King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,077
- 2,705
Ni kwasababu unapoteza kitu holy, ukiona mwanaume yoyote anamwaga hovyo mbegu zake jua ni mpumbavu anayejimaliza taratibu bila kujua.Sishauri mimi napoteza kumbukumbu sababu ya kunyanduana Kila week
Kwani we hujioni fuse ilivyochomokaπ€£Wengine tungeshakuwa machizi kitambo.
Ukichukua Likizo Mwezi June, uje Babu yako nikufundishe kulima Kilimo cha kiangazi π€Ndio umezidi yaaniπββοΈπββοΈ
Babu nyie limeni tuπ€£Ukichukua Likizo Mwezi June, uje Babu yako nikufundishe kulima Kilimo cha kiangazi π€
Si unajua Babu yenu nimezeeka, ndiyo nataka nikupatie urithi wako hivyo π€Babu nyie limeni tuπ€£
Kwamba dozi itaanza kutolewa kama ilivyoelekezwa na Daktari ya wiki mara 2 ππKijana unataka kutuponza wewe
π€£π€£Na izo sku zingne naponea wapiπ³πKwamba dozi itaanza kutolewa kama ilivyoelekezwa na Daktari ya wiki mara 2 ππ
mnawafatilia wazazi wenu wananyanduana mara ngapi kwa wiki ndo mnakuja kutuambia na sisi tufanye hivyo...mna dhambi sana watu wa 2005Nawaasa kama wanajamii kuna athari kwenye ubongo.
Usiponyanduana kila wiki, tena wastani ni angalau mara mbili (twice a week) kwa wiki, kuna hatari kubwa ya kuwa mtu Ndondocha.
Chukueni tahadhari jipendeni nyanduana angalau mara 2 kwa Kila wiki.
Pang Fung Mi
Siku mbili Kwa wiki zinatoshaπ€£π€£Na izo sku zingne naponea wapiπ³π
yani io ni ndoa bila tendo la ndoa,,huo ni ubatili mtupu aseeee,,sema wanajua wanakoponea bwan looooh miez 6 so mchezoSiku mbili Kwa wiki zinatosha
Kuna wenzio wapo kwenye Ndoa, lakini kupewa ni mara 1 Kwa Mwezi ama Kwa miezi 6
Siku ukiingia huko ndiyo utaonayani io ni ndoa bila tendo la ndoa,,huo ni ubatili mtupu aseeee,,sema wanajua wanakoponea bwan looooh miez 6 so mchezo
Mzee wewe ushakuwa wa dotcom mkuu...na wewe ushabadilika kwendana na upepo, ndo maana pigo za kuletewa kiko sehemu za masihara ππMiaka ya zamani watu walikuwa wanashiriki ngono wakati wa kutafuta watoto tu, Siku hizi imefanywa starehe
Tena waifu akiwa Mjamzito hupigi hadi mtoto azaliwe, amalize kunyonya na still bado hatukuwa na hayo magonjwa yenu ya akili
Vijana mnakwama wapi π€
Hahahaha π π π π kwanini jumatano lakini,,,wacha niingie nikajionee mwenyewe,,ila mimi sitamfanyia ivo mahi wanguSiku ukiingia huko ndiyo utaona
Mwanamke akishaolewa hasa wa upande wetu huu wa Mke mmoja, lazima akupe masharti ya Mwezi mara 6 ama 5
Ndiyo kisa cha wengi huku kuwa na mpango wa kando
Unafanya mambo yako huko, ukirudi ndani unatulia ukisubiri ratiba ya Jumatano ππππ
Wanabaka Kwan usikii case zao.Hahaha...........watu walikuwa wanavumilia
Hivi umewahi kujiuliza Askari anayeenda vitani huwa anafanyaje kukidhi hizo haja?
Ni kwamba ukiwa focused unaweza kukaa hata miaka bila kuwaza kudinya
Hahaha........... wanataka kurudisha gharama za Chipsi Kuku wanazowanunulia π
Sisi Mwaka 47 ilikuwa mnaweza kukutana Kwa Mwaka mara 7 tu Wala haikuwa na shida π€
Alafu humu ndani mnanionaga chizi kweli πKwani we hujioni fuse ilivyochomokaπ€£
Mnapelekaga wapi hela za vikoba?π€£π€£π€£ vicoba viheshimiwe.
Mi mzima sana πUnajiona mzima hapo ulipo?πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ