Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Nenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli

Sasa, wewe umesomea Qur'an na waajiri wanataka mtu aliyesoma sheria unategemea wakuchague?Wakuu wa wilaya,mikoa,viongozi wakuu wa serikali ni waislam,huo mfumo Kristo ni upi?Acheni fikra za mabikra 70.
 
Nenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli

Je?ufaulu ukoje shekh kati yao?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kama ungejua unalotenda ungemshabikia mtu anayeagiza waumini waue watu wa DINI nyingine? Shehe ILUNGA alikuwa nyuma ya mauaji ya wakristo wote hapa nchini.

Jina lako tu peke yake linajieleza!

We ukisimama mbele ya hakimu ukaombwa ulete ushahidi wa hayo mapovu yako hapo juu, utakuwa nao??

Nyie watu ni mahasidi! Wenye chuki na waislamu!
Lkn kila mkizidisha chuki na uislamu unazidi kuendelea

Kaeni mkao wa kula.
Inshallah atakuja mwingine mara 100 ya Al Marhum Ilunga, ndipo akili zitakapo wakaa sawa.

Si uliona sheikh Ponda alivyolitetemesha jeshi zima la polisi!

Sasa kuna kina Ponda wengine kama 200 hivi wanapasha viungo moto.

Very soon wataingia jukwaani kuusafisha huo MFUMOGALATIA.

Na wewe ukiwemo ndani yake utapigwa deki tu!

Halafu msingizie majini!
Kumbe wanamme washoka wameingia kazini!
 
MTU anayehamasisha chuki na mafarakano katika jamii, anayechochea na kushabikia mauaji ya binadamu wenzake,eti' UA padre,ua askofu, ua kardinali,tafuta mlei jirani yako ua, ua....'wengine wanamwona shujaa wao. Hii chuki yote ni nini, mpigania mabikra 72 ahera na pombe za huko?
Mwenyezi Mungu amsamehe kwani alikuwa hajui alilonena na kufundisha.
 
kama asilimia ni akina bokoharan mtakuwaje shortlisted?unadhan wanaangalia uwiano au elimu dunia?we kalia madrasa halaf ubak miaka yote unalalamika na mfumo kristo.wenzenu wanasonga mbele .nenda mikoa yenye christians weng uone wanavyoshindana kujenga shule. mbeya,kinjaro,bukoba,arusha,iringa n.k halaf nenda tbr,tanga,kigoma,mtwara,pwan wanavyoshindana kuoa na kuzaa..ushirikina na hal duni.nenda zanzibar....

Chizi Maarifa,
Haikuwa nia yangu kukujibu kuhusu suala la Waislam kujenga shule.

Inawezekana kabisa hujui historia ya Waislam na juhudi zao katika elimu na ndiyo maana ukaja na hoja hiyo.

Inaelekea wewe ni mgeni hapa jamvini.

Mimi nimetoa ushahidi jinsi watendaji Wakristo wanavyohujumu juhudi za Waislam katika elimu.

Nitakuwekea baadhi ya mifano ambayo tayari nilishaizungumza hapa kwa kirefu:


  1. Nyerere kuipiga marufuku East African Muslim Welfare Society (EAMWS)1968 ili isijenge Chuo Kikuu
  2. Serikali kukataa Chuo Kikuu Cha Kiislam kilichotaka kujengwa na OIC kisijengwe Tanzania
  3. Serikali kupiga vita Darul Imaan isijenge shule Kibaha
  4. Serikali kuondoa uongozi wa vijana wa WARSHA waliokuwa wanataka kuziborehs shule zilizokuwa chini ya BAKWATA shule ambazo zilijengwa na EAMWS kabla ya kupigwa marufuku
  5. Hujuma kwa vijana wa Kiislam ndani ya Wizara ya Elimu iliyogunduliwa na WARSHA 1981 na kuthibitishwa na marehemu Prof. Malima 1987
  6. Hujuma kwa shule za Kiislam katika NECTA

Hii ni baadhi ya mifano na Waislam wameiomba serikali wakae chini wajadili lakini serikali inaogopa kufanya hivyo juu ya kupatiwa ushahidi wa haya niliyosema.

Hayo mengine unayosema ya kuoa kwani kuna ubaya katika kuoa na kupata kizazi?
Ama hilo la ushirikina Uislam unakataza shirki na ni katika dhambi kubwa sana.

Kuhusu hali duni hilo ni suala linalotaka uzi wake maalum tujadili.
 
Sheikh una vitu adimu sana......kwaninu hualikwi kwenye radio na tv za kiislam kama radio na tv Iman ili waislam wengi zaidi wafunguke juu ya dhulma za Makafiri.
 
Huwa si vizuri sana kujadili marehemu...ila ndugu mtoa mada umepotosha mambo mengi sana kwa lengo la kuamsha hisia za udini...na hii inaonyesha jinsi unavoishi kwa hisia badala ya ukweli, ndugu unatumia elimu yako vibaya na hii ndo shida "upotoshaji" kwenda mbele...70s mwishoni na early 80s Ilunga, akijulikana kama Ilunga wa Ilunga alikuwa member wa Black September moja ya vikundi hatari enzi hizo mkoani Tabora, pia alikuwa mahiri ktk karate na mapigano ya vikundi vya mitaani-Ismail Rage na vyombo vya usalama enzi hizo wanaijua hii habari, nimemtaja Rage kwa sababu kundi la Black september lilikuwa na maskani mtaa wa Rufita(Lumumba hall)- kwa akina Rage...hivi kusema Ilunga wa Ilunga alikuwa na malezi/ujana wa ki islam si kweli...ukiangalia historia ya Ilunga wa Ilunga na vurugu alizoletea Uislam ndipo utaona umuhimu wa Bakwata na udhaifu mkubwa ktk utunzaji kumbukumbu za kihalifu ktk vyombo vya usalama...nasema Bakwata kwani ndicho chombo kinachojua uanazuoni/ueledi wa hawa wanaojiita masheikh wakati dini yenyewe wamekutana nayo uzeeni...hakika ntakapokuwa dsm, nitapita nikufahamu Mohd Saidi...
 
Ninavyomfahamu Ilunga alikuwa mfugaji mzuri wa majini kwaiyo alitamani sana damu imwagike majini yake yapate chakula.
 
huyu shetani ilunga huko jehenamu alipo ikibidi afe mara ya pili.

Yani bint mdogo kama wewe miaka 20 tuh sasa una ndoa zaid ya saba??duuh

Na Huku Mtwara Wanajeshi hawakukulazia damu wacha wakubake eti eeh??

Una laana mtoto wa kike

cc Ritz kahtaan na faby

njoon bint aliekimbia posa huyu hapa ninae mm
 
Last edited by a moderator:
Sasa, wewe umesomea Qur'an na waajiri wanataka mtu aliyesoma sheria unategemea wakuchague?Wakuu wa wilaya,mikoa,viongozi wakuu wa serikali ni waislam,huo mfumo Kristo ni upi?Acheni fikra za mabikra 70.


mmmh!!! unamaanisha wakuu wa wilaya na mikoa wote ni waislam au??
 
Ritz,
Wajibu wetu kufahamishana.

Shukran sana mwalimu wangu moh said kwa tanzia hii.

Je unawezaje kuwafananisha sheikh ilunga na sheikh ponda??

Shukran sana.

shukran sana Sheikh mohammed said kwa historia hii tukufu.

Tunakushkuru mzew wetu Mohamed Said kwa kutuletea Tanzia Hii.
Amma hakika Mwalimu wangu Sheikh Ilunga Kapungu ametuachia Pengo kubwa mno!
Tunamuomba Allah ailaze roho yake mahali pepo peponi.
Amin

Shukran sana Sheikh Mohamed Said, kwa taazia ya Sheikh Ilunga.

kwa jinsi nilivyosikiliza mambo aliyokuwa anaongea huyo jamaa yenu mnaesema kawaachia pengo kubwa napata picha nyie ni watu wa namna gani. maneno mawili tu yanaweza kuwadescribe "WASAMBAZA CHUKI"
 
kwa jinsi nilivyosikiliza mambo aliyokuwa anaongea huyo jamaa yenu mnaesema kawaachia pengo kubwa napata picha nyie ni watu wa namna gani. maneno mawili tu yanaweza kuwadescribe "WASAMBAZA CHUKI"

Na uombe sana hio mizimu yenu ilioko kwenye misalaba nisije kuwa kiongozi wako!

Ntakutahiri bila ganzi! Kuku maji usie na nidhamu ya kujadili na wazee!
We unadhani tuko hapa kukumbembeleza mla nguruwe km wewe!

Mnfnssssssss!
 
huyu shetani ilunga huko jehenamu alipo ikibidi afe mara ya pili.

Leo nampa mama Matola talaka rejea!
Nimechoka na maneno ya mwanae wa nje ya ndoa!
 
Last edited by a moderator:
Mungu wa Israel amejibu maombi yetu kwa kumuondoa huyu GAIDI.

Huyu Mungu wa Israel ni yupi yule aliyetundikwa msalabani na viumbe aliyewaumba teh teh teh wagalatia bwana.....
 
Back
Top Bottom