Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

Ataelewa wapi wakati chuki za kidini zimewatawala?!!! Hamna kitu hapo ni chuki tu za dini. Wala hawezi kuongea lolote kuhusu zoo ulaya na maeekani
 
Kweli wazungu sio mbumbumbu kama sisi wao wanataka vitu vya muonekano na mazingira ya asili sio ya kutengeneza !! Hiyo Zoo wataenda waarabu wenzao wasioweza kusafiri !!
 
Na hili nalo mkalitizame.

Akapanda ndege akaenda zake
Huo ndio ujaja wako? Huu ni ujinga wa kiwango cha juu ba kwa akili zako za kidada unaona uko sawa?
 
Hiyo ndiyo furaha ya Lisu
Maana ukipinga atakwambia utashitakiwa MIGA
Lisu ndo aliwapakiza hao wanyama kutoka TZ kwenye UAE?
waiowapandisha wanyama ndege kuwafikisha huko ndio furaha yao!!!
 
Nchi ngumu sana hii.
Wanahamasisha utalii wakati huo huo wanagawa korongo na wanyama pori wengine kwa nchi jirani.
Na kuruhusu wanyama kuwekwa kwenye mahotel ya watu binafsi.
Kazi ipooo
 
Hiyo ndiyo furaha ya Lisu
Maana ukipinga atakwambia utashitakiwa MIGA
Hapo na bado, Arusha na yenyewe itakuwa kwa waarabu muda si mrefu
Na CCM haitoki madarakani ng'ooo mpaka maji uite mma.
Kidumu chama cha mapinduzi! Kazi iendeleee
 
Huko ndo ujombani baba, acha wahamishie huko wanyama wote.........kumbuka mjomba ni mama.
 
Kwa jicho la tatu Kali sana, hii inaweza kuwa "blessings in the disguise".
 
CDM wanahusika katika hili, hii haikubaliki!!
 
Unahisi fisi ana utambuzi wa kujua kuwa hapa ni mbugani hapa nipo zoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…