Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
INRI bwana unachekesha. Hivi wewe ulishwahi kuona picha zinapigwa zinajisevu kwa hayo majina yako. Eti picha imeseviwa "Makundi home" Achabkuokoteza picha fb mnaziedit majina[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wewe huulizi zenye label ya bukoba WADAU?
Kwan hiyo picha Ni ya uchagani au si uchagani ? Hiyo ndio hoja tulia dawa ipenye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan nyie za bukoba mnazoweka hapa mmepiga kwa simu zenu? Muulize instanbul je picha anazoweka hapa kazipiga?
Sisi wachaga hatukatai picha za bukoba hata kama zimepigwa na blog Instagram nk ili mradi ziwe za kweli
Sasa unaweza kubishia picha ya uchagani unayoona mlima kilimanjaro kabisa? UNATAKIWA KUPIMWA AKILI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepanic
Kwan picha za instanbul kapiga yeye? Mbona zina label ya bukoba WADAU? Umepanic ulipoona ulaya ndogo uchagani njoo unywe bia moja una njaa kali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie endeleeni kuokoteza vipicha vyenu vya huko Marangu mitandaoni,
Mimi nipo kwenye beach tuliivu saaana ya kipekee Tanzania Beach ya Bukoba!! Sijaona kama Bk

Wachaga sauti inatosha??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumewatoa baru mmekimbia sasa hv tunajipongeza kwa bia
Mna huo uwezo nyie maskini wa kihaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…