kafanikiwa kitu gani?....hivi bongo movie inaeleweka inakoelekea au ilipo?Hiyo miwaya ulimpa weye,wanawake tuache unafiki naomba ripoti yake kuwa ni muathirika. Bila uthibitisho jua una roho ya chuki na hutokuja kufanikiwa kwa kuwachukia wanawake wenzako waliofanikiwa.
Umetumia mbinu gani hasa kujua kuwa kashatumika sana nyuma Bosi?ukimuangalia viwiko vya mikono, anaonekana katumika Sana nyuma.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 polepole babu!Nimecheka kwa sauti kubwa sana hadi nimepaliwa...[emoji1787]
Hahaaaa....dahMilioni 20??
Yeye anaona uzuri ndio kila kitu, huo uzuri wake mbona haujamdumisha kwa mumewe wa kwanza, huyo mumewe wa kwanza sidhani kama ilifika hata milioni 5.
Mahari hiyo bora niende zenji nikaoe hata wanawake wajane tu, najichukulia wajane wangu wa4 narudi kupyatila pyatila bongo dar es salaam
Kupyatil pyatila....Milioni 20??
Yeye anaona uzuri ndio kila kitu, huo uzuri wake mbona haujamdumisha kwa mumewe wa kwanza, huyo mumewe wa kwanza sidhani kama ilifika hata milioni 5.
Mahari hiyo bora niende zenji nikaoe hata wanawake wajane tu, najichukulia wajane wangu wa4 narudi kupyatila pyatila bongo dar es salaam
Hakuna mzee, mie "tabora moja".Kupyatil pyatila....
Makaveli10 wewe ni wa Iringa?
Basi hilo neno limenipeleka maboyaHakuna mzee, mie "tabora moja".
Hili neno nimelipata kwa jamaa yangu anatokea morogoro(ifakara)Basi hilo neno limenipeleka maboya
Hajakutana na ma super marioo huyu hela ya mahari anatoa mwenyeweusijali Shamsa nakuja
mahari si utanipa wewe mwenyewe
wala usiwe na shaka.....
Si kumtafuna kwa mil 20Kiukweli ni mzuri kwa kutafunwa .....wanaomkandia sio mabaharia
You're dead wrong!Vijana wanatokwa povu kama ana bahati ataolewa zaidi ya hiyo 20