Sheikh Mazinge ukiona mtu mwanasiasa anamtukana Rais Samia basi ujue kachanganyikiwa

Sheikh Mazinge ukiona mtu mwanasiasa anamtukana Rais Samia basi ujue kachanganyikiwa

Mashehe wengi wana njaa sana hapa nchini wengi wavivu kazi hawataki kazi kuvaa magauni na kuunga mkono mambo ya kipumbavu.
Ifikie mahali waisram wasomi wakemee matamko ya mashehe wa elimu ahera yanayodhalilisha dhehebu yao. Mtu aseme kama yeye bila cheo husika.

Kuna hoja mtu anatoa hadi najiuliza tena kuhusu udumavu wa elimu dunia.

Mf. 1.Kusema lisu alipigwa risasi mama akamtembelea.
2. Kuruhusu mikutano ya hadhara.
3. Kufuta kesi.
swali ni je nsni huleta hayo madhira?

Je, mtu akikufanyia tendo jema ndo tiketi ya kukufanyia ushenzi?

Je, hoja ni binafsi au kwa maslahi ya kizaz leo na kesho?
 
Mambo ya wanasiasa, waacheni wanasiasa wenyewe,siasa ni vita ya maneno kwa kujenga hoja ,within the perimeter of the law,kama huna kifua cha kuvumilia yale unayo ambiwa ,please,hio nafasi sio ya kisultani,achia ngazi.
 
Hawa ndo ma think tank wa waislamu😀🤣😂 huyu jamaa akili zake ni kama za FaizaFoxy. Wanavituko kama vile vya allah na marehemu muhammad.
 
Jinga sana kuna vitu huwezi kuongea kama una uwezo wa kufikiri nnje ya box .
Muulize shekhe ni nani alikuwa anawabambikia hao watu kesi? ni nani alikuwa anafunga account zao ni nani alikuwa anawapiga watu risasi na kwanni walilazimika kuwa wakimbizi ...
Akipata majibu hayo atakuwa ameungana na sisi katika vita ya kuiiondoa ccm madarakani na kupata katiba mpya...
 
Huyo ni Mazinge wa mihadhara ya kuponda ukristo au Mwingine? Huyo ndiyo aliyemponda Mwamposa kupiga 900m za kondoo kwenda kujenga Hotel?
 
Kaangalia dini
Hakuna cha dini wewe ndio mdini. Hata wakati wa Magu waislamu walikuwa wastaarabu sana hatukuwaona wakitukana serikali wala rais, walikuwa wanamsifu Magufuli. Sisi wakristo inavyooneka waislamu wametuzidi mambo mengi na tunakoelekea ukijumlisha na ulevi wetu huu wa pombe waislamu watatuacha mbali sana. Hapa tulipo waislamu wametuacha mbali kwenye utajiri, tunaelekea kwa akili hizi za kina Tundu watatuacha hata ktk siasa na elimu. Hata sasa hivi waislamu wako makini sana siku hizi ktk elimu. Tuombe hekima.
 
Hakuna cha dini wewe ndio mdini. Hata wakati wa Magu waislamu walikuwa wastaarabu sana hatukuwaona wakitukana serikali wala rais, walikuwa wanamsifu Magufuli. Sisi wakristo inavyooneka waislamu wametuzidi mambo mengi na tunakoelekea ukijumlisha na ulevi wetu huu wa pombe waislamu watatuacha mbali sana. Hapa tulipo waislamu wametuacha mbali kwenye utajiri, tunaelekea kwa akili hizi za kina Tundu watatuacha hata ktk siasa na elimu. Hata sasa hivi waislamu wako makini sana siku hizi ktk elimu. Tuombe hekima.
Tueleze pia kwanini haujawahi kwenda kanisani kusali.
 
Ifikie mahali waisram wasomi wakemee matamko ya mashehe wa elimu ahera yanayodhalilisha dhehebu yao. Mtu aseme kama yeye bila cheo husika.

Kuna hoja mtu anatoa hadi najiuliza tena kuhusu udumavu wa elimu dunia.

Mf. 1.Kusema lisu alipigwa risasi mama akamtembelea.
2. Kuruhusu mikutano ya hadhara.
3. Kufuta kesi.
swali ni je nsni huleta hayo madhira?

Je, mtu akikufanyia tendo jema ndo tiketi ya kukufanyia ushenzi?

Je, hoja ni binafsi au kwa maslahi ya kizaz leo na kesho?
Mashekhe wengi hawana elimu ila wanatamaduni za ndugu zao waarabu ndio wanazojua.
Ukitaka kuamini mfatilie huyo Mazinge ndio utajua jinsi alivyo chizi
 
Back
Top Bottom