Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 52
Nenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli
Nenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli
Kama ungejua unalotenda ungemshabikia mtu anayeagiza waumini waue watu wa DINI nyingine? Shehe ILUNGA alikuwa nyuma ya mauaji ya wakristo wote hapa nchini.
kama asilimia ni akina bokoharan mtakuwaje shortlisted?unadhan wanaangalia uwiano au elimu dunia?we kalia madrasa halaf ubak miaka yote unalalamika na mfumo kristo.wenzenu wanasonga mbele .nenda mikoa yenye christians weng uone wanavyoshindana kujenga shule. mbeya,kinjaro,bukoba,arusha,iringa n.k halaf nenda tbr,tanga,kigoma,mtwara,pwan wanavyoshindana kuoa na kuzaa..ushirikina na hal duni.nenda zanzibar....
Ponda na Ilunga ni watu muhimu sana kwenye dini inayopenda machafuko
huyu shetani ilunga huko jehenamu alipo ikibidi afe mara ya pili.
Sasa, wewe umesomea Qur'an na waajiri wanataka mtu aliyesoma sheria unategemea wakuchague?Wakuu wa wilaya,mikoa,viongozi wakuu wa serikali ni waislam,huo mfumo Kristo ni upi?Acheni fikra za mabikra 70.
Ritz,
Wajibu wetu kufahamishana.
Shukran sana mwalimu wangu moh said kwa tanzia hii.
Je unawezaje kuwafananisha sheikh ilunga na sheikh ponda??
Shukran sana.
shukran sana Sheikh mohammed said kwa historia hii tukufu.
Tunakushkuru mzew wetu Mohamed Said kwa kutuletea Tanzia Hii.
Amma hakika Mwalimu wangu Sheikh Ilunga Kapungu ametuachia Pengo kubwa mno!
Tunamuomba Allah ailaze roho yake mahali pepo peponi.
Amin
Shukran sana Sheikh Mohamed Said, kwa taazia ya Sheikh Ilunga.
kwa jinsi nilivyosikiliza mambo aliyokuwa anaongea huyo jamaa yenu mnaesema kawaachia pengo kubwa napata picha nyie ni watu wa namna gani. maneno mawili tu yanaweza kuwadescribe "WASAMBAZA CHUKI"
Mungu wa Israel amejibu maombi yetu kwa kumuondoa huyu GAIDI.