James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Huwa nachukia kweli kuona wajinga wakichanganya Kiingereza na KiswahiliHao viongozi wote wawili wamesoma, ndio, wamesoma kweli kweli. Sheikh Muhamad Eid kwa mfano, ana darsa mbali mbali anafundisha na kutoa mawaidha.
Going places? Doest that refer to travelling abroad? Cause if it does, Sheikh alhad earned his bachelor's abdroad, while Eid is such a very frequent traveler.
Huwenda wana kutokuelewana kwao binafsi ndio haya yanapotokea
Kwahiyo ukikosea kwenye dini unahitaji heshima bakwata hamna uwezo wakutuongoza waislam Badala yakuomba radhi nakujiudhuru unahitaji heshima uislam sio maliyako kwajili ikunufaishe wewe kidunia achia ngazi kwa kumuokopa muumba wako sio nwanachama wa ccm kule humkuti magu mwenyekiti wachamaShehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!I
Mkubwa ni ALLAH pekeeUgomvi wa wakubwa Mimi siingilii [emoji125][emoji125][emoji125]
Kama 96% ya waislamu hawaitaki BakwataMashehk wabwakata acheni upumbavu sanasana shehk wa mkoa wa dsm ni muhuni tu
Mkubwa ni ALLAH pekee
Aise! Ila wengine watadai sawa masheikh, ila ni binaadamu kwanza, hivyo wivu, husuda, hasira, kiroho nk..nk. lazima vijitokeze, ila wametia albu mbele ya waumini wao..Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Sema mvaa kanzu wa mkoa wa DarNaona wameanza kusemana wenyewe kwa wenyewe.
Ponda naye ndiyo wale wale.Sema mvaa kanzu wa mkoa wa Dar
Ukiona hivyo wlwwa jiwe la Sheikh Ponda limewabutua.
Kama wafanyavyo kina Chadema na ACTNaona wameanza kusemana wenyewe kwa wenyewe.
CHANNEL TEN ni mali ya CCM iliyopatikana kwa njia zisizofahamika, shukurani zimwendee Rostam Aziz.Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Huyu Sheikh Mohamed Eid afadhali anatufundisha japo mi sio mfuatiliaji sana. Mara chache sana.Hao viongozi wote wawili wamesoma, ndio, wamesoma kweli kweli. Sheikh Muhamad Eid kwa mfano, ana darsa mbali mbali anafundisha na kutoa mawaidha.
Going places? Doest that refer to travelling abroad? Cause if it does, Sheikh alhad earned his bachelor's abdroad, while Eid is such a very frequent traveler.
Huwenda wana kutokuelewana kwao binafsi ndio haya yanapotokea
Get rid of Alhad
Wakati sasa wa Mashia kuongoza BAKWATA
Nao pia ni waislamu
Mashia wanayo TAQWA
Hawana njaa
Muangalieni Maulana Jalala
Nenda Kibaha mizani
Bonge la shule
Bonge la hospital
Nakadhalika
BAKWATA aibu tupu