Shauri Na. 36/2022 la Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA, Spika wa Bunge la JMT & NEC. Ni nini madai yao?

Shauri Na. 36/2022 la Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA, Spika wa Bunge la JMT & NEC. Ni nini madai yao?

..Halima na wenzake waliapishwa na kuwa wabunge kwa maagizo kutoka juu.Chama chao hakikuwateua, na Nec haikuwathibitisha kuwa wabunge.
Kama hivi ndiyo ilivyo, nini hasa msingi wa kesi hii...?

CHADEMA wataiingizaje hoja hii iwe kama sehemu ya utetezi wao..?
 
Hao ni wachumia tumbo waliohonga utu wao na kujiuza wao na akili zao.

Kwa ufupi ni kundi la wajinga waliofugwa bila kujulikana, wamejijulisha wao wenyewe kwa kujiuza mwili na akili zao wakiongozwa na msagaji wao yule.
Ndugu PLO, kila mtu anahitaji pesa..

Tunatofautiana njia tu za kujipatia fedha hizo...!
 
Acha umbwiga wewe

Taifa lina mambo muhimu ya kufanya siyo hii ujinga wa wabunge wenu hapo Ufipa st!
Kama ni ishu ya "umbwiga", basi mahakama ya Tanzania ni mbwiga sana maana wanasikiliza ujinga wakati taifa lina mambo mengi ya kufanya...!!

Maana yangu ni hii..

Hakuna cha umbwiga wala umbwiguke hapo...!

I thought, kuwa, wewe ungekuwa na akili sana kama ungesema kuwa, wote waliosababisha sokomoko hili yaani marehemu Magufuli na Ndugai na waliowatumia kufanya ujinga huu na wanaouendeleza sasa, washughulikiwe...!
 
Kama hivi ndiyo ilivyo, nini hasa msingi wa kesi hii...?

CHADEMA wataiingizaje hoja hii iwe kama sehemu ya utetezi wao..?

..kesi itajikita kwenye maamuzi ya Cdm kama yamefuata katiba yao, na sio namna kina Halima walivyoingia bungeni.

..labda ktk ku-establish ni kitu gani kiliisukuma Cc ya Chadema kuchukua hatua, itabidi Katibu Mkuu akatoe ushahidi mahakamani kwamba kina Halima walijipeleka / walipelekwa bungeni bila kuthibitishwa na chama.
 
Kama ni ishu ya "umbwiga", basi mahakama ya Tanzania ni mbwiga sana maana wanasikiliza ujinga wakati taifa lina mambo mengi ya kufanya...!!

Maana yangu ni hii..

Hakuna cha umbwiga wala umbwiguke hapo...!

I thought, kuwa, wewe ungekuwa na akili sana kama ungesema kuwa, wote waliosababisha sokomoko hili yaani marehemu Magufuli na Ndugai na waliowatumia kufanya ujinga huu na wanaouendeleza sasa, washughulikiwe...!
Hao uliowataja kuna Katibu mkuu wa Chadema hapo?
 
..kesi itajikita kwenye maamuzi ya Cdm kama yamefuata katiba yao, na sio namna kina Halima walivyoingia bungeni.

..labda ktk ku-establish ni kitu gani kiliisukuma Cc ya Chadema kuchukua hatua, itabidi Katibu Mkuu akatoe ushahidi mahakamani kwamba kina Halima walijipeleka / walipelekwa bungeni bila kuthibitishwa na chama.
Suala la wao KUFUKUZWA Uanachama limetokana na nini?hiyo ndio KESI ya Msingi huwezi kumfukuza Mtu Uanachama bila sababu kwa hiyo Waliupataje huo Ubunge nalo litaibuka KESI ina utamu wake na Vipi likiibuka la yule ALIYETOLEWA Jela Usiku wa Manane
 
Dr Mahera alisema orodha ya wabunge 19 wa Chadema ililetwa na KM wa Chadema mh John Mnyika

..Kamati Kuu ya Chadema haikuketi kuthibitisha wanachama 19 kuwa wabunge viti maalum.

..John Mnyika amekana kupeleka Nec majina ya kina Halima na wenzake ili wawe wabunge.

..Kwa msingi huo waliapishwa bila Chadema au Nec kuhusika.
 
..kesi itajikita kwenye maamuzi ya Cdm kama yamefuata katiba yao, na sio namna kina Halima walivyoingia bungeni..
Hii hapa ni sawasawa kabisa, ndivyo ilivyo na ndiyo msingi wa kesi hii...
..labda ktk ku-establish ni kitu gani kiliisukuma Cc ya Chadema kuchukua hatua,

Hawa kina mama ishu iko kwenye "utaratibu wa kuwafukuza kutofuatwa"

Hawasemi kuwa hawana makosa
itabidi Katibu Mkuu akatoe ushahidi mahakamani kwamba kina Halima walijipeleka / walipelekwa bungeni bila kuthibitishwa na chama.
Mawakili wa CHADEMA wataliingizaje hili kiasi cha kumleta GS John Mnyika aende kulisema hili mahakamani..?
 
..Kamati Kuu ya Chadema haikuketi kuthibitisha wanachama 19 kuwa wabunge viti maalum.

..John Mnyika amekana kupeleka Nec majina ya kina Halima na wenzake ili wawe wabunge.

..Kwa msingi huo waliapishwa bila Chadema au Nec kuhusika.
Mnyika amekania wapi?

Kumbuka Mahera anayo fomu iliyoasainiwa na J J Mnyika!
 
Mnyika amekania wapi?

Kumbuka Mahera anayo fomu iliyoasainiwa na J J Mnyika!
CHADEMA waliitisha PC na kulisema hili mbele ya TV Cameras huku wakionesha barua waliyowaandikia NEC kutaka wathibitishe kuwa GS - CHADEMA aliwapelekea orodha ya majina ya wabunge VM waliteuliwa na chama..

Mpaka leo NEC hawajawahi kuwajibu CHADEMA!!

NB:
Tumbuke kuwa utaratibu wa wabunge wa VM ni chama kuwateua, NEC inawathibitisha na kuwapa barua za uteuzi kisha wanapokewa bungeni na kuapishwa..
 
MaCHADEMA yamekamatwa na kubanwa pumbu
Ndugu fisi 2, jadili mada. Toa hoja. Hapa unabwatuka na kurusha matusi...

Hii yako ni tabia za walevi na wapumbavu..!

Sina hakika kama wewe ni miongoni mwa hao watu wajinga, walevi na wapumbavu...
 
CHADEMA waliitisha PC na kulisema hili mbele ya TV Cameras huku wakionesha barua waliyowaandikia NEC kutaka wathibitishe kuwa GS - CHADEMA aliwapelekea orodha ya majina ya wabunge VM waliteuliwa na chama..

Mpaka leo NEC hawajawahi kuwajibu CHADEMA!!

NB:
Tumbuke kuwa utaratibu wa wabunge wa VM ni chama kuwateua, NEC inawathibitisha na kuwapa barua za uteuzi kisha wanapokewa bungeni na kuapishwa..
Hiyo NB ndicho kilichofanyika

Ndio sababu Mbowe aliwaita Halima Mdee na Bulaya kule.Nairobi na kuwabembeleza wajiuzulu
 
..Kwa msingi huo waliapishwa bila Chadema au Nec kuhusika.

Hapa ndipo palipo na maswali yanayohitaji kujibiwa...

Na siri ya jambo hili imejificha hapa...

Swali kuu ni hili;

Hivi inawezekanaje wabunge wakaapishwe Bungeni na Spika wa Bunge la JMT bila Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutoa "go ahead" kwa mujibu wa taratibu za kisheria na kikatiba...?
 
Hapa ndipo palipo na maswali yanayohitaji kujibiwa...

Na siri ya jambo hili imejificha hapa...

Swali kuu ni hili;

Hivi inawezekanaje wabunge wakaapishwe Bungeni na Spika wa Bunge la JMT bila Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutoa "go ahead" kwa mijini wa taratibu za kisheria na kikatiba...?
Nani kasema NEC haikutoa go ahead?
 
Mi naona CHADEMA ina uhuru mwingi kwa mwanachama. Ingekuwa chama kingine kauli ya mwenyekiti tu ni sheria tena amri na lazima ifuatwe.
Hongera Mbowe.

Kidumu chama cha mapinduzi
Sophia Simba ...alifukuzwa uanachama na tamko la JPM (mwenyekiti).

Msambatavangu alifukuzwa kwa amri ya JPM (mwenyekiti). Mama wa watu akaanza kuwa motivational speaker.


Bicky Kamata mpk aliandika mtandaoni masikitiko yake kuhusu JPM (mwenyekiti).
 
Back
Top Bottom