Sheikh Mkuu wa Tanzania: Muislam hajiendei endei tu,bila amani na utulivu hatuwezi kufanya Ibada zetu na kuishi vyema

Kwa mara ya mwisho. Sina muda wa kupoteza na mtu chizi kama wewe.. Nenda katafute hiyo 'quote' mwenyewe. Unaandika uchafu humu halafu sasa unajifanya hukumbuki?
Argumentum ad hominem....

Umeshindwa kuprove claims zako sasa unaufichaje uwendawazimu wako?!!

Umeamua kunifanyia "tarnishing of image" kitoto bila evidence usiyo kuwa nayo bali just mere accusations.....

Well.....

Huna uwerevu huo mzee baba....by the way umeshaupoteza huo muda kunijibu.....

Mimi si mzanzibari....wala siamini katika utanganyika.....

Sijapata kuandika comment ya kumbagua mtu atokako ,mbari ,dini wala nasaba....umepotea mzee.....

Badala ya kuja na mawazo tunduizi juu ya post unakumbatia busubusu za vioja....

Kalamu nakufahamu mkuu....

Endelea na ubwege wako na unyapara wako juu ya mabwege.....

#Say No To Racism & Bigotry😍
#Say No To Misogyny 😍
#NCHI KWANZA😍
 
Mwenzenu kwenye Imani kauwawa kazikwa hko Tanga... Nyoosha maelezo Acha uoga na kupuyanga maneno!!!
 
Religion is the biggest scam ever,dini mlizoletewa zinawatenganisha , you are all dead☠️☠️
 
Wabantu ambao mababu zao walipandishwa juu ya miti ya minazi na kulima karafau kwa bakora wakipewa ustaarabu wa kigeni (uislamu ) ambao kamwe ulikuwa haupo Afrika,na wengine wakawa manipulated na wazungu wakabatizwa na kuwa wakristo,Cha kushangaza Leo vitukuu vyao vinatengana na kutoleana kauli chafu kisa uislam na Ukristo,,eeeh Mungu wa mababu zetu awanusuru nyie kondoo wa nyumba ya Israel (Afrika)mliyepotea
 
Amani na utulivu vitakuwepo vipi kama wananchi wanatekwa na kuuwawa ila serikali na vyombo vyenye jukumu la kuzuia hayo viko kimya?

Serikali inavitumia vyombo hivyo kulinda madaraka na sio kwa maslahi ya wananchi.
 
Amani na utulivu vitakuwepo vipi kama wananchi wanatekwa na kuuwawa ila serikali na vyombo vyenye jukumu la kuzuia hayo viko kimya?

Serikali inavitumia vyombo hivyo kulinda madaraka na sio kwa maslahi ya wananchi.
Mm ninahofia elimu ya viongoz wetu ,nadhan hawajui maana ya uongoz na kuwa viongoz,,eeh Mola wa waafrika tuhurumie
 
Una hoja ila si mahali pake.....

Na ndio maana mathalani sisi wafuasi wa BAKWATA tunaamini katika ardhi takatifu ya Tanzania kwa kujua kuwa dini si jambo la kubaguana....na uislamu si uarabu kwani mtume alipingwa na ndugu zake waarabu......

Peace & Love
 
Nmekuelewa kakaπŸ™
 
Mwenzenu kwenye Imani kauwawa kazikwa hko Tanga... Nyoosha maelezo Acha uoga na kupuyanga maneno!!!
Aliyeuawa ni mtanzania....

Unataka waislamu walipize wakavamie makanisa ?!!

Kwani ameuawa na mkristo ?!! Unamjua ?!!

Ameuawa na muislam ?!! Unamjua ?!!
 
2010 waislam walitumiana sms tu shughuli ikaisha,maana vigangoni walikua bize upande wa pili,halafu chama kikamtupa mkono jk,akawa anafanya kampeni na familia yake na kinana, waislam walituma ujumbe mzuri sana kwa waliodhani wanna nguvu sana
 
2010 waislam walitumiana sms tu shughuli ikaisha,maana vigangoni walikua bize upande wa pili,halafu chama kikamtupa mkono jk,akawa anafanya kampeni na familia yake na kinana, waislam walituma ujumbe mzuri sana kwa waliodhani wanna nguvu sana
Sidhani kama hayo unayosema nikweli.
Mgombes wa CCM hashindi kutokana na dini yake ziko sababu nyingine na unazijua.
 
Sidhani kama hayo unayosema nikweli.
Mgombes wa CCM hashindi kutokana na dini yake ziko sababu nyingine na unazijua.
Labda hukufuatilia uchaguzi wa 2010,jk sijui aliwafanya nini kigangoni!?.. maana 2005 walimuunga mkono,2007 adui mkubwa mpaka 2010,watu wa cuf wanampigia mgombea wa CCM kwa mara ya kwanza, itakua kuna kitu aliwanyima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…