Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

tuwekee hiyo video anayosema hivyo, Hivi pale mwembechai yule kiongozi wa kanisa alikuwa akiwaambia nini polisi
Huyo alikua gaidi muuaji aliefurahia kuona damu za watu wasiokua na hatia zinamwagika.
 
Huyo alikua gaidi muuaji aliefurahia kuona damu za watu wasiokua na hatia zinamwagika.

Ndiyo umeweka hiyo video ?? Na yule padri aliyewaamrisha polisi kuuwa watu kule Mwembechai alikuwa nani? shoga ?
 
Ndiyo umeweka hiyo video ?? Na yule padri aliyewaamrisha polisi kuuwa watu kule Mwembechai alikuwa nani? shoga ?
Weka ushahidi sio porojo. Wakristo hatuna huo upuuzi wa kuua mtu kisa dini.
 
Weka ushahidi sio porojo. Wakristo hatuna huo upuuzi wa kuua mtu kisa dini.
Ndiyo umeweka hiyo video ?? Na yule padri aliyewaamrisha polisi kuuwa watu kule Mwembechai alikuwa nani? shoga ?
 
Kijipofua unapoona dhulma inafanyika hakuweze kukupa faida yyt wewe wala huyo anafanya hio dhulma bali siku za mbeleni lzm wote muathirike
Wewe km ni mtanzania MKRISTO yupi umewahi kusikia amewekwa jela bila kushtakiwa mpk anafia jela kwa mateso bila kufikishwa mahakamani?

Zile nchi ambazo wananchi wanachinjana wao kwa wao km Congo, Rwanda na Burundi zilianza hivi hivi.

Kundi moja linanyanyaswa lingine linashangia au kukaa kimya.
Sasa endelea kujipofua. Siku kikiwaka usije kusema hukujua kinachoendelea.

Hakuna mtu muungwana anaependa Vita bali Balaa zote duniani huanzia kwenye dhulma km hizo za Mfumo KRISTO.
Mbona kama unatisha watanzania wenzio,una mpango wa kukiwasha?
 
Hio mifano uliotoa ni kesi za kipuuzi na kila sehemu zipo.

Hapa tunaongelea System nzima ya haki za kikatiba kwa raia wa imani zote na wasio na dini.

Nimekuuliza je ! Uliwahi kusikia MKRISTO kawekwa jela Mpk ANAFIA JELA bila kufikishwa mahakamani?
Jibu ni HAKUNA.
Lkn WAISLAMU WENGI tena Waungwana wenye Elimu zao na Heshma zao wamabambikizwa KESI YA UGAIDI. Wamekaa Jela zaidi ya miaka 10 na wengine WAMEFIA JELA KWA MATESO.

Hio serikali inalitambua na Wananchi tunatambua.

We unaona hio ni sahih?
Why wagalatia na wengine wanapewa haki zao za kikatiba lkn WAISLAMU wasipewe?

Kama ni GAIDI kwanini asipelekwe mahakamani akahukumiwa kutokana na Ushahidi wa shaka lake?
Kwanini Serikali inalifungia macho suala la DHULMA HII?

WE Unadhani waislamu hawana Akili na uchungu wa kuona dhulma inayofanyika?

Mhalifu yyt awe Na dini au aside na dini HAKI YA KILA MMOJA YA MSINGI KIKATIBA ni KUFIKISHWA MAHAKAMANI.

Ukiona hio Haki WAISLAMU hawastahiki subiri nchi yetu ije kuwaka moto.
Uliwahi kuona mkristu anahamasisha wakristu wenzie kuchangishana na kununua silaha ili kukiwasha?Mnahamasiahana kwa kupiga mazoeI ya kivita misikitini mkikamatwa mnalalamika.Mm nimezaliwa na nina ndugu wengi waislam tunashirikiana kwenye shughuli zote za kijamii kuanzia za furaha hadi za huzuni.Acha kuhamasisha chuki kwa kuwa tu hujafikia malengo yako.Shida yenu mnataka dini yenu iwe na nguvu kisiasa mpate vyeo.
 
Yesss

Zipo video za kutosha YouTube…. Kama hata hilo huelewi then pole

Yule jamaa was divisive na Mungu alitenda mema

ndiyo clip ya youtube umeleta hiyo ?? 😛 😛 😛 😛
 
Sio waislam wote ni magaidi nakubaliana na wewe ila sasa karibu makundi yote ya ugaidi na ukatili yanafungamana na uislam.
Alqaeda, alshabaab, bokoharam, Hamas, Hezbollah, Houth, Islamic Jihad, ADF, abu sahaf, isis nk
Umeona ulivyo na akili kuambiwa!
Kila anachosema kafiri mzungu we una copy na ku paste km mmefunga ndoa pamoja.
Hamas imechaguliwa kwa KURA na wananchi wa Gazza
Hezbollah na Houthi ni vyombo vinavyokubaliwa na wananchi wake.
Hata Nelson Mandela aliitwa Gaidi na Wazungu Wote.
Baada ya kuwashinda Wazungu akawa Hero
Acheni kutetea upumbavu.

Wewe na mimi mbele ya mzungu ni km paka tu hata km wewe utaabudu hio sanamu la kizungu we bado ni slave tu na mzungu abadan hakuthamini.
 
Back
Top Bottom