Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

Yaani huyu Sheikh wa mkoa hapo hamna mtu kabisa,huyo kama kijiti kimevishwa kanzu na kofia ila mtu hukuna.......hii ndio kazi ya bakwata.

hiviii hamjui kuwa anavurugwaaa!!!
 
Yule Sheikh wa Bakwata huyo sawa kuongea hayo maneno mwenzake Jongo alilia kabisa huyu akulia kweli.

hahahaaa ritz nawee unamponda huyu shehe kijana auuu.. maana huyu twamjua anatoka tawi la ccm bakwata
 
Nyie sio wammoja kabisa....Mmeparanganyika....Kila mtu anaropoka lake......Haya sasa ngoja tuendelee kuona mnavyorukaruka..
Nyie ndiyo wamoja? Mbona walokole wanalalamika hawamo kwenye tume ya katiba wakati kuna Maaskofu na Wachungaji wamejaa bungeni unaongea kama punguani vile.

Kuna Maskofu wengine mashoga mbona ujawakataza au ndiyo umoja wenu.

Uislam unatukataza kuwa wanafiki.
 
Yule Sheikh wa Bakwata huyo sawa kuongea hayo maneno mwenzake Jongo alilia kabisa huyu akulia kweli.

Na huyu Shekhe Mkuu wa Mkoa akitangaziwa fatwa sitamuonea huruma, sijui kwanini kuna watu wananunulika kirahisi na kuikana imani yao huku wakiwakwaza wengine.
 
Nilimwamin sana Alhad Salum

Nilidhan angevaa viatu vya shekh Ghologosi

Kwa kauli zake za jana kupitia ITV kwa masikio yangu-ameteleza vibaya sana.

Dhana kuu kwa ccm katika miaka ya hivi karibuni ni udin na wanafanya hivyo dhahili makanisani na misikitini.

Alichofanya Lukuvi nikutoa rangi halisi ya ndani kwa ccm na uchafu ambao wamekuwa wakiufanya miaka nendarudi

1. CUF imeathilika vibaya na fitina ya udini tena kupitia IGP wakati huo Omar Mahita-majambia

2. CDM imeathilika sana na fitina ya udin, ukanda na ukabila

Shekh angetafakali kwa kina na utulivu kauli ile ya W. Lukuv asingeinua sauti kumtetea kwa maana yoyote maana ccm wanapanda mbegu mbaya sana tena haram ya udini.

Ametumika vibaya na hajawatendea haki waislam wote na watanzania wasio waislam kwa kumtetea muovu.

Kikwete alipaswa kumfukuza kazi waziri huyu, lakin hawezi kwasababu anachofanya bwana lukuvi ni silaha pekee iliobaki kutumiwa na ccm kwa manufaa binfsi ya kusalia madarakani hatakama nikwa umwagaji damu ya watanzania wasio na hatia kupitia chuki na uhasama wa kidin.

Hili nitatizo kuu kwa viongozi wa dini kutumika vibaya na watawala, badala ya kukemea wao wanatetea waovu na uovu-Tunaelekea wapi?
 
Nyie sio wammoja kabisa....Mmeparanganyika....Kila mtu anaropoka lake......Haya sasa ngoja tuendelee kuona mnavyorukaruka..

Yaani ulitegemea tumchekee sababu ya kulinda umoja? ????!!!!
Sio mmoja kati yetu ndio maana anakuwa rejected openly! !!!!
Kama huku ni kuruka ruka basi hujui nini maana ya mshikamano wa kweli!!!!!

Upande huu mnafiq hana nafasi
 
Dini ya wasaka tonge hawana msimamo yanaongozwa kwa ubwabwa,
 
Sheikh mkuu wa mkoa wa dar es salaam amesema maneno ya mh lukuvi kutasfiriwa vibaya.ameonya waislamu kuwa waungwana na wasimwelewe vibaya lukuvi sbb hakuwa na nia mbaya,ni watu wachache au kikundi cha watu wenye nia ovu kutumia maneno ya lukuvi kisiasa na kiimani alisema sheikh.hi ni kwa mujibu wa magezeti asubuhi rfa

Lini bakwata walikua pamoja na waislam? Siku zote wako pamoja na serikali na kanisa. Bakwata si waislam. Taasisi gani ya kiislam inaundwa na mkatoliki?
 
Dini ya wasaka tonge hawana msimamo yanaongozwa kwa ubwabwa,

Mihadhara ishapita wewe watu wanaangalia potentials kashfa za kidini ni ujima wa akili,moyo na roho!!!!!!

Wake up ang get life coach potato!!!!
 
Back
Top Bottom