Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 52
Nenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli
Sasa, wewe umesomea Qur'an na waajiri wanataka mtu aliyesoma sheria unategemea wakuchague?Wakuu wa wilaya,mikoa,viongozi wakuu wa serikali ni waislam,huo mfumo Kristo ni upi?Acheni fikra za mabikra 70.