 na kupewa vi elfu 50 vya kutia mafuta. Ukahisi baba Iqra si hadhi yako tena,Ushoga na mboni ukanoga mpaka kuja kumuiba Abdul kutoka kwa bff wako. Dah kweli malipo ni duniani