Sheikh Alhad Musa Salum: Rangi ya Kijani inayotumiwa na CCM ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu

Sheikh Alhad Musa Salum: Rangi ya Kijani inayotumiwa na CCM ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu

Kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza sana kwanini CCM inabarikiwa sana, sasa ndio nimepata jibu, kumbe ni shauri ya ile rangi ya kijani!. Ndio maana CCM itatawa Tanzania milele!.

P
Mkuu huwezi kuupata Usemaji wa Serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.

Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.

Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT

Source: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Mnafiki kama huyo hana hata hurumu kuwatetea wale mashehe wakioko gerezani mwaka wa nane huu njaa itamuweka pabaya mnafiki huyo hakuna shehe mnafiki kama huyo dunia tangu ianze kuumbwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo hizo kanzu nyeupe Zina laana? We Alhad omba radhi haraka
 
Hamtafautiani na huyu mjinga, naona mnaleta ufarakano wa kidini, Allah anachukia ubaya,uovu na mambo ya kijina ya kuwachonganisha binadamu, moja kama hili la kwenu.

Huyo Alhad sio mwakilishi wa Allah wala mtu yoyote, mi mfanyi kazi wa Serekali

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushukuru Mkuu, tuepuke kunasibisha dini za Mwenyezi Mungu na watu waliojinajisi kwa tamaa za kimwili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.

Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.

Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT

Source: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Kwa kuwa hii rangi hakuna mwenye copyright basi haiwezi kuwa sababu kwamba na hao wenye chama husika watakuwa na baraka pia.
Dah Sheikh amka!
 
Sheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.

Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.

Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT

Source: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
I think the sheikh said that in the Islamic context.
In Islam, Green serves as a recurring colour-theme throughout the Quran.
It's the colour of many items in Heaven, It's the colour used in reference to the restored earth after being dead and so on.
It is also believed that even the Prophet Muhammad (PBUH), favoured green garments.
It's also important to note, that for Arabs of the time who were living in dry dead deserted areas around Arabia, the Green Color serves as a symbol of life, hope, desire, etc.
 
Dah inasikitisha sana siku hizi kuona "VIONGOZI WA DINI (Masheikh na Mapadri) wakijisahau kumtumikia mungu na kujiingiza kwenye siasa. Viongozi wa dini wanajivalisha ngozi ya unafiki.

Wanajifanya kujinyamazisha na kujisahaulisha ukweli kuwa mungu amekataza na hapendi kwa kutilia mkazo "MAUWAJI/UTEKWAJI/UKANDAMIZWAJI/UONEVU" wa raia.

Vyeo vyote ni dhamana mbele ya mungu, na kila mwenye cheo atahojiwa siku ya kiama kuhusu utawala aliokua nao na aliowatawala (Wataulizwa kama walitenda "UADILIFU" mpaka kwa wanyama kama mbwa waliokua chini ya utawala wao).

DUNIA ni "PEPO" kwa wasiomuogopa mungu, na ni "GEREZA" kwa wanaomuogopa mungu.
Hawajisahau hupewa kitu kidogo wanapohudhuria hafla.
 
Back
Top Bottom