Sheikh Kishki/Alhikma Foundation Kuwalipia mahari vijana 50 na kuwaozesha

Kwa hiyo kila mwanamke anaye olewa huwa anataka mahari ya msahafu?

Sasa mwanamke anayehitaji mahari inayomshinda mchumba wake huyu anawekwa kundi gani la kiislam??

Au alhikma inakwenda kutoa na mshahara kila mwezi kwa ajili ya wanandoa hao???
 
Case closed!!
 
Mtu anayelipiwa mahari hapaswi kuoa, hana uwezo wa kuendesha ndoa

Vipi angeamua kulipia school fees Watoto wa Kiislam?

Wabillah Tawfiq,
 
Sasa mwanamke anayehitaji mahari inayomshinda mchumba wake huyu anawekwa kundi gani la kiislam??

Au alhikma inakwenda kutoa na mshahara kila mwezi kwa ajili ya wanandoa hao???
Tazito watz tuna ujuaji mwingi hivi mfano kijana anaingiza kipato cha 10,000 kwa siku akahitaji kuoa akatajiwa mahari ya 500,000Mfano akitokea mtu anahitaji kumlipia mahari kuna ubaya?
 
Yaani hii dini inawaza ngono tu.
Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?

Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Hiyo pesa ya kuhonga wanawake na kufanya hizo ngono wanaipata wapi? Acha mawazo mgando ujinga kichwani.Ndoa na iheshimiwe na kila mtu,wewe unajifanya unajua sana kumbe umeumbwa kutoka kwenye maji machafu yanayoitwa manii.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Sasa iweje washindwe mahari hadi watolewe?
 
Tazito watz tuna ujuaji mwingi hivi mfano kijana anaingiza kipato cha 10,000 kwa siku akahitaji kuoa akatajiwa mahari ya 500,000Mfano akitokea mtu anahitaji kumlipia mahari kuna ubaya?

Rejea swali la awali??laki 5 kaitaja binti au wajomba??

Yote kwa yote isijeonekana tunawaonea wivu hao waolewaji,kila la kheri ktk ndoa hiyo ya pamoja.
 
Chuki chuki chuki hazikunenepeshiii
Ana chuki sana anatamani Uislamu ufutike kwenye uso wa dunia.. hata kama anachukia jambo bora akae kimya ni kheir zaidi.. comments zake nyingi kuhusu Uislamu ni za chuki na karaha.. Tumuombe ALLAAH amuonyeshe haki aweze kuifuata
 
Hii ina utata kidogo ,mahari zinatofautiana ,wengine wanataka mahari laki 5 ,wengine milioni 1, milioni 5, milioni 10,50 nk. Wengine mahari wanataka ng'ombe 50,100 nk. Suala hilo sijui kama walilifikiria

 
Sijalipiza mi nimesema ukweli
Kwa hiyo umesema ukweli kuwa waislam wanapenda ngono kwahiyo ww hufanyagi ngono ili tujue kweli ww huwazagi ngono?

Au baba yako hakuwa muwaza ngono kwa hiyo mama yako alitobwa na waislam ndo ukazaliwa ww?

Au watoto alio nao hapo nyumbani walipatikana kwa mkeo kutombwa na waislam ndo akazaa hao unao waita watoto wako?
 
Tunaolipinga hili swala wengi wetu ndo tulisaidiwa na baba zetu mahari tukaoa au mahari walizotolewa dada zetu ndo tukapewa sisi baadae tukawalipie wake tulionao sasa. Je tumeshindwa kuwatunza wake zetu kisa ng'ombe 20 tuliopeleka ukweni kama mahari tulipewa na baba zetu tena ng'ombe wenyewe wakiwa walipatikana kwa dada zetu kuolewa? Umaskini wa vipato uliokithiri miongoni mwa waswahili wengi unapelekea tuwe negative kwa karibu kila kitu.
 
Rejea swali la awali??laki 5 kaitaja binti au wajomba??

Yote kwa yote isijeonekana tunawaonea wivu hao waolewaji,kila la kheri ktk ndoa hiyo ya pamoja.
Dini imempa binti haki ya kutaja kiasi chochote cha mahari anayo taka hata kama atataka billion kumi sasa chaguo litakuwa kwako muoaji ukiweza toa kama huwezi kula kona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…