Nashukuru kile kidogo nilichojaaliwa. Naomba unihifadhi al habib, kuninasabisha na MS mnanitia unyonge. Tafadhalini sana naomba mnipe stara kidogo.Wewe nguruwe3,
Kusoma hujui, hata lugha ya picha pia inakushinda!
Vithibitisho gani unataka hata ukatosheka kuhusu huyo kafiri mkubwa Nyerere kwa unyama alokua akifanza!...Mengi yamesemwa/yameandikwa na Sheikh Mohamed Said, na leo ndio hayo hayo yanarejewa na huyo Tundu Lisu.
Bila shaka utakua na kilema cha ufahamu wewe, si bure!
Ahsante.
Nashukuru kile kidogo nilichojaaliwa. Naomba unihifadhi al habib, kuninasabisha na MS mnanitia unyonge. Tafadhalini sana naomba mnipe stara kidogo.
Heshima kitu kidogo, nina waheshimu sana, nami naomba heshima yenu japo kidogo, mkome kuninisabisha na MS.
Ninayoandika mimi MS hawezi kusoma kwa sauti kwasababu hata pronounciation hawezi.
Ninaandika ukweli siyo uzuzshi . Mimi sifungi safari nikaaga mke na watoto nikabeba mkoba kwenda Ibadan kuudanganya na kueneza fitna ulimwengu tena nikisema nafanya hivyo kwa imani ya Dini.
Dini imekataza kusengneya, uongo na kila aina fitna. MS kafunga safari kuzunguka duniani kueneza fitna, ushahidi ni Ibadan University. Mwambieni akaombe radhi kwanza.
Jamani niacheni mnapolinasiibisha jina langu na MS najisikia dhalili, najisiki mnyonge na najisikia mumenivunjia heshima.
MS ni kiongozi wa kundi la matusi, huko sipo mimi nina stara zangu.
Ninatumia akili, kundi la MS halipaswi kutumia akili, The Big Show chonde chonde muungwana, nistahi nduguyo. Kunifungaminisha na fitna ni kunitia wahka, napata simanzi mwenzenu.
The Big show, nazi koroma si nazi hiyo, ukiilinganisha na nazi wapishi hawakuelewi.
MS namwachia na vidaka, mimi nina stara zangu mkuu. Kuongea kama mtu aliyekunywa ndaza siwezi.
Najaalie hapo Ligula, inshallah naweza teremeka huko. Nikipata wasaa nitakuita tupate japo gahwa.
Salaam kwa ahli na watoto waambie miye mzeeni.
Wewe punguani kweli hivi Prof. Lipumba, Jussa, Juma Duni, Zitto Kabwe, Maalim Seif hawa ni wakirsto?MMEANZA TENA UJINGA KENGE NYIE......NI KM KUSEMA ANACHOFANYA MESSI NDICHO ALICHOFANYA MOGELLA JUST BECAUSE WOTE WANACHEZA MPIRA NA WOTE WANATAFUTA MAGOLI.....LISSU KAFANYA NA KAFANYA KWA USAHIHI.POROJO ZENU HAPA HAZINA MAANA.Ritz unataka sema nini hapa..Lissue alikuwa kaiongelea Mfumo Kristu.....leo waislam ndio wanataka serikali mbili..which means ni CCM ndio shida hapa.
Ni heri kuliko kuzunguka duniani nikieneza fitna.Nguruvi3
Acha matani bhana server za JF zikizimwa na wewe unapotea.
Nashukuru kile kidogo nilichojaaliwa. Naomba unihifadhi al habib, kuninasabisha na MS mnanitia unyonge. Tafadhalini sana naomba mnipe stara kidogo.
Heshima kitu kidogo, nina waheshimu sana, nami naomba heshima yenu japo kidogo, mkome kuninisabisha na MS.
Nashukuru kile kidogo nilichojaaliwa. Naomba unihifadhi al habib, kuninasabisha na MS mnanitia unyonge. Tafadhalini sana naomba mnipe stara kidogo.
Heshima kitu kidogo, nina waheshimu sana, nami naomba heshima yenu japo kidogo, mkome kuninisabisha na MS.
Mng'oko bwana, tena ukipata na maji ya dafu, dah.
Nasema hivi ninasimamia kile akili yangu inachoamini ni sawa.
Matumizi ya akili yangu huwa ni kipaumbele kuliko kufyonza.
Mshaurini mzee aende akaombe radhi Ibadan. Alichokifanya ni fitna na hairuhusiwi.
Humu humu JF tumesoma data za MS tukamuonyesha jinsi zilivyo laini kama urojo.
Utachukua namba uzipange katika jedwali udai ni takwimu, halafu tufyonze tu, sisi wengine tunafyonza maji ya madafu, asali na vilivyo halali. Kufyonza fyonza tuu, unaweza fyonza maji taka ati.
Nikijaaliwa nitakuja huko nikielekea Kadewele Tunduru.
Wee Tedo acha kumsikiza huyo msukule wa Kihehe aka Yericko Nyerere!
Nilikuwa sijui kama ninawakera. Nitasimama na ukweli unaotoka katika akili yangu.Elimu gani ulonayo we mzigua usie na kwenu!
We akujuae nani ktk ulimwengu huu zaidi ya Jf!
We ni wa kujisifu kuwa una elimu kuliko Mohamed Said ?
Ama nyie watoto kweli najsi!
We na hao ahli zako mmejifunza kuvaa suruali miaka michache tu ilopita! Leo hii umekuwa mjuaji!?
Kazi zenu kubwa huku.mjini ni kuuza mifuko iliotumika ya plastic!
Halafu leo unaleta kibri!
Hivi siku mkianza kupata nafasi serikalini si mtanyea watu usoni nyie!!
Unajigamba na kusema usinasibishwe na MS!
We hujui kuwa mzee MS anaweza kukuweka mjini wewe na wanao mkala bure mpaka yule muuza gongo wenu akastaafu kwenye hizo promotion zake za kuhalalisha gongo!?
Kikojozi wahedi!
Ni heri kuliko kuzunguka duniani nikieneza fitna.
Hapana nina akili timamu ndio maana nina uwezo wa kuwaambia lugha hii nzuri, hii mbaya, msafianye hivi au mnapotoka mkisema vile, pale kuna fitna, hapa kuna hikma n.k.Watu wa ajabu sana
Alichokisema lisu ni copy n paste toka kwa moh said na dr harith ghasamy,,ajabu sasa lisu aliecopy ww unampgia makofi kisha muasisi wa maaarifa hayo moh said na dr harith unabwabwaja eti waombe radhi..
Nguruvi3 umerukwa na akili??
Jamvi linakusoma ujue...Unajidhalilisha sana,,,anyway acha sisi tuchukue zetu points...
Madrasa raha sana teh teh teh...
Ni heri kuliko kuzunguka duniani nikieneza fitna.
Ni heri kuliko kuzunguka duniani nikieneza fitna.
MMEANZA TENA UJINGA KENGE NYIE......NI KM KUSEMA ANACHOFANYA MESSI NDICHO ALICHOFANYA MOGELLA JUST BECAUSE WOTE WANACHEZA MPIRA NA WOTE WANATAFUTA MAGOLI.....LISSU KAFANYA NA KAFANYA KWA USAHIHI.POROJO ZENU HAPA HAZINA MAANA.Ritz unataka sema nini hapa..Lissue alikuwa kaiongelea Mfumo Kristu.....leo waislam ndio wanataka serikali mbili..which means ni CCM ndio shida hapa.
Hapana nina akili timamu ndio maana nina uwezo wa kuwaambia lugha hii nzuri, hii mbaya, msafianye hivi au mnapotoka mkisema vile, pale kuna fitna, hapa kuna hikma n.k.
Isipokuwa mnipe heshma na hekma,msinisabishe na MS, hilo tu ndilo ninalowaomba.
Nilikuwa sijui kama ninawakera. Nitasimama na ukweli unaotoka katika akili yangu.
Inshallah, tumekusikia lakini ni vema kama ungetumia lugha ya stara.
Tukiongea kama maaluni nyani wataangua vicheko ati!
Shekhe tulia, kaa kitako pata funda tatu za maji ya ukwaju. Tuliza moyo ili mwenyezi akujaalie uwalinganie watu kwa busara na hekma. Lugha unayotumia inatashif umma. Ikisemwa kauli njema ya mtu huwavuta wengine.
Mola akujaalie inshalah, uwe na hekma na akuswamehe pale ulipopotoka, hakika sisi ni viumbe dhaifu na wala hatuna utimilifu. Mimi nshakuwai radhi.
Wasalimie hapo nyumbani.
Je, mafuriko mumesalimika? Mwenyezi awakinge na mabalaa.
Mkuu hapa kuna watu hisia za dini zinawasukuma kiasi hata wanasahau wao ni nani..!? I'm here stealing to the movie AND I will hit where it hurts most.
Huyu Nguruwe ni mshenzi tu!
Humshughulishi mtu hapa,wacha tukutie majiti tu mpaka ukome!
Mohamed Said anajulikana kote Ulimwenguni kwa kazi zake bora kabisa!
Hii leo JF ikizima savers zake tutakusahu, hakuna anae kujua nje ya hapa!
Nakushauri utoe ule mwiba wa ---- kwanza kabla hujaendelea na mazungumzo haya. Kwenye hii mada huna HOJA bali ni UHARO tu unaandika!
Hatuwez kukunasibisha na moh said
Infact huingii hata kwenye nafas ya viatu vyake
Tunakuombea duaa tuh uifaham haki na uwendawazimu ukutoke
Kwa sababu ktk akili ya kawaida huwez kushupalia copy n paste za tundu lisu kisha ukaja kuzishambulia na kuzibeza original facts kutoka kwa moh said n dr harith ghasamy
Nguruvi3 naona sasa umegeuka chanuoo,,kazi zako ni mbili tuh kuchana nyweleee na kusuka nyweleee...
Teh teh teh
Vip ming'oko itapanda lkn??naona ushaanza kukosa hata hamu ya kula...
Ogopa hizi sura nguruvi3...
We are capable of giving injuries to stones,hospitalising the rock..,,,madrasa product we are so mean we can make even the medicine sick...
Teh teh teh...
Pole nguruvi3...hata km ni chungu vumilia tuh ndivyo haqi ilivyo...
Huwa inachoma choma
Kwi kwi kwi kwi....