TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

I hope hujamaanisha ulivosema kwamba ungemtoa mkeo km ingeku Guarantee kupata Pesa. Halafu kuna Member mwezi huuhuu alitoaga Story ya hapo kijijini kwao jinsi mvlana wa hapo kijijini kwao alivomtoa Kafara mume wa Dada yake na baadae wakageukana na kutoleana siri.
Naikumbuka hiyo story
 
Hivi una dhani ni rahisi kutoa kafara enhee? Tena kwa mtu unayeshea nae kitanda na mmezaa watoto?


Muda mwingine utajichumia dhambi bila sababu ya msingi
Mpuuze huyo
Leo amepata pepo la uropokaji
 
Weee unajidanganya sana, khaaaaah watu wanatoa hadi ndugu wa wake zao na wanafanikiwa kupata hela. Acha kabisa damu ya binadamu.
Dada hizo ni story ingekua kafara dini kungekua hakuna masikini iringa na usukumani ndio wanapenda hayo mambo
 
Wanakua hai ktk hali ya nguvu za giza (ndondocha na misukule), hivyo kwa hali ya kawaida hawaonekani, ila wataalamu wa mambo hayo wanaona, km waganga, wachawi, na watu waliojizindika.
Kuna matajiri wa madini tulikua tunawaona na pesa tunaambiwa ulonzi wametumia,wengi sasa havi hawana hata mia sasa faida yake nini pesa inatakiwa ikae kuanzia miaka 10 mpka 30 uwe kwenye level
 
naomba niandike kitu kwa herufi kubwa yaani msisitizo. JAMANI HAPA NAAMINI KABISA HUYU JAMAA KAHUSIKA KAMA KAFARA,MNASHANGAA HILI MNGESHANGAA LA MWAMPOSA KUTOA KAFARA LA WATU 20 KULE MOSHI..MWAKA FULANI NILIKAA SEHEMU NA MSHIKAJI WANGU TUNAPIGA STORY NA MENEJA FULANI WA MZIKI MJANJAMJANJA ALIYEKUWA WA KWANZA KUMTOA MSANII NAMBA MOJA WA BONGO FLEVA KATIKA STORY JAMAA ALIKUWA ANASIKITIKA SANA JUU YA MWANADADA MDANGAJI KIPINDI HICHO ALIYEANZIA KWENYE MOVIE KWA SASA ANAJULIKAN KAMA MIMBAJI INGAWA AAFAKE FAKE TU MZIKI WENYEWE PIA ANAJULIKANA KWA UJASIRIAMALI WA KUPIKA MISOSI,MENEJA HUO ALIMPELEKA MWANADADA HUKO NDANINDANI KWA MGANGA MAARUFU ALIYEMUAMBIA AMTOE BINTI YAKE KAMA KAFARA NA DADA ALIKUBALI KWA MOYO MMOJA HUYU BWANA MENEJA AKAMUAMBIA MGANGA TUTARUDI,WALIVYOONDOKA AKAMUAMBIA MWANADADA SIHUSIKI KWENYE HILI DEAL,BINTI BADO YUPO HAI SIJUI BADAYE ALIMTOA NANI KAFARA MAANA MAMBO YAKE KWENYE MISOSI SIYO MABAYA
NIWAKUMBUSHE PIA MBONGO FLEVA NAMBA MOJA NA KISA CHA BIBI YAKE WANAOJUA HIYO STORY SIYO SIRI BIBI ALIDANJISHWA YUKO KWENYE VIDEO YAKE YA KWANZA ILIYOMTOA
Kama maisha yako unaishi kwa kulishwa story za vijiweni basi utakuwa na matatizo makubwa sana
 
Back
Top Bottom