Ah! Failed to see it on time! Got some setback, nikasepa ghafla!Hahah hatari sana, nimalize kwa kusema mimi na wewe tutaonana kwenye kilinge chetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah! Failed to see it on time! Got some setback, nikasepa ghafla!Hahah hatari sana, nimalize kwa kusema mimi na wewe tutaonana kwenye kilinge chetu.
Usishangae Mzee ukisikia anagombea manake bunge likishashuka hadhi basi kila mtu anaamini anaweza kuwa mbunge!! Hivi ni nani kwa mfano anayeshindwa kumwaga "nondo" kama za Msukuma?!ngoja tuone kama atagombea ubunge
Kuna siku nilienda kwenye msiba fulani hivi hadi nikahisi nimepotea nyumba nikaenda nyumba ambayo inafanyika harusi!Ndio maana nasema walokole ni wajinga Sana mnataka mnavyoishi nyie ndio kila mtu aishi.
Kuna makabila hapa tanzania kwenye msiba huwa ni mwendo wa Bia Hadi asubuhi sijui hao nao unawazungumziaje Kama unakereka kuona Babu tale akiwa na huzuni ndogo usoni kwako. Mwisho wa siku huzuni ya mtu iko moyoni mwake na sio ikae usoni kwake ili wewe ufurahi.
Kuna watu wanafiki sana! Sijui ni kuelemewa sana na mawazo ya kishirikina au ni chuki tu!!Mzee kwa hiyo kama kifo kimetokea na mambo mengine yasiendelèe?so unatakiwa uwe unalia tu mana itasaidia afufuke arudi?huyo kashakwenda hatuponae,hata akionesha majonzi aisaidii,mwache ajifariji huenda simu inampunguzia mawazo pia.
SijuiVipi
Mtu ambae alikufa kifo cha ajabu ni Abdul Bonge peke yake, na kimsingi wala hakikuwa kifo cha ajabu zaidi tu ya kuwa hakikutarajiwa!Mhh niliwah soma sehemu upande wa kina tale kunakuwa na vifo vya ajabu ajabu...rip dada
Sasa sijui Huyo mlokole hapo angesemajeKuna siku nilienda kwenye msiba fulani hivi hadi nikahisi nimepotea nyumba nikaenda nyumba ambayo inafanyika harusi!
Kwanza nimekuta watu wana-dance balaa! Na kama unavyosema, ilikuwa full pombe to the point huwezi kabisa kuamini kwamba pale ni msibani!
Hapo watakuambia mnafiki tu huyo! Yaani kwao mtu akionesha huzuni "ni mnafiki" na akijikaza aonekane normal "hajaumizwa na msiba"! Na of course hizo video zipo na wala usidhani hawajaziona!Mkiangalia ile clip wapo makaburini kasimama na Ridhiwan anambebeleza babu Tale ana uchungu sana.
Man, usidhani kwamba hawajui... ni chuki tu na kuendekeza ushirikina ndiko kunawasumbua! Tena Waafrika tuna hadi zile mila zetu za watani! Siku ya kwanza kushuhudia niliwaona wale jamaa kama hawana moyo... how come unaleta "masihara" msibani?!Sasa sijui Huyo mlokole hapo angesemaje
Wazee wa Mtwara wangekamilisha ile assignment, muda huu tungekuwa na story ya tofauti.Yaani bado ni tanzia tu hadi leo? RIP Shamsa.
Hatakiwi kugombea ?ngoja tuone kama atagombea ubunge
Hivi ushirikina wivu na chuki baba zao ni mmoja ?Kuna watu wanafiki sana! Sijui ni kuelemewa sana na mawazo ya kishirikina au ni chuki tu!!
Yaani umaarufu wa Tale watu sijui wamejiuliza hadi sasa katumiwa messages ngapi! Kwahiyo walitaka hata kujibu message hasijibu eti ili aonekane ameguswa na msiba... sasa unafiki wenyewe si ndo huo!!
Wanashindwa hata kutumia common sense kwamba hata kama amemuua bado angeweza ku-fake huzuni 24/7 ili kila mmoja aone ni namna gani alivyoumizwa na msiba wa mkewe!
Lakini watu walivyo wanafiki, Tale huyo huyo endapo angeonekana kuwa na huzuni, hao hao wangesema "mnafiki tu huyo, huzuni ya kujifanyisha tu hiyo!"
Nimeshawahi kushuhudia ripoti mbalimbali zikitaja Tanzania kama moja ya nchi zinazoamini sana mambo ya kichawi! Kwa mfano mtandao wa "HowAfrica" Tanzania waliiweka #10 duniani! Mtandao wa the Richest ulituweka #3 duniani!
Yaani ukiwasoma watu hapa, ambao majority ni vijana wadogo tu ndipo utakapogundua kwamba kweli Tanzania ushirikina ni dini ya kwanza! Unajua unapoamini jambo fulani linawezekana ina maana hata wewe ukiwa badly cornered basi unaweza kufanya!
God Forbid!!
Wabongo kuna baadhi setting akili zetu haipo sawaHapo watakuambia mnafiki tu huyo! Yaani kwao mtu akionesha huzuni "ni mnafiki" na akijikaza aonekane normal "hajaumizwa na msiba"! Na of course hizo video zipo na wala usidhani hawajaziona!
Wivu wa kijinga, unazaa chuki za kijinga! Chuki za kijinga zinakufanya uwaze kama mchawi kwa sababu yule uliye na chuki nae hutaki uone anafanikiwa; na in fact, akikutwa na setbacks, unafurahi!Hivi ushirikina wivu na chuki baba zao ni mmoja ?
Sasa Kwa nn wasiseme kama kuna harufu ya hzo mambo , tale ye mwenyewe kashasema ni mshirikina , iweje pia bint mbichi kama huyo afe out of accident, HIV au pandemic disease , ambapo Kwa nchi za kiafrica janga linalofuata Kwa kuua vijana ni ushirikiana na kutoana makafara.....inawezekana kwel hajafanya lakn maelezo yake before yanachangiza pia kuweka doubt , we utasemaje n mshirikina alaf watu wakuache kwenye kifo cha utata kama hiki at the same time unaenda kugombea ubunge ambapo huko ushirikina na uchawi ni highly recommended...Hapo watakuambia mnafiki tu huyo! Yaani kwao mtu akionesha huzuni "ni mnafiki" na akijikaza aonekane normal "hajaumizwa na msiba"! Na of course hizo video zipo na wala usidhani hawajaziona!
Mtu ambae alikufa kifo cha ajabu ni Abdul Bonge peke yake, na kimsingi wala hakikuwa kifo cha ajabu zaidi tu ya kuwa hakikutarajiwa!
Siku ya siku Abdul Bonge alienda kuamulia ugomvi wa mtu na mke wake, na alienda kufanya hivyo baada ya kuombwa! Sasa kama ujuavyo mtiti ugomvi wa watu waliopandwa na jazba, kufika pale Abdul Bonge akasukumwa na mume, na kwa bahati mbaya akaenda hadi chini kwa kujibamiza kichwa!
In short, kifo cha Abdul Bonge wala hakina tofauti na kifo cha Kanumba.
Sasa watu wanazungumzia suala la "vifo" kwa sababu kifo cha Abdul kiliongozana na kifo cha baba yao... nadhani kulikuwa na gap la less than 3 months!
Kwahiyo kila kijana anaekufa anakuwa amekufa kwa ushirikiana Kama hajafa kwa HIV, accident au pandemic disease!... Basi hii nchi ina vijana wa hovyo wenye akili fupi sana.Sasa Kwa nn wasiseme kama kuna harufu ya hzo mambo , tale ye mwenyewe kashasema ni mshirikina , iweje pia bint mbichi kama huyo afe out of accident, HIV au pandemic disease , ambapo Kwa nchi za kiafrica janga linalofuata Kwa kuua vijana ni ushirikiana na kutoana makafara.....inawezekana kwel hajafanya lakn maelezo yake before yanachangiza pia kuweka doubt , we utasemaje n mshirikina alaf watu wakuache kwenye kifo cha utata kama hiki at the same time unaenda kugombea ubunge ambapo huko ushirikina na uchawi ni highly recommended...
Same argument... "hata mwenyewe amewahi kukiri ni mshirikina!" Si bora mngesema amewahi kubambwa kwa Sangoma! Kumbe anasema mwenyewe!! Hivi kuna mtu anayependa afahamike kwamba yeye ni mshirikina?! Btw, ni wangapi wanafanya ushirikina Tanzania hii?! Ni Wasanii wangapi wamewahi kukiri kufanya ushirikina?!Sasa Kwa nn wasiseme kama kuna harufu ya hzo mambo , tale ye mwenyewe kashasema ni mshirikina , iweje pia bint mbichi kama huyo afe out of accident, HIV au pandemic disease , ambapo Kwa nchi za kiafrica janga linalofuata Kwa kuua vijana ni ushirikiana na kutoana makafara.....inawezekana kwel hajafanya lakn maelezo yake before yanachangiza pia kuweka doubt , we utasemaje n mshirikina alaf watu wakuache kwenye kifo cha utata kama hiki at the same time unaenda kugombea ubunge ambapo huko ushirikina na uchawi ni highly recommended...