Wanatuchanganya au ndiyo wafaidika wenyewe, sasa tutasemaje kama ni muuzaji iweje awekewe, basi wasema wenzie walimchomea ndiyo maana akakamatwaSasa aliwekewaje wakati upande mwingine unakiri kweli alikuwa anauza?
Na hapo ndo pagumu watakapokata rufaaHawa nao. Walikubali wenyewe na barua wakaandika. Kukubali kusafirisha madawa. Sijasoma sheria ila mtu kakubali kosa kinachofuata ni hukumu kufuatana na kosa. Sheria ipo wazi. Sijui wakili wao ni nani ?Walikosea sana kufuata Mkumbo watu walipokuwa wanakiri kusafisha pesa. Nao wakajiweka kitanzini kuwa walisafirisha madawa.
Hio adhabu ipo kwa mujibu wa sheria. Ni mandatory minimum, ukiwatia hatiani, ndio adhabu peke yake kwenye kitabuHukumu iliyotolewa ni kali sana. Ningekua Hakimu ningewapunguzia kidogo
Mjini mipango. Usione watu wana push disco 4Ai ai ai. Kumbe walikuwa wanatesa namna hii? Wewe unayehangaika kwenda feri kuchukuwa samaki wa kukaanga uje uuze kwa mafungu upate cha kulisha familia unajimbia nimemkosea nini Mungu jamani mbona wenzangu sioni wakishughulika lakini wanatesan namna hii?
Wanaotuhumiwa kwa corruption wakiwa wanapata vifungo kama hivi mahakamani, basi Afrika tungekuwa mbele kiuchumi sana tu [emoji848]
Eti nikakaa nao na kupiga story blah blah, wewe sikia walinyang'ana bwana haoHivi ukiongea uwongo unapata faida gani?! Hao watu wawili wote nawajua tena kwa kukaa wote na kupiga story hata wenyewe walishangaa huwi uzushi umetokea wp!!
Ni kwel ila ndio hivyo tena.wazaz tujifunze na kuamua kabla hayajatukutaNawasikitikia watoto wake jamani kama mzazi inauma sana.
Yaani wakili wao kilaza sana. Walijua kusafirisha dhahabu ni sawa na kusafirisha madawa ya kulevya ?Magufuli kawaponza. Alitangaza wenye kesi ya kutakatisha pesa wakubali kisha walipe watoke. Sasa hawa wauza madawa ya kulevya walitegemea walipe Heroines ?Au Cocaïne ?Na hapo ndo pagumu watakapokata rufaa
Itakuwa vigumu jopo la majaji kwenye appeal yao kupindisha hukumu
Why? Kwa sababu wamekiri tena kimaandishi na signature
Hii ni mbaya sana sana!
Kule walihukumiwa mzee mtoto alirudishwa bongoChief, vipi ile kesi ya yule mume na mkewe waliokamatwa China (sina hakika) wakiwa na mtoto mdogo na mtoto akarudishwa na ubalozi hapo nyumbani Tz, imeendaje?
Kipindi kile watu humu walisupport maamuzi ya China (?) juu ya hukumu yao ila hapa tunatetea yaleyale??
Imagine jamani[emoji848]Yaani wakili wao kilaza sana. Walijua kusafirisha dhahabu ni sawa na kusafirisha madawa ya kulevya ?Magufuli kawaponza. Alitangaza wenye kesi ya kutakatisha pesa wakubali kisha walipe watoke. Sasa hawa wauza madawa ya kulevya walitegemea walipe Heroines ?Au Cocaïne ?
Hana akili. Kilaza yule.Kwa sababu ikitokea jaji mwingine afute adhabu,serikali itakata rufaa. Kwanza Jaji wala hawezi futa adhabu maana wamekubali tena kwa maandishi kuwa wanasafirisha madawa ya kulevya.Imagine jamani[emoji848]
Ila namuona huyo nsembo mahakamani ana confo balaa, anasema hayo ni maamuzi ya jaji mmoja! Mbele mambo yatakuwa bien
Hayo maconfo anapewa na wakili wake[emoji848]Hana akili. Kilaza yule.
Hawa nao. Walikubali wenyewe na barua wakaandika. Kukubali kusafirisha madawa. Sijasoma sheria ila mtu kakubali kosa kinachofuata ni hukumu kufuatana na kosa. Sheria ipo wazi. Sijui wakili wao ni nani ?Walikosea sana kufuata Mkumbo watu walipokuwa wanakiri kusafisha pesa. Nao wakajiweka kitanzini kuwa walisafirisha madawa.
Wakili yeye anawalia mapesa yao tu. Yaani Shamimu nikikumbuka na vibubu akiwadanganya vilaza wenzake.Hayo maconfo anapewa na wakili wake[emoji848]
Alimuona mme wake wa kwanza fala hana kitu akamfata mwenye helaTena huyu Shamimu alikuwa na mumewe wa kwanza very humble, tamaa mbaya sana. Alimkimbia mumewe kwa tamaa na kuolewa na muuza madawa.
Tena aliambiwa mapema sana kwamba huyo Abdul ni muuza madawa, Ila akajifanya hasikii. Leo kiko wapi, jela maisha duh hatari sana.
Eti nikakaa nao na kupiga story blah blah, wewe sikia walinyang'ana bwana hao
Kama hutaki kajiny.ee ulale
Kwa kweli life imprisonment is as good as rest in peace. Hapo wasali na kuomba labda Court of Appeal wanaweza kutoka kama kuna makosa katika proceedings ya case.Wapumzike kwa amani
Vick unanichamba na mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Wakili yeye anawalia mapesa yao tu. Yaani Shamimu nikikumbuka na vibubu akiwadanganya vilaza wenzake.
[emoji3] wewe unanunua vitu yeye anakulia timing auze ili aondoe alosto,tena kwa bei cheeNilishawahi kuishi na mtumiaji wa madawa
Hilo balaa lake sasa humo ndani
Ova