Hao walikubali kuwa chini ya Mtume siyo wao kuwa viongozi. Msipotoshe mafundisho ya Uislamu. Bai'a ni kiapo cha utiifu.Darsa kwa wote :
Mwenendo wa Mtume Muhammad SAW na nasaha zake katika kuwashirikisha wanawake :
Kinyume na inavyoaminika na wengine, Uislamu haujamzuwia mwanamke kuwa kiongozi kwenye jamii kwa mujibu wa mafundisho na mifano mbalimbali ya kidini kama wanavyosema washiriki hawa wa semina kuhusu Mwanamke wa Kiislamu na Uongozi.
Sikiliza mwenyewe.
View attachment 2173036
Mimi kwanza mke ndiye mwenye kazi, mimi deiwaka. Mke ndiye mwenye nyumba, tuliopanga ubazi mzima wa vyumba viwili na sebule hapa Kwa Mtogole, na yeye ndio hulipa kodi. Hata Ile boda boda yangu, ni yeye aliinunua na ipo Kwa jina lake. Japo mambo hupanga pamoja, Ila wife ndio mwenye sauti zaidi, Mimi kwake nimekufa nimeoza.Mbona kama unatetea sana mkuu. Kwani hakuna ukweli hapo?! Wewe nyumbani kwako mkeo ndio 100% final decision maker??
Hadith Za mtume s.a.wManeno yako umeyatoa Kwenye kitabu gani???
Kutajwa tu tayari ni kiongozi?Umemaliza mjadala,huyo Sheikh Ubwabwa.Yupo Mwanamke anaitwa Balkiss,alikuwa mtawala,na Qur'an imetaja kisa chake.Na Qur'an haikupinga utawala wake.
Zipo Chapter,ndani ya Qur'an ,imeitwa kwa jina Maryam,na ni Mwanamke huyu.
Yupo Bi Asia,ametajwa ndani ya Qur'an.
Yupo Bi Aisha,mpaka leo waislamu ,dunia nzima,anawaongoza,kwa kufuata hadithi(miongozo),aliyopokea kutoka kwa Mtume Muhammad(S.A.W.).Mpaka miongozo ya mume na mke,kuanzia chumbani mpaka nje ya chumba.Wapo kina Bi Khadija,na wemgine kina Sumaiya,walipigana vita.Mama wa Nabii Musa,ametajwa,Mtoto wa kike wa huyu Mama wa Nabii Musa,ametajwa Kwenye Qur'an.
[emoji28][emoji28]Aisee kwahiyo mama yako, binti yako, dada zako, shangazi zako wote wana upungufu wa akili kwa lugha nyingine vichaa sio?
Yuko SAHIHI.Sikiliza mwenyewe.
View attachment 2173036
Siasa za kistaarabu watu wanalala njaa hukoHii ni awamu ya siasa za kistaarabu bwashe.
Huyu sheikh huwa ana tuhuma za ugaidiSikiliza mwenyewe.
View attachment 2173036
Sheikh akizungumza ukweli ambao jamii na utawala hawautaki kuusikia ni lazima apewe tuhuma za ugaidi ila kina Bagonza na gwajima wakiongea wanaitwa wasema haki.Huyu sheikh huwa ana tuhuma za ugaidi
Huyu sheikh akamatwe, nashangaa anatumalizia hewa ya oksijeni mtaaniSheikh akizungumza ukweli ambao jamii na utawala hawautaki kuusikia ni lazima apewe tuhuma za ugaidi ila kina Bagonza na gwajima wakiongea wanaitwa wasema haki.
Double standards
Vipi kuhusu Angela Merkel? Ameongoza miaka mingapi Germany? Kitu gani kibaya kimetokea huko kwa sababu ya kuongozwa na mwanamke?Wewe ata taifa linaloongoza dunia waliona bora bonzo trump kuliko mwanamke aendeshe nchi.
Mama yako kakulea tangu hujitambui mpaka hapo ulipo leo unamwambia hana akili!!!!Kwani hijui wanawake hawana akili kama wanaume?? Au mpaka isomwe hadith?
Watasubiri sana!!!! Tunaomba Mungu amuweke mpaka 2030 hiyo!!!!Kuna vitu vingine vinatia shaka Sana kuhusu afya ya akili ya mzungumzaji na ya washangiliaji wake mapopoma. Wakati anateuliwa mara mbili kuwa makamu WA raisi huyo shekhe 'mufilisi' alikuwa haoni au hasikii au hajui utaratibu WA katiba umekaaje likitokea la kutokea?!!!!!! Alisema nn?!!!!!
Hilo moja, pili kwahiyo mnatakaje sasa maana ni mwaka sasa mama anaongoza na anaendelea kuchanja mbuga tu.....leteni basi jina la mtu anayefaa au pindueni mchukue nyie; acheni kung'orang'ora huko jikoni mnatupigia Keller!
What about Germany?Imeangamia kaumu itakayoongozwa na mwanamke......
Mnalo hilo!!! Msiotaka kuongozwa na SSH hamieni nchi nyingine mpaka atakapoondoka madarakaniIpo Aya inasema Wanaume ni viongozi wa wanawake na hadithi sahihi zikisema haitakiwi mwanamke awe mtawala mkuu nikipata nafasi nitakuwekea nambari kwenye vyanzo vyote .
Kwa hiyo uislamu wa Saudi Arabia na Afghanistan ni uislamu tofauti na wa Zanzibar na Pakistan?Na haya si maneno ya sheikh, ni ya Uislam.