Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Huyo alikua gaidi muuaji aliefurahia kuona damu za watu wasiokua na hatia zinamwagika.tuwekee hiyo video anayosema hivyo, Hivi pale mwembechai yule kiongozi wa kanisa alikuwa akiwaambia nini polisi
Huyo alikua gaidi muuaji aliefurahia kuona damu za watu wasiokua na hatia zinamwagika.
Weka ushahidi sio porojo. Wakristo hatuna huo upuuzi wa kuua mtu kisa dini.Ndiyo umeweka hiyo video ?? Na yule padri aliyewaamrisha polisi kuuwa watu kule Mwembechai alikuwa nani? shoga ?
Ndiyo umeweka hiyo video ?? Na yule padri aliyewaamrisha polisi kuuwa watu kule Mwembechai alikuwa nani? shoga ?Weka ushahidi sio porojo. Wakristo hatuna huo upuuzi wa kuua mtu kisa dini.
Ndivyo mnavuolishwa matango pori kanisaniWeka ushahidi sio porojo. Wakristo hatuna huo upuuzi wa kuua mtu kisa dini.
Yes I amAlikushawishi wewe ?? kwani wewe ni muislamu ??
Mbona kama unatisha watanzania wenzio,una mpango wa kukiwasha?Kijipofua unapoona dhulma inafanyika hakuweze kukupa faida yyt wewe wala huyo anafanya hio dhulma bali siku za mbeleni lzm wote muathirike
Wewe km ni mtanzania MKRISTO yupi umewahi kusikia amewekwa jela bila kushtakiwa mpk anafia jela kwa mateso bila kufikishwa mahakamani?
Zile nchi ambazo wananchi wanachinjana wao kwa wao km Congo, Rwanda na Burundi zilianza hivi hivi.
Kundi moja linanyanyaswa lingine linashangia au kukaa kimya.
Sasa endelea kujipofua. Siku kikiwaka usije kusema hukujua kinachoendelea.
Hakuna mtu muungwana anaependa Vita bali Balaa zote duniani huanzia kwenye dhulma km hizo za Mfumo KRISTO.
Uliwahi kuona mkristu anahamasisha wakristu wenzie kuchangishana na kununua silaha ili kukiwasha?Mnahamasiahana kwa kupiga mazoeI ya kivita misikitini mkikamatwa mnalalamika.Mm nimezaliwa na nina ndugu wengi waislam tunashirikiana kwenye shughuli zote za kijamii kuanzia za furaha hadi za huzuni.Acha kuhamasisha chuki kwa kuwa tu hujafikia malengo yako.Shida yenu mnataka dini yenu iwe na nguvu kisiasa mpate vyeo.Hio mifano uliotoa ni kesi za kipuuzi na kila sehemu zipo.
Hapa tunaongelea System nzima ya haki za kikatiba kwa raia wa imani zote na wasio na dini.
Nimekuuliza je ! Uliwahi kusikia MKRISTO kawekwa jela Mpk ANAFIA JELA bila kufikishwa mahakamani?
Jibu ni HAKUNA.
Lkn WAISLAMU WENGI tena Waungwana wenye Elimu zao na Heshma zao wamabambikizwa KESI YA UGAIDI. Wamekaa Jela zaidi ya miaka 10 na wengine WAMEFIA JELA KWA MATESO.
Hio serikali inalitambua na Wananchi tunatambua.
We unaona hio ni sahih?
Why wagalatia na wengine wanapewa haki zao za kikatiba lkn WAISLAMU wasipewe?
Kama ni GAIDI kwanini asipelekwe mahakamani akahukumiwa kutokana na Ushahidi wa shaka lake?
Kwanini Serikali inalifungia macho suala la DHULMA HII?
WE Unadhani waislamu hawana Akili na uchungu wa kuona dhulma inayofanyika?
Mhalifu yyt awe Na dini au aside na dini HAKI YA KILA MMOJA YA MSINGI KIKATIBA ni KUFIKISHWA MAHAKAMANI.
Ukiona hio Haki WAISLAMU hawastahiki subiri nchi yetu ije kuwaka moto.
Lete ushahidi wa hayo uliyoyasemaYes I am
But ushawishi wake was crap
Hivi biblia ni neno la Nani ? Shetani?Kanisani tunafundishwa neno la Mungu tu. Hayo mambo ya chuki na kuua watu kisa dini tumewaachia nyinyi vijana wa mudi
Just google Wala usihangaike hazijafutwaLete ushahidi wa hayo uliyoyasema
Ndiyo umeleta hiyo clip πππJust google Wala usihangaike hazijafutwa
You must have a very low IQNdiyo umeleta hiyo clip πππ
YouTube ndio ushahidii umeleta HuoπππππYou must have a very low IQ
zipo google na YouTube nyingi tu
Ahsante sanaWanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.
Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:
KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said
Unaweza kusikiliza kipindi cha radio nilichofanya kuhusu Sheikh Ilunga hapo chini:
Mohamed Said: RADIO KHERI DAR ES SALAAM NA RADIO QUIBLATEIN IRINGA: KUMBUKUMBU YA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU
YesssYouTube ndio ushahidii umeleta Huoπππππ
Weka ushahidi lini gwajima alihamasisha vurugu, weka ushahidi pia kuhusu LukuviHivi biblia ni neno la Nani ? Shetani?
Gwajima hujamsokia na yule mbunge wako Lukuvi ,
Yesss
Zipo video za kutosha YouTubeβ¦. Kama hata hilo huelewi then pole
Yule jamaa was divisive na Mungu alitenda mema
kwani wewe uliweka ushahidi wa Sheikh Ilunga kuhamasisha vurugu ? au alikuambia weweWeka ushahidi lini gwajima alihamasisha vurugu, weka ushahidi pia kuhusu Lukuvi
Umeona ulivyo na akili kuambiwa!Sio waislam wote ni magaidi nakubaliana na wewe ila sasa karibu makundi yote ya ugaidi na ukatili yanafungamana na uislam.
Alqaeda, alshabaab, bokoharam, Hamas, Hezbollah, Houth, Islamic Jihad, ADF, abu sahaf, isis nk