Sheikh Mkuu wa Tanzania: Muislam hajiendei endei tu,bila amani na utulivu hatuwezi kufanya Ibada zetu na kuishi vyema

Sheikh Mkuu wa Tanzania: Muislam hajiendei endei tu,bila amani na utulivu hatuwezi kufanya Ibada zetu na kuishi vyema

sio hoja ya msingi. dini X tunaambiwa nchi hii nido wenye alimu , lkn siku zote tunalalamika maisha magumu na rushwa imeenea na utekaji. swala hio elimu ya dini X imesaidia nini?
Dini yoyote haina kosa....

Wanadini ndio wenye mapungufu....

Usiwe mjinga
 
Nafuatilia sherehe za mazazi ya Bwana Mtume Muhammad (SAW) zinazofanyika mkoani Geita.

Nimemsikiliza Mufti wa BAKWATA Sheikh Zuberi, ambaye ameongea mengi na zaidi kaongelea suala la amani.

Ingawa sio moja kwa moja, ila amewasihi waislamu wasijihusishe na kurukia mambo (kwa uelewa wangu alikuwa analenga maandamano yaliyotangazwa na Chadema).

Nchi yetu ipo katika mtanzuko wa utekaji na mauaji. Nilitegemea leo aweze kukemea tabia hii, lakini amepiga kimya kama hakuna kinachoendelea.
Siku zote mtu anayelishwa huona wanaohangaika ni wajinga tu🤣 na hili ndio tatizo namba moja nchini wala sio CCM.

Tuna tabia ya kuridhika mapema sana alimradi tunakula na kushiba tu huwa hatujali kwamba kuna wenzetu wanakosa hata huo mlo.
 
QURAN TUKUFU INAMTAKA MUISLAM KUWA MAKINI SANA LINAPOKUJA JAMBO

Katika Quran, kuna aya inayosema kuhusu umuhimu wa kuchunguza habari kabla ya kuzipokea au kueneza. Aya hiyo inapatikana katika sura ya 49, aya ya 6:

"Enyi mliyoamini! Ikiwa mja mmoja kutoka kwenu anakuja na habari, ithibitisheni kwa uangalifu, ili msije mkawadhulumu watu kwa kukosea, na kisha mkawa wenye huzuni kwa yale mliyofanya."
Aya hii inasisitiza umuhimu wa kufanya uchunguzi na kuthibitisha ukweli wa taarifa kabla ya kueneza au kuamua juu yake. Hii ni kanuni muhimu kwa ajili ya kuhakikisha usahihi na haki katika maamuzi na vitendo vyetu.
Swadaktaaaaa😍

. ... uchunguzi kwanza....


. ...ukasuku sio......
 
Bakwata ilianzishwa na kina nyerere kwa maslahi ya ccm , maana walikua wanajua waislam wasipopata chombo wa kuwadhibiti na kwafananya brainwashed pasingekalika kwa misimamo yao, waislam wanaoiamini bakwata wanazidi kupungua kila siku watu wanarudi kwenye misingi sahihi ya uislam.
 
Nimemsikiliza vyema....

Kauli ya Quran "enyi waumini muwe makini-ulil al baab".
...."enyi waumini hamtafakari-afalaa yatafakkarun".

".... pindipo inapowajia hoja ichunguzeni kwanza ili msije mkadhuru wasio na hatia...".

👆👆👆👆👆

Mufti amepita humo.....una jengine ?!!

#Nchi Kwanza😍
#Amani na utulivu 😍
Tafsiri na application yake katika maisha inakosemana.
 
sio hoja ya msingi. dini X tunaambiwa nchi hii nido wenye alimu , lkn siku zote tunalalamika maisha magumu na rushwa imeenea na utekaji. swala hio elimu ya dini X imesaidia nini?
Hujajibu swali sheikh.
 
Daktari wa kienyeji? Maana masheikh wengi ni waganga wa kienyeji.
Hata wewe unaweza kuwa mganga ila hujijui tu....

Elimu ya TIBA inakosekanaje kwa mwanazuoni wa dini yoyote iwayo.?!!

Elimu ya TIBA haijaanzishwa na wazungu wala waarabu wala wayahudi.....
 
Vipi hajakemea Mauaji ya ndugu yake katika imani Mohammed Kibao?
Amekemea kwa kusema tutangulize haki ,amani na utulivu......

Wiki iliyopita baraza la ulamaa la BAKWATA wametoa TAMKO kupinga DHULMA ,UNYANYASAJI NA MAUAJI.....
 
....mtume SAW aliporejea vitani ,akawaambia maswahaba wake (radhiAllahu anhumma) kuwa "tumetoka katika Jihad ndogo* na tunaelekea katika jihad kubwa*....

Jihad kubwa * ni jihad ya nafsi....nafsi....nafsi.....nafsi....

Yaani mathalani kupinga vita UZINZI....USHOGA....ULAWITI....USAGAJI.....
Aa kwanini huyo Kiongozi wenu anawakataza , mkiwashe !!
 
Aa kwanini huyo Kiongozi wenu anawakataza , mkiwashe !!
Tukiwashe nini ?!!

Mufti anatufundisha adabu ya uislam "tarbiyya tunnufusi tul islaamiyya"MALEZI BORA YA KIISLAM huusianisha :
-Matumizi bora ya akili kwenda hekimani pale ambapo unapoambiwa hoja yoyote.
-Adabu na heshima kwa wakubwa.
-Huruma kwa wadogo
-Amani na utulivu kwa ARDHI
-Amani na utulivu kwa miti na mimea
-Amani na utulivu kwa wanyama na wadudu.


Ashaikhul Kiraam na mwanafalsafa wa kishadhili anaitwa Ahmad Ibn Zarruq(rahimahullahu alayhi) wa huko Fez Morocco ana kitabu kinaitwa QAWAID TASSAWWUF anasema maneno haya.....
"NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY AS IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE"..

Think thrice.....

The core issue is WISDOM.....WISDOM....WISDOM.....WISDOM.......WISDOM.....

Masheikh wangu wa BAKWATA wanatufundisha "WISDOM".....

#Maulid Nabbiy 😍
#Allahumma swali aalaa habibina Muhammad SAW😍😍
 
BAKWATA ilianzishwa na Serikali kwa nia ya kuwadhibiti waislam kuhusiana na mambo ya kisiasa, na imeendelea hivyo mpaka leo.

Kuitegemea BAKWATA itoe kauli dhidi ya mambo yanayofanywa na Serikali ya CCM, ni sawa na kusubiria UVCCM itoe kauli dhidi ya uovu unaofanywa na Serikali ya CCM.
Mkuu, hilo ni kweli?
1. BAKWATA ilianzishwa na Serikali isiyo na dini?
2. Inagharamiwa kwa fedha za Waislamu au za Serikali?
3. BAKWATA ipo kwa maslahi ya Waislamu au Serikali?
4. Waislamu wana Imani na BAKWATA?
 
Tukiwashe nini ?!!

Mufti anatufundisha adabu ya uislam "tarbiyya tunnufusi tul islaamiyya"MALEZI BORA YA KIISLAM huusianisha :
-Matumizi bora ya akili kwenda hekimani pale ambapo unapoambiwa hoja yoyote.
-Adabu na heshima kwa wakubwa.
-Huruma kwa wadogo
-Amani na utulivu kwa ARDHI
-Amani na utulivu kwa miti na mimea
-Amani na utulivu kwa wanyama na wadudu.


Ashaikhul Kiraam na mwanafalsafa wa kishadhili anaitwa Ahmad Ibn Zarruq(rahimahullahu alayhi) wa huko Fez Morocco ana kitabu kinaitwa QAWAID TASSAWWUF anasema maneno haya.....
"NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY AS IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE"..

Think thrice.....

The core issue is WISDOM.....WISDOM....WISDOM.....WISDOM.......WISDOM.....

Masheikh wangu wa BAKWATA wanatufundisha "WISDOM".....

#Maulid Nabbiy 😍
#Allahumma swali aalaa habibina Muhammad SAW😍😍
Acha porojo..

Muhhanmad angetumia hekima mngekua hapo leo,

Thats why akaingia vitani kupigania hakki.. "Jihadd"

Waislamu wa afrika tu ni waoga, unafikiri ingekua misimamo kama ya Iran, Saudi, Palestine , mzee ali kibao angeachwa kizembe hivyo....
 
Back
Top Bottom