Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Na kashfa ya kuwala wanawake waliokuwa wanaenda kuomba talaka
Muhamasishaji wa Amani na Uzalendo aliyasafiri kwenye nchi zaidi ya 20 duniani, Mwenyekiti na Mjumbe wa kamati zaidi ya 10 za kidini na Kitaifa tena mwenye tuzo zaidi ya 15. Suala la kutengua uteuzi wa Sheikh wa mkoa wa DSM yani Alhad Mussa Salum limewaacha wengi na maswali.

20230203_052109.jpg
 
UTV wanalipoti muda huu kuwa shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alhaji ISSA salimu ametolewa kwenye nafasi yake sio tena shekhe wa mkoa

Baraza la waislamu BAKWATA lilikaa jana chini ya Mufti Zubery limfuta kazi shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Alhaji Mussa Salumu kutokana na mienendo isiyofaa aliyoionesha tangu siku za nyuma na kufuatia kulumbana na baraza la Maulamaa kuhusu talaka ya mke wa Dk Juma Mwaka

Juzi vyombo vya habari hapa nchini vilimnukuu akisema yeye hataki kuwa mufti wa Tanzania akionya kama kuna watu wanamshambulia wakidhani anataka madaraka hayo.

Pia kumekuwa na taarifa za kutukanisha BAKWATA kwa tabia yake ya kugombana na wanabrog mange kimambi kwa muda mrefu

Nasafi yake inachukuliwa na shekhe Walid Alhad Omar
img_20230202_212752_974-jpg.2504100

USSR
Kumbe mufti naye keishaikwaa Phd!
 
Nakumbuka alivyowahi kumsifia Magufuli kuwa yeye ni zaidi ya Yesu na Mohammad (S.A.W).
 

Kitaifa




Bakwata yamng’oa Sheikh Alhad Dar​

Alhamisi, Februari 02, 2023
shekh-pic.jpg

By Juma Issihaka

Muktasari:​

  • Baraza la Ulamaa limetemgua uteuzi wa Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum na kumteuwa Sheikh Walid Omar kukaimu nafasi hiyo.
Dar es Salaam. Baraza la Ulamaa limetemgua uteuzi wa Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum na kumteuwa Sheikh Walid Omar kukaimu nafasi hiyo.

Uamuzi wa kumtengua Sheikh Alhad umekuja ikiwa imepita wiki moja tangu, kiongozi huyo alipotangaza kuivunja ndoa hiyo ya mtaalamu wa tiba mbadala, Juma Mwaka Juma maarufu kwa jina la Dk Mwaka na mkewe Queen Masanja Januari 25 mwaka huu, kufuatia ombi la mwanamke huyo kudai talaka.
Hata hivyo, siku mbili baadaye, yaani Januari 27, Baraza la Ulamaa lilikutana kwa dharura na kubatilisha uamuzi huo.
 

Attachments

  • Screenshot_20230203-073100_Facebook.jpg
    Screenshot_20230203-073100_Facebook.jpg
    158.2 KB · Views: 3
Sawa, katolewa ila asiletwe sheikh mhafidhina na mfia dini ya kigeni wakati ni muafrika mweusi tii. Anatakiwa sheikh mwenye msimamo wa wastani juu ya dini hiyo anayoiamini
Ni vyema shura ya maimamu ishirikishwe kwenye kumchagua sheikh mpya wa kuziba hiyo nafasi.

Mohamed Said ana maoni gani kuhusu hili?....
 
Asikubali, akapinge kutumbuliwa mahakamani.

CCM tusikubali kumuacha peke yake Sheikh wetu, ni sisi ndio tuliompa kiburi cha mpaka kufikia kushindana na baraza la ulamaa ambalo ni superior kwake na hata mufti analiheshimu.
 
UTV wanaripoti muda huu kuwa shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Issa Salum ametolewa kwenye nafasi yake sio tena shekhe wa mkoa.

Baraza la Waislamu BAKWATA lilikaa jana chini ya Mufti Zubery limfuta kazi Shekhe Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Alhaji Mussa Salumu kutokana na mienendo isiyofaa aliyoionesha tangu siku za nyuma na kufuatia kulumbana na baraza la Maulamaa kuhusu talaka ya mke wa Dk Juma Mwaka.


Juzi vyombo vya habari hapa nchini vilimnukuu akisema yeye hataki kuwa mufti wa Tanzania akionya kama kuna watu wanamshambulia wakidhani anataka madaraka hayo.

Pia kumekuwa na taarifa za kutukanisha BAKWATA kwa tabia yake ya kugombana na wanablog Mange Kimambi kwa muda mrefu

Nafasi yake inachukuliwa na shekhe Walid Alhad Omar

USSR

Atoke tu kadumu hadi vitoto vinakuwa na watoto akwende.
 
Mufti kafanya maamuzi sahihi.
kiongozi wa dini ni kioo cha maadili na nidhamu ya kiwango cha juu kwa waamini wake na hata jamii kwa ujumla.

Pongezi kwa shek wa mkoa mpya aliyeteuliwa.
Hata hivyo bado mheshimiwa Mufti amemvumilia sana sijui huenda alikua anamuonya ndani kwa ndani mjivuni huyu
 
Kwa hiyo Juma anazani itasaidia kughairi kuachwa?

Moyo ukishakataa na kumkinahi mtu ndio basi tena!
 
Back
Top Bottom