Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Punguzu negative outlook ya all commercial or economic decisions made by either Government or Parastatals.Nahisi kitu kama hicho ukiangalia yule CEO wao mzungu mmama naskia kuna fitna fulani ilifanywa.
5 tenaMost likely...
tunarudi siasa za kijamaa....
Africa watu wengi wanamiliki vichwa kama sanduku la kubebea meno tu sio kufikiriMtu amejikunja na katecno kake anafurahia serikali kujiingiza kufanya biashara, Afrika tunasafari ndefu sana.
Hali halipo kabisa katika será za uchumi na fedha wa Tanzania 2015 to 2050.Serikali inaweza kuwa inataka kuzirejesha benki zake, NMB+NBC, makaburu bado wanaweza kufungua benki yao na kujenga mtando kadri wanavyotaka, siyo kujimwambafy kwenye benki ambayo ilikuwa imeshaanzishwa na serikali.
Shukran sana Mkuu. kwa sababu me siyo mtaalamu wa haya mambo, eti nilidhani capital leakage ni pale ambapo bank yenyewe imeamua kuzinunua hizo hisa kwa kuwalipa Rabobank hayo madolars halafu izitafutie mwekezaji mwingine ? Lakini ikiwa zimenunuliwa na investor mwingine na Rabobank akavuta huo mpunga si fresh tu kwamba Mtaji wa NMB haujatikiswa? (Hapo zaidi zaidi ni maswala ya forex ndiyo yaliyoathirika kwamba kutatakiwa kuwe na midolars ya kuwalipa hao wadachi kutoka Tz.Ila kama aliyenunua ni mgeni (foreigner) hapo hakuna effect at all. Issue inayobaki ni kama aliyenunua ni serikali,na akawa ndiyo majority shareholder,kwamba serikali itakuwa inafanya biashara ya bank,kitu ambacho wengi humu wanaonekana kutokiafiki.Hisa kuuzwa au kununuliwa ndani tena kama mnunuzi ni serikali, maana yake atamlipa Rabobank na hapo kutakuwa na leakage ya capital. [emoji116][emoji116]
Nadhani wasiwasi wa wengi including me ni kuwa, hii Rabobank ndio ilikuwa sharaholder mkubwa na kama mambo yako vizuri huwa si rahisi hasa kwa shareholder mkuu kuuza hisa unless amepata ofa nono.[emoji116][emoji116]
Hili liko wazi, bank zingine kama NBC zilizorota sana chini ya umiliki wa serikali. Lakini pia tumeshuhudia mambo mengi ambayo serikali imejivika umiliki mwisho wake ukoje, serikali ni kama msimamizi, mlezi na muangalizi wa hizi taasisi na ktk mazingira ya kawaida huwezi kujisimamia, kujilea ama kujiangalia.
Mkuu John hili unaloongea ni kweli au tusubiri maelekezo mengine? Na Kama yatatoka maelezo tofauti na unachokikubali wewe hapa je taarifa zako zitakuwa na credibility hapa jukwaani?Serikali ndio mwanahisa mkubwa kwa sasa.
Ni jambo jema!
Nadhani umemaliza maswali yangu mkuu.thanksIt's sad now days kila kitu kinajadiliwa kisiasa, kihisia na mihemko bila kuchimba kutafta ukweli wa habari husika...very few people wame dig kupata ukweli wa habari husika the rest ni mapovu tu. Hata mleta mada kaleta habari nusu nusu ili mradi tu ku provoke watu wanaopenda kudandia treni kwa mbele wadandie vzuri.
Hii tarifa ni public notice, na ipo kwenye website ya nmb wenyewe Rabobank has lodged a share transfer request for its stake in NMB Bank Plc - NMB Bank Plc.
kuna share transfer itafanyika due to a emerger btn Robobank, Dutch development bank na Norwegian state owned development fund, and for now wame lodge their request kwa mamlaka husika for the approval.
Heb tujifunze ku dig taarifa ili angalau tuwe na wider understanding ya topic husika kabla hatujaanza kuchangia kwa mihemko.
Utasemaje hakutakuwa na economic impact kwa Tanzania wakati amepunguza capital na kudiversify Ghana mkuu? Kama hiyo kampuni mpya ingekuwa inafanya kazi hapahapa nchini kungekuwa na hakuna kushake kwa inflow/outflow of cash.Walicho fanya hawa Rabo bank ni kupunguza share za umiliki kutoka 35% mpaka 25% kwa kuanzishwa kampuni mpya iitwayo Arise ambayo itakuwa sasa ina stake katika benki ya mozambique ambayo wameona ni emerging market pamoja na benki nyingine nchini Ghana. Na kampuni hiyo sasa kuongozwa na ceo mpya aitwaye Deepak Malik. Ni moja ya strategy za kampuni ku-diversify portfolio ili kupunguza risk at the same time taking advantage of new emerging markets. Hii transfer haina effect yoyote katika inflow/outflow of cash.
5 tenaSad, tulipaswa kujenga kwenda mbele na sio kubomoa na kujenga upya [emoji35]
Dar kama KARIFONYAAAA😀Tanzania kama URAYAAAAAAA
Kuna mambo mengine hata hayahitaji kua na uelewa mkubwa. Ni issue ya kua na tarifa sahihi na iliyokamilika, na km huna hio taarifa kua willing kuitafta.Nadhani umemaliza maswali yangu mkuu.thanks
By the way nadhani mada kama hizi ni mhimu kujadiliwa watu ili wenye uelewa mdogo kwenye mambo mhimu kama haya tunapata mwanga kupitia jukwaa hili
Now days jiwe agawa Hela barabarani ni ujinga wa Hali ya juuTufuatilie vipi mkuu 'Ngamanya Kitangalala'?
Habari kama hii ingetolewa zamani sana katika vyombo vyetu vya habari, tungeshindwa kuifahamu?
Bila shaka sehemu sahihi ya kuelekeza lawama kama hiyo uliyoigusia ni huko kwenye vyombo vya habari, na kama na wao hawatoi habari kama hizi kwa sababu maalum, basi na wao wangelalamikia hicho kinachowazuia.
Nchi yetu imebadilika sana katika hii miaka ya karibuni. Imekuwa kama sisi ndio tumeingia kwenye zile tawala za "Eastern Block" za miaka ile ambapo kila habari ni kama siri kubwa. Waandishi wa habari wenyewe, hata uandishi wao umeathirika kwa sehemu kubwa sana. Ni nadra sana siku hizi kufungua gazeti na kusoma 'a feture article' toka kwa mwandishi na kutoka na hamu ya kutafuta makala zake nyingine.
Huwezi kufanya regulation kwenye eneo ambalo wewe mwenyewe siyo mshiriki, haya mambo yameifanya serikali ipigwe kwenye kila sehemu na watu wanaoitwa wafanyabiashara na wawekezaji. Serikali inaweza ikawa na kampuni zake kwenye kila sekta na bado ikawa na wawekezaji binafsi kwenye maeneo hayo hayo.Huu ni ujinga serikali haiwezi kufanya biashara na ikafanikiwa, kazi ya serikali ni kuwa regulator.
Kuna muwekezaji mpya ameingia ambaye ata inject additional capital, na sasa kwenye mgao huu mpya Rabo bank atapata gawio la 25% ya kampuni hiyo mpya. Additional capital haihusiani na market ya Tanzania. Wanataka kufanya expansion kwenye hizo market nilizotaja (Ghana & Mozambique)Utasemaje hakutakuwa na economic impact kwa Tanzania wakati amepunguza capital na kudiversify Ghana mkuu? Kama hiyo kampuni mpya ingekuwa inafanya kazi hapahapa nchini kungekuwa na hakuna kushake kwa inflow/outflow of cash.
Tueleweshane tafadhali