Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Wanatuchanganya au ndiyo wafaidika wenyewe, sasa tutasemaje kama ni muuzaji iweje awekewe, basi wasema wenzie walimchomea ndiyo maana akakamatwaSasa aliwekewaje wakati upande mwingine unakiri kweli alikuwa anauza?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app