brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Kuwa na uchungu na nchi yako ni pamoja na kuteka na kuua na kufanya UGAIDI.Amani na utulivu..
Ametuasa TUSIJIENDEE ENDEE tu....tusifuate mambo bila kujua undani wake.....
Tusipelekwe pelekwe tu kwani Uislam unataka tutumie vyema matumizi ya akili.....
Amesema ,tufahamu UMUHIMU WA AMANI na UTULIVU katika nchi.
#Nchi Kwanza[emoji7]
#Uwe na uchungu na nchi yako [emoji7]
WELL SAID