Sheikh Mazinge ukiona mtu mwanasiasa anamtukana Rais Samia basi ujue kachanganyikiwa

Sheikh Mazinge ukiona mtu mwanasiasa anamtukana Rais Samia basi ujue kachanganyikiwa

WaTz tuna hulka na tabia zetu,
Haya ya viongozi kukosa adabu ndio tunayaona sasa ,hayakuwepo ,siasa zi kutukanana yapo maneno mengi tu ya kuyatumia na ukaeleweka.
Lugha ya Kiswahili sio masikini wa maneno mpaka kuweza viongozi wanaoheshimika kutumia lugha chafu dhidi ya Raisi.
 
Udini utaharibu nchi yetu, tuangalie matendo ya mtu na si kwa ushabiki wa mtu kuwa dini yako.
Wasingeweza kumtukana marehemu JPM hadharani kadri wanavyojisikia. Na wanaujua ukweli huo.

Hata hili suala la bandari kuchukua muda wote huo sababu ni udini uliojificha nyuma ya hoja nyingi zinazotolewa na wadau ambao ni wakristo wenzangu.

Walichopungukiwa kwa maana ya busara ni kutambua kuwa hii mikoa yote ya mwambao Tanga, Lindi, Mtwara na Dar wamejaa waislam wengi na uvumilivu unakuwa mdogo miongoni mwao wanapoona Rais wa dini yao anavunjiwa utu wake kwa kigezo kinachojificha kwenye suala la uwekezaji bandarini.
 
NTu ya dili wewe, mwandishi na mwanasheria usiyejielewa.

Mwandishi wa habari ni sawa na refa.

Sasa refa gari unaingia uwanjani kuisaidia timu moja kufunga?

Si kila hoja utie pua.

Makala zako za akili zimefia wapi?

Umefanan na akina sisi ambao jf tunajiburudisha tu?
 
Ila huu mkataba umewaibua wengi sana kwani wakiamua kuuacha watapoteza nini? huu mkataba haubebeki wala hauuziki kwa raia kinacho endelea nikuligawa Taifa nakujifedhehesha
 
Teuzi teuzi note ukiona mtu anataka uteuzi kwa nguvu zote kwa kujimwambifai juwa huyo hafai Kama ukoma
 
NTu ya dili wewe, mwandishi na mwanasheria usiyejielewa.
Mkuu Glenn , naheshimu maoni yako hata kama sikubaliani na wewe, huu mtazamo wako kuwa mimi ni mwandishi na mwanasheria nisiye jielewa, naomba pia niheshimu msimamo wako.
Mwandishi wa habari ni sawa na refa.
Sasa refa gari unaingia uwanjani kuisaidia timu moja kufunga?
Kwanza ni kweli sisi media ni kama refa, ila kwenye uzalendo kwa nchi yako, sometimes refa unaingia uwanjani na kuwa kocha mchezaji, kuisaidia timu yako kushinda, unaingia!. Hii kwenye media ndio kitu kinachoitwa objectivity.
Si kila hoja utie pua.
Sio kila hoja ninatia pua, ukiona tuu nimetia pua kwenye hoja yoyote, ujue hiyo hoja ina maslahi kwa taifa.
Makala zako za akili zimefia wapi?
Mimi sina makala zozote za akili, nina makala za Kwa Maslahi ya Taifa, zinaendelea magazetini.
Umefanan na akina sisi ambao jf tunajiburudisha tu?
Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa kama wewe!.
P
 
Mkuu Glenn , naheshimu maoni yako hata kama sikubaliani na wewe, huu mtazamo wako kuwa mimi ni mwandishi na mwanasheria nisiye jielewa, naomba pia niheshimu msimamo wako.

Kwanza ni kweli sisi media ni kama refa, ila kwenye uzalendo kwa nchi yako, sometimes refa unaingia uwanjani na kuwa kocha mchezaji, kuisaidia timu yako kushinda, unaingia!. Hii kwenye media ndio kitu kinachoitwa objectivity.

Sio kila hoja ninatia pua, ukiona tuu nimetia pua kwenye hoja yoyote, ujue hiyo hoja ina maslahi kwa taifa.

Mimi sina makala zozote za akili, nina makala za Kwa Maslahi ya Taifa, zinaendelea magazetini.

Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa kama wewe!.
P
Pascal Mayalla
Kwanza nikushukuru kwa kuona nisivyopendezwa na michango yako jukwaani siku hizi.

Nisiwe mnafiki hili ndilo nilililolitaka ulione.
Haya mawe yote ni mbinu zangu ili ushtuke na uje tuongee ana kwa ana.

Tena nilitamani ukasirike uje pm.

My brother, to be honest....huu sio uzalendo.
Umepofushwa na rushwa, tamaa ya vyeo na ukata.

Ninakusoma hatua kwa hatua.

Najua ulipoangukia...hali tete ilikushinda na katika hili ninaongea kwa ujasiri na ( moyoni mwako utakiri japo jukwaani utakana)

JE PASCHAL NI KILAZA?
Hapana, una akili njema, mchambuzi mzuri, una upeo mkubwa sana, hii imetokana na uzoefu ulio nao wa kufanya kazi na watu wa kada mbalimbali.

TATIZO NINI?
Ulipoamua kuingia siasani ndipo ilikupasa ujifanye chizi ufanane nao ili upate unachokitaka.

NJAA NA UKWELI HUKAA PAMOJA?
Ni nadra mtu mwenye njaa kuwa na msimamo thabiti, ni mara chache sana mwenye njaa asigeuke msaliti ili aishi.
Kumbuka njaa sio lazima ya kukosa chakula au pesa bali hata shauku ya kuwa mtu flani...cheo nayo ni njaa.

NINI ULICHO NACHO SASA?
Umebaki kama Sauli yule wa kwenye biblia baada ya kuachwa na Mungu.
Hskuwa na nguvu tena na alikufa kifo cha aibu kutoka kuwa mfalme wa heshima.

Paschal: unaweza kutuchukulia poa sisi tuliokuamini lkn hakika sisi tulikuwa miungu kwako, tulipokuunga mkono kwenye mada zako uliendelea kusitawi.
Na sasa tunakuacha kidogo kidogo jinsi unavyoendelea kutuupuza...kama Saul ambavyo aliachwa hatua kwa hatua na Mungu.

Bro. Achana na huu ujinga.
Nadiriki kuuita ujinga kwasababu hata wewe ukweli unaujua lakini umekaza shingo.

Zaidi ya yote uchaguzi ni wako.

Chagua uchawa, njaa na usaliti upotee au
Uchague kuwa mkweli uishi hata ukiwa umekufa.

Nitakukosa na jiwe au mshale lakini kwa neno la kweli nitakupata.

Wazee T14 Armata
Lusungo Mmawia
Kama ninamuonea niambieni niombe radhi

Glenn
 
Huyu sheikh ubwabwa si ni lile jinga la mihadhara ya kuutukana ukristo enzi zile za Mwinyi!
Kumtukama mama Samia sawa. Ukitukanwa ukristo ni jinga.

Ndio maana na huyu Shekhe kasema wanaotukana mama hawana akili.

Ngoja droo.

Mikutano ya kupinga bandari imepoteza nguvu baada ya wananchi kugafanyika kwa misingi ya dini.

Hili ni kosa kubwa walilofanya chadema ambayo ukiangalia sera ya chama pia unapingana na wanachokipigania.

Sera ya chadema ni kuunda serikali ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Kwa maana hiyo bandari ni suala la wakazi wa jimbo la dar na mkoa wa pwani.

Chadema ilipaswa iungane na wakazi wa jimbo hili kupigania babdari.

Matokeo yake wanaenda mbeya Chunya, mbozi, serengeti kuwauliza kama wanataka uwekezaji wa bandari au laa. Watu ambao wengine wataogopa hata kupanda boti kwenda kigamboni au znz.

Ni vita iliyopoteza mwelekeo
 
Ni ujinga kwa mtu kama wewe kuongea propoganda za kitoto hivi,
Basi kwa wema huo ndio afanye a anavyotaka na asikosolewe?
Kuna mazuri atasifiwa na mabaya atakosolewa
 
Sheikh Mazinge yupo Sahihi Kabisa! na wanasiasa wenye kejeli na matusi kwa mkuu wa Nchi ukitafakari sana tulikotokea, itakuwa wamechamganyikiwa
"Chazea ndevu usichezee Dola"
 
Back
Top Bottom